Wakudadavuwa
JF-Expert Member
- Feb 17, 2016
- 17,506
- 16,003
- Thread starter
-
- #121
Kamanda jenga hoja badala ya ramliHuyo ni naibu waziri ati! Kutwa yupo humu na sijui majukumu yake kamwachia katibu wake au dereva naye anatosha! Hili malo litazamwe upya kama kuna haja ya kuwa na manaibu mawaziri katika nchi hii ili kuwapungizia makali ya maisha walipakodi kwani hawana umuhimu wowote na hata kazi zao hazieleweki! Waondolewe na pesa zinazowahudumia zifanye shughuli nyingine kwa wananchi
Lete source ya habari yako mkuu.Ndugu zangu,
Hayawi hayawi sasa yamekuwa, ushauri wa JF baada ya mahojiano ya BBC umepokelewa japo hatujatangaziwa rasmi.
Kama ilivyokuwa BBC Hard talk mpango wa Tundu Lissu pia harakati zilifanywa kuomba mahojiano na Richard Quest wa CNN na Shaka Ssali wa Voa, hadi sasa habari zisizo rasmi Tundu Lissu hataenda Marekani.
Baada ya kudadisi na kautafiti nimegundua sababu ni hizi mbili lakini hazijawekwa wazi;
1.) Mapokeo hasi ya mahojiano ya BBC dhidi ya Lissu kutoka kwa watanzania
2.) Akiendelea na ziara atashindwa kujitetea dhidi ya hoja ya Spika wa Bunge kuwa amepona. Hivyo wadau wamemshauri kuwa kuendelea kuzurura kunampunguzia sababu ya kujitetea. Hii inaitwa chezea mshahara usichezee kazi.
Nitazidi kuwajuza kuhusu yatakayojiri hususani suala la maombi ya ukimbizi wa kisiasa kwa ndugu yetu Ansbert Ngurumo.
Kwa wanaopotosha kuwa Quest hafanyi mahojiano na wanasiasa, hapa yupo na Uhuru Kenyatta
5 Things Uhuru Told Richard Quest During Interview [VIDEO]
Breaking neeeeews....kesho JPM kukutana na Chama cha wauza Madawa ya nguvu za kiume ili kuzima habari ya Tundu Lissu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Lisu Chaliii hahahaa
Alijua Ni Tanzania Daima
Aibu tupu
Umempa ukweli hawezi kurudiMtu ambaye ni makini kwa vyovyote hawezi kuandika kwa mtindo huu. Uandishi wa namna hii unaendana na matamshi ya watu wambeya. Sidhani kama jukwaa hili linahitaji dhihaka ya kiwango hili.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndugu zangu,
Hayawi hayawi sasa yamekuwa, ushauri wa JF baada ya mahojiano ya BBC umepokelewa japo hatujatangaziwa rasmi.
Kama ilivyokuwa BBC Hard talk mpango wa Tundu Lissu pia harakati zilifanywa kuomba mahojiano na Richard Quest wa CNN na Shaka Ssali wa Voa, hadi sasa habari zisizo rasmi Tundu Lissu hataenda Marekani.
Baada ya kudadisi na kautafiti nimegundua sababu ni hizi mbili lakini hazijawekwa wazi;
1.) Mapokeo hasi ya mahojiano ya BBC dhidi ya Lissu kutoka kwa watanzania
2.) Akiendelea na ziara atashindwa kujitetea dhidi ya hoja ya Spika wa Bunge kuwa amepona. Hivyo wadau wamemshauri kuwa kuendelea kuzurura kunampunguzia sababu ya kujitetea. Hii inaitwa chezea mshahara usichezee kazi.
Nitazidi kuwajuza kuhusu yatakayojiri hususani suala la maombi ya ukimbizi wa kisiasa kwa ndugu yetu Ansbert Ngurumo.
Kwa wanaopotosha kuwa Quest hafanyi mahojiano na wanasiasa, hapa yupo na Uhuru Kenyatta
5 Things Uhuru Told Richard Quest During Interview [VIDEO]
Kamanda inabidi afanye "mock interview" kabla ya mahojianoLissu cyo size yenuuuuu
Lissu anawafanya muendelee kuwashwa washwaaa.....
Nadhani mnavyomzungumzia ndio mnazidi kuudhihirishia umma wa Tanzania, Africa na dunia kwa ujumla kuwa Lissu ni zaidi ya Lumumbaz woote mkijumlishwa na Hanna hoja za kumfanya asifanye anachofanya.........
VIVA Lissu
VIVA Lissu....
Ndio nimekuambia na kuwaambia wabunge waliomo humu kuwa, waje na hoja bungeni ya kuondoa nafasi za unaibu waziri kwenye serikali ili kupunguza ukubwa wa serikali na matumizi makubwa! Kama kwako hii siyo hoja na ni ramli basi, jikaze tu kisabuni wakati hoja hii ikijengwa na wabunge makini ndipo utajua kuwa huitendei haki nafasi hiyo kwa namna yoyote binafsi sijauona mchango wako katika wizara unayoingoza! Itapendeza rais akaichukua hoja hii na kuifanyia kazi.
Ile ya 360 ya cloud uliyoshiriki ulifanya mock interview? Kama ndivyo mbona ulirukaruka na kujichekesha kama comedian na hakuna la maana ulilolielezea?
Unajua lakini Richard Quest ni Wa masuala ya biashara tu? Au unadhani wa nchi zile ni kama Wa huku, yani PJ Wa Clouds anasoma vichwa vya habari kesho anamhoji waziri Wa viwanda, kajipange na huu ujinga wako pleaseNdugu zangu,
Hayawi hayawi sasa yamekuwa, ushauri wa JF baada ya mahojiano ya BBC umepokelewa japo hatujatangaziwa rasmi.
Kama ilivyokuwa BBC Hard talk mpango wa Tundu Lissu pia harakati zilifanywa kuomba mahojiano na Richard Quest wa CNN na Shaka Ssali wa Voa, hadi sasa habari zisizo rasmi Tundu Lissu hataenda Marekani.
Baada ya kudadisi na kautafiti nimegundua sababu ni hizi mbili lakini hazijawekwa wazi;
1.) Mapokeo hasi ya mahojiano ya BBC dhidi ya Lissu kutoka kwa watanzania
2.) Akiendelea na ziara atashindwa kujitetea dhidi ya hoja ya Spika wa Bunge kuwa amepona. Hivyo wadau wamemshauri kuwa kuendelea kuzurura kunampunguzia sababu ya kujitetea. Hii inaitwa chezea mshahara usichezee kazi.
Nitazidi kuwajuza kuhusu yatakayojiri hususani suala la maombi ya ukimbizi wa kisiasa kwa ndugu yetu Ansbert Ngurumo.
Kwa wanaopotosha kuwa Quest hafanyi mahojiano na wanasiasa, hapa yupo na Uhuru Kenyatta
5 Things Uhuru Told Richard Quest During Interview [VIDEO]
Kijana acha ujuaji,huyo mtu anahoji wanasiasa na marais wengi, je huongea biashara tu? Lissu kama mgombea wa urais hajui kitu kuhusu biashara?fikiri mara mbiliU
Unajua lakini Richard Quest ni Wa masuala ya biashara tu? Au unadhani wa nchi zile ni kama Wa huku, yani PJ Wa Clouds anasoma vichwa vya habari kesho anamhoji waziri Wa viwanda, kajipange na huu ujinga wako please
Huna haja ya kuweweseka na kuanza kucompare mahojiano yote mawili na kutoka na hii poor solution uliyoiweka hapa kwani kila mtu ana namna yake ya kuperceive kile alichosikia na kukiinterpret according to the situation aliyonayo na mazingira aliyopo!Ha ha ha aende tu akaongee maana hakuna jipya atakaloongea zaidi ya zile pumba alizoongea BBC . Yaani kama hiyo ndo strategy ya CHADEMA ya kumtumia Lissu kuichafua TANZANIA basi watafute mtu mwingine
Umbea, Umbea, Umbea, umbeaNdugu zangu,
Hayawi hayawi sasa yamekuwa, ushauri wa JF baada ya mahojiano ya BBC umepokelewa japo hatujatangaziwa rasmi.
Kama ilivyokuwa BBC Hard talk mpango wa Tundu Lissu pia harakati zilifanywa kuomba mahojiano na Richard Quest wa CNN na Shaka Ssali wa Voa, hadi sasa habari zisizo rasmi Tundu Lissu hataenda Marekani.
Baada ya kudadisi na kautafiti nimegundua sababu ni hizi mbili lakini hazijawekwa wazi;
1.) Mapokeo hasi ya mahojiano ya BBC dhidi ya Lissu kutoka kwa watanzania
2.) Akiendelea na ziara atashindwa kujitetea dhidi ya hoja ya Spika wa Bunge kuwa amepona. Hivyo wadau wamemshauri kuwa kuendelea kuzurura kunampunguzia sababu ya kujitetea. Hii inaitwa chezea mshahara usichezee kazi.
Nitazidi kuwajuza kuhusu yatakayojiri hususani suala la maombi ya ukimbizi wa kisiasa kwa ndugu yetu Ansbert Ngurumo.
Kwa wanaopotosha kuwa Quest hafanyi mahojiano na wanasiasa, hapa yupo na Uhuru Kenyatta
5 Things Uhuru Told Richard Quest During Interview [VIDEO]
Aje muue, ameshawashutukia, wale waliotaka kumuua bado wapo na wanamsubiriLissu kaona ni rahisi sana kutembelea vyombo vya habari kuliko kutembelea wananchi wa Jimbo lake na watanzania tuliomuombea apone.
Sent using Jamii Forums mobile app