Escrowseal1
JF-Expert Member
- Dec 17, 2014
- 4,618
- 4,605
Maza plan zote za kumaliza miradi akili iko kwenye Mikopo ndo maana anasema wafanya biashara wasibughudhiweHii mikopo mikopo enzi za jiwe tulishasahau..huyu mama anatuzingua.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maza plan zote za kumaliza miradi akili iko kwenye Mikopo ndo maana anasema wafanya biashara wasibughudhiweHii mikopo mikopo enzi za jiwe tulishasahau..huyu mama anatuzingua.
Kwani hizi taarifa za deni la taifa kukua kwa kasi ya 4G mlikua mnaziona au hamzioni wenzetu. Kwasababu hauna taarifa nayo haimaanishi haipo. Kwahiyo wewe akili yako inakutuma awamu ya tano haikua ikukopa kwamba wanajenga kwa pesa za ndani.Hii mikopo mikopo enzi za jiwe tulishasahau..huyu mama anatuzingua.
Stigla goji inajengwa na nini kama sio mikopo?Hii mikopo mikopo enzi za jiwe tulishasahau..huyu mama anatuzingua.
Mtu aliyekufa hawezi fufuka.JPM akifufuka Leo akakutana na hii mikopo [emoji15]
Hadi sasa bi mkubwa ana miezi 3 kashakopa zaidi ya mikopo 8 na miwili tumetolewa nje..huoni hatari hiyo akimaliza miaka 4..!!..yaani mikopo in Kenyatta's wayKwani hizi taarifa za deni la taifa kukua kwa kasi ya 4G mlikua mnaziona au hamzioni wenzetu. Kwasababu hauna taarifa nayo haimaanishi haipo. Kwahiyo wewe akili yako inakutuma awamu ya tano haikua ikukopa kwamba wanajenga kwa pesa za ndani.
Alikopa wapi!??..yaani wazungu wakupe mkopo wa kujenga mradi ambao wao wanaupinga,na wameupinga kwa miaka mingi!??..akili yako inafanya kazi wewe!??..Nipe source ya taarifa za mkopo tofauti na zitto kabweStigla goji inajengwa na nini kama sio mikopo?
Enda ukaangalie ripoti za bank of Tanzania, utaona mlikua mnachukua mikopo kila mwaka hata hizo enzi za JPM, sema tu ilikua haitangazwi wazi kwa wananchi ili muendelee kuamini kila kitu kinajengwa na 'pesa za ndani'Hii mikopo mikopo enzi za jiwe tulishasahau..huyu mama anatuzingua.
We fala kweli Jiwe kaacha deni Tilioni 71 kutoka Tilioni 35 ..Yule mwehu alikuwa muongo na alidhibiti taarifaHii mikopo mikopo enzi za jiwe tulishasahau..huyu mama anatuzingua.
Hizo ni akili za Uchumi Ili mzunguko wa fedha urudi kuwa stable na biashara mpya zichipukeMaza plan zote za kumaliza miradi akili iko kwenye Mikopo ndo maana anasema wafanya biashara wasibughudhiwe
Their debt is rising daily. And if you look at their debt structure, more than 70% of their debt is external compared to Kenya's where 53% is internal and external only account for 40%.Enda ukaangalie ripoti za bank of Tanzania, utaona mlikua mnachukua mikopo kila mwaka hata hizo enzi za JPM, sema tu ilikua haitangazwi wazi kwa wananchi ili muendelee kuamini kila kitu linajengwa na 'pesa za ndani'
Wakubwa wameziba pamba maskini hawawezi kujiuliza kwa nini corona ipande ili hali watu wamechanjwa,kinacho angaliwa pesa za misaada tena siyo misaada ni mkopo.Na waliotumia chanjo bado wanahaha
Covid: Everyone can see hospitalisations going up, says PM
Published10 hours ago
Share
Related Topics
IMAGE COPYRIGHTGETTY IMAGES
image captionSoldiers guide members of the public to a vaccination centre in Bolton
Boris Johnson says it is clear that Covid cases are rising and hospitalisations increasing, as a decision on 21 June unlocking looms.
Official figures show more than 1,000 people in the UK are currently in hospital with the disease.
The PM said he needed to assess the extent to which the vaccine rollout has built up protection in the population before progressing with the roadmap.
And he said again that the decision for England would be "driven by the data".
The number of people in hospital with the virus has risen above 1,000 for the first time since mid-May.
Scientists believe this could be the start of the third wave, caused by the Delta variant.
The size of that wave depends on how effective vaccines are at protecting people - and that is still uncertain.
The government is due to decide on 14 June whether to lift the last remaining restrictions in England.
- Testing and vaccine push in north-west England
- Lockdown lifting - the four key numbers
- What difference could 21 June make to what I can do?
But government sources are more downbeat about the prospect of the easing going ahead the following week.
Speaking in Cornwall ahead of the G7 summit, the prime minister said there are "arguments being made one way or another" as to whether all restrictions can be lifted as planned.
"What everybody can see very clearly is that cases are going up and, in some places, hospitalisations are going up.
"What we need to assess is the extent to which the vaccine rollout, which has been phenomenal, has built up enough protection in the population in order for us to go ahead to the next stage."
Kwenu wamekufa wangapi na coronaMagufuli pamoja na kwamba alikuwa anakosolewa katika hili la Corona ila alikuwa anajua ni nini anafanya hata kama alikuwa anakosea, ila Mama samia ni wazi anaonekana hajui nini anafanya haelewi hili suala la Corona. Magufuli yeye alikuwa anadai hakuna corona huo ndio ulikuwa msimamo wake na hivyo akaachia watu waishi kama ulivyo msimamo wake kuwa nchi haina corona, ila sasa Mama samia yeye msimamo wake kuwa corona ipo nchini ila kaachia mambo yaende kama ulivyokuwa msimamo wa Magufuli.
Unasema corona ipo halafu hupimi watu hiyo corona,unasema corona ipo halafu huzuia mambo ambayo hufanya mikusanyiko isiyo ya lazima, unasema corona ipo halafu huoneshi Userious katika kuwahimiza wananchi kuchukua tahadhari.
Hayo yote kashindwa kuyafanya ila anakimbilia chanjo za corona utafikiri zikija anawachanja watu wote kwa siku moja.
Mbona umekasrika mzeeFala mama yako..leta source,matako wewe
Umeongea kama mlevi wa the kick hivi unaweza fananisha uchumi wa china na wakwetu? Nyie ndio mlikuwa mnamdanganya mzee wenu tumekuwa donor country tuishi kwenye uhalisia bado tunaitaji misaada yao kwa namna nyingi tu.Tumefinywa kidogo ngoja tuone tutakavyorukaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Na pesa tunaitaka! Elimu yetu haipo sawa Na mfumo dume wa Mkoloni wa ulimwengu.
Hatufundishwi jinsi ya kumjibu Mzungu na kuachana Na ujinga wake.
Leo hii China hawataki kutoa ushirikiano kwa W.H.O lkn hatusikii lawama nyingi kama tunavyolalamikiwa sisi.
Mi sijakasirika,ye angeleta hoja tujadili,lakini kaanza kunitukana..rudia posti juu.. dawa ya moto ni moto,mbona sijakutukana wewe,nikamtukana yeyeMbona umekasrika mzee