Sio viongozi tuu mpaka wananchi wake hawaamini kama hawawezi kuishi bila msaada...akili zimebinywa kila kona.Nimekuwa nikiongea siku zote ukombozi wa kweli ni kuwa na uchumi imara , hiyo ndio heshima ya nchi , yanayobaki yote ni kelele tu, tuna zaidi ya miaka 60 ya uhuru bado akili zetu zote zinawaza misaada, yaani viongozi wetu na wachumi wetu ni kama bongo zilisha bunguliwa.
Inafikirisha Sana na bado tuna safari ndefu Sana.Aisee umeongea kitu cha maana sana. Hiyo pesa si makusanyo yetu ya mwezi tu. Tunahangaika nayo ya nni?
Hatuna, tafuta wewe za kwako..Kwani inatolewa tolewa tu. Yaombwa tena hata kwa magoti hupati. Kuipata hadi kukidhi vigezo. Vigezo vilivyomo ni pamoja na kuwatendea haki raia wako kwa kutoa takwimu.
Wajameni - ngumu uko wapi hapo? Nani anayezuia hizi takwimu kutoka? Mwendazake sasa hivi si hayupo?
Mzuia takwimu muda wake wa kutumbuliwa ni sasa.
Ndio maana ya hizi barakoa. Ila tusifanye lockdown. We will kill each other for no good reasonTanzania inahitaji kuweka wazi data ya ueneaji kwa Covid-19 kabla ya kupata idhini ya mkopo wa dharura wa Dola 574 milioni kutoka Shirika la Fedha la Kimataifa. Maamuzi hayo yanatokana hali ya kutojulikana kwa takwimu halisi za ugonjwa huo tangu Serikali ilipoacha Mei mwaka jana wakati utawala wa Rais John Magufuli.
Tangu kifo chake mnamo tarehe 17 Machi, kiongozi mpya Samia Hassan ameashiria mabadiliko ya sera kwa kuteua timu ya ushauri juu ya jinsi ya kukabiliana na janga hilo na kuanza mchakato wa kupata chanjo. Serikali bado haijatoa ntakwimu halisi za ugonjwa huo.
"Uchapishaji wa data hizo zitakuwa ni sharti la kusonga mbele," alisema Jens Reinke, mwakilishi wa IMF nchini Tanzania. "Ili kuhalalisha ufadhili wa dharura katika muktadha wa janga hilo, unahitaji kuchapisha data muhimu za afya ya umma."
===
Zaidi Soma:
Tanzania needs to publish data on the spread of Covid-19 before getting approval for a $574 million emergency loan from the International Monetary Fund, the Washington-based lender said.
Reporting numbers on coronavirus infections and deaths would be an about turn for the government that hasn’t done so since May last year when then-President John Magufuli’s administration played down the threat from the disease. Since his death in March, new leader Samia Hassan has signaled a shift in policy by appointing an advisory team on how to tackle the pandemic and started a process to procure vaccines. The government hasn’t yet given numbers on the disease, though.
“Publication of such data would be a precondition of moving ahead,” said Jens Reinke, the IMF’s resident representative in Tanzania. “In order to justify emergency financing in the context of the pandemic, you need to publish relevant public-health data.”
The government first asked the IMF for a loan under its Rapid Credit Facility in March last year, he said by phone. Negotiations never progressed, and the government said last month it had revived the request.
Tanzania could access as much as $574 million given its current IMF quota, or double that if the lender’s board approves a proposed new general allocation of special drawing rights to further help countries deal with the consequences of the pandemic.
The government will make a statement on its coronavirus response once it has considered the advice from its Covid-19 technical committee, chief spokesman Gerson Msigwa said by phone.
Vulnerable Sectors
The nation doesn’t face an immediate balance of payments crisis, so Hassan’s administration would seek to justify the request on the basis of needing to finance its response to the impact of Covid-19. Early talks have started, said Reinke.
“We are exploring ways for the financing to go toward the government response to the public-health crisis, and maybe also to support vulnerable sectors like tourism,” he said, adding that the previous government had neglected investment in other sectors like health, education, and sanitation. “The government is reaching out to not only just us to kick-start investment in that.”
Source: Bloomberg
Tanzania inahitaji kuweka wazi data ya ueneaji kwa Covid-19 kabla ya kupata idhini ya mkopo wa dharura wa Dola 574 milioni kutoka Shirika la Fedha la Kimataifa. Maamuzi hayo yanatokana hali ya kutojulikana kwa takwimu halisi za ugonjwa huo tangu Serikali ilipoacha Mei mwaka jana wakati utawala wa Rais John Magufuli.
Tangu kifo chake mnamo tarehe 17 Machi, kiongozi mpya Samia Hassan ameashiria mabadiliko ya sera kwa kuteua timu ya ushauri juu ya jinsi ya kukabiliana na janga hilo na kuanza mchakato wa kupata chanjo. Serikali bado haijatoa ntakwimu halisi za ugonjwa huo.
"Uchapishaji wa data hizo zitakuwa ni sharti la kusonga mbele," alisema Jens Reinke, mwakilishi wa IMF nchini Tanzania. "Ili kuhalalisha ufadhili wa dharura katika muktadha wa janga hilo, unahitaji kuchapisha data muhimu za afya ya umma."
===
Zaidi Soma:
Tanzania needs to publish data on the spread of Covid-19 before getting approval for a $574 million emergency loan from the International Monetary Fund, the Washington-based lender said.
Reporting numbers on coronavirus infections and deaths would be an about turn for the government that hasn’t done so since May last year when then-President John Magufuli’s administration played down the threat from the disease. Since his death in March, new leader Samia Hassan has signaled a shift in policy by appointing an advisory team on how to tackle the pandemic and started a process to procure vaccines. The government hasn’t yet given numbers on the disease, though.
“Publication of such data would be a precondition of moving ahead,” said Jens Reinke, the IMF’s resident representative in Tanzania. “In order to justify emergency financing in the context of the pandemic, you need to publish relevant public-health data.”
The government first asked the IMF for a loan under its Rapid Credit Facility in March last year, he said by phone. Negotiations never progressed, and the government said last month it had revived the request.
Tanzania could access as much as $574 million given its current IMF quota, or double that if the lender’s board approves a proposed new general allocation of special drawing rights to further help countries deal with the consequences of the pandemic.
The government will make a statement on its coronavirus response once it has considered the advice from its Covid-19 technical committee, chief spokesman Gerson Msigwa said by phone.
Vulnerable Sectors
The nation doesn’t face an immediate balance of payments crisis, so Hassan’s administration would seek to justify the request on the basis of needing to finance its response to the impact of Covid-19. Early talks have started, said Reinke.
“We are exploring ways for the financing to go toward the government response to the public-health crisis, and maybe also to support vulnerable sectors like tourism,” he said, adding that the previous government had neglected investment in other sectors like health, education, and sanitation. “The government is reaching out to not only just us to kick-start investment in that.”
Source: Bloomberg
Wapime mapapai fasta fasta 😂😂
Na baada ya lockdown watamwambia aruhusu wanaume kuzibuliwa makalio ndio apewe mkopo.., utter nonsese..!!Huyu mama kayataka mwenyewe haya sasa watamwambia aweke kwanza lock down ndo wampe hela. Mama kusanya kodi achana na hao we unaona mwenzako alikupuka ama vipi
Mapapai mbuzi oil chafu ....Kwanini usiifanyie wewe kazi as an individual kwanza? Anza kujifungia ndani, kwani lazima uambiwe?
True watu wengine bado wana mawazo ya kijima ya MwendazakeHiyo ni almost 1Trilion.
Kuingiza trilion 1 kwenye uchumi faida zake ni nyingi sana kuliko kuleta kiburi kuikataa.
Akili za kutawaliwa, inashangaza.Mama tuvushe watanzania kwani hatupo kisiwa,Tumelia sana kwa maamuzi ya utawala wa masikini Jeuri. Usiturudishe Misri, enough is enough tuunganishe na ulimwengu. mama out trust is in you...Regards.
Tangu lini mkopo ukawa ni msaada! Yaani tukope pesa ya kununua barakoa, ppe, pcr, vichokonoa pua, chanjo za astrazeneca etc? Covid -19 ni ugonjwa tutakaodumu nao milele kama tulivyodumu na hiv - sasa dharura inatoka wapi?kupata idhini ya mkopo wa dharura wa Dola 574 milioni kutoka Shirika la Fedha la Kimataifa.
Ukiambiwa kuwa UNAUGUA (UNAUMWA) KWA KIASI GANI ILI UPATE MATIBABU,Acha ujinga, Hayo mariport yanazua taharuki kwa wananchi amani tuliyonayo sasa hivi juu ya corona ni kutokuwa na taharuki
Acha tu , mama kujivarisha kote mabarakoa haitoshi kumbe. Wanataka takwimu😂Paragraph ya Mwisho.....