#COVID19 IMF: Tanzania lazima iweke wazi takwimu za COVID-19 ili ipate msaada wa dharura

#COVID19 IMF: Tanzania lazima iweke wazi takwimu za COVID-19 ili ipate msaada wa dharura

Kwani hizi taarifa za deni la taifa kukua kwa kasi ya 4G mlikua mnaziona au hamzioni wenzetu. Kwasababu hauna taarifa nayo haimaanishi haipo. Kwahiyo wewe akili yako inakutuma awamu ya tano haikua ikukopa kwamba wanajenga kwa pesa za ndani.
Hadi sasa bi mkubwa ana miezi 3 kashakopa zaidi ya mikopo 8 na miwili tumetolewa nje..huoni hatari hiyo akimaliza miaka 4..!!..yaani mikopo in Kenyatta's way
 
Enda ukaangalie ripoti za bank of Tanzania, utaona mlikua mnachukua mikopo kila mwaka hata hizo enzi za JPM, sema tu ilikua haitangazwi wazi kwa wananchi ili muendelee kuamini kila kitu linajengwa na 'pesa za ndani'
Their debt is rising daily. And if you look at their debt structure, more than 70% of their debt is external compared to Kenya's where 53% is internal and external only account for 40%.

 
Na waliotumia chanjo bado wanahaha

Covid: Everyone can see hospitalisations going up, says PM​

Published10 hours ago
Share
Related Topics
IMAGE COPYRIGHTGETTY IMAGES
image captionSoldiers guide members of the public to a vaccination centre in Bolton
Boris Johnson says it is clear that Covid cases are rising and hospitalisations increasing, as a decision on 21 June unlocking looms.
Official figures show more than 1,000 people in the UK are currently in hospital with the disease.
The PM said he needed to assess the extent to which the vaccine rollout has built up protection in the population before progressing with the roadmap.
And he said again that the decision for England would be "driven by the data".
The number of people in hospital with the virus has risen above 1,000 for the first time since mid-May.
Scientists believe this could be the start of the third wave, caused by the Delta variant.
The size of that wave depends on how effective vaccines are at protecting people - and that is still uncertain.
The government is due to decide on 14 June whether to lift the last remaining restrictions in England.
But government sources are more downbeat about the prospect of the easing going ahead the following week.
Speaking in Cornwall ahead of the G7 summit, the prime minister said there are "arguments being made one way or another" as to whether all restrictions can be lifted as planned.
"What everybody can see very clearly is that cases are going up and, in some places, hospitalisations are going up.
"What we need to assess is the extent to which the vaccine rollout, which has been phenomenal, has built up enough protection in the population in order for us to go ahead to the next stage."
Wakubwa wameziba pamba maskini hawawezi kujiuliza kwa nini corona ipande ili hali watu wamechanjwa,kinacho angaliwa pesa za misaada tena siyo misaada ni mkopo.
Mungu yupo ipo siku mtajua kuwa nyie ni binadamu tu.
 
Magufuli pamoja na kwamba alikuwa anakosolewa katika hili la Corona ila alikuwa anajua ni nini anafanya hata kama alikuwa anakosea, ila Mama samia ni wazi anaonekana hajui nini anafanya haelewi hili suala la Corona. Magufuli yeye alikuwa anadai hakuna corona huo ndio ulikuwa msimamo wake na hivyo akaachia watu waishi kama ulivyo msimamo wake kuwa nchi haina corona, ila sasa Mama samia yeye msimamo wake kuwa corona ipo nchini ila kaachia mambo yaende kama ulivyokuwa msimamo wa Magufuli.

Unasema corona ipo halafu hupimi watu hiyo corona,unasema corona ipo halafu huzuia mambo ambayo hufanya mikusanyiko isiyo ya lazima, unasema corona ipo halafu huoneshi Userious katika kuwahimiza wananchi kuchukua tahadhari.

Hayo yote kashindwa kuyafanya ila anakimbilia chanjo za corona utafikiri zikija anawachanja watu wote kwa siku moja.
 
Magufuli pamoja na kwamba alikuwa anakosolewa katika hili la Corona ila alikuwa anajua ni nini anafanya hata kama alikuwa anakosea, ila Mama samia ni wazi anaonekana hajui nini anafanya haelewi hili suala la Corona. Magufuli yeye alikuwa anadai hakuna corona huo ndio ulikuwa msimamo wake na hivyo akaachia watu waishi kama ulivyo msimamo wake kuwa nchi haina corona, ila sasa Mama samia yeye msimamo wake kuwa corona ipo nchini ila kaachia mambo yaende kama ulivyokuwa msimamo wa Magufuli.

Unasema corona ipo halafu hupimi watu hiyo corona,unasema corona ipo halafu huzuia mambo ambayo hufanya mikusanyiko isiyo ya lazima, unasema corona ipo halafu huoneshi Userious katika kuwahimiza wananchi kuchukua tahadhari.

Hayo yote kashindwa kuyafanya ila anakimbilia chanjo za corona utafikiri zikija anawachanja watu wote kwa siku moja.
Kwenu wamekufa wangapi na corona
 
Tumefinywa kidogo ngoja tuone tutakavyorukaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Na pesa tunaitaka! Elimu yetu haipo sawa Na mfumo dume wa Mkoloni wa ulimwengu.

Hatufundishwi jinsi ya kumjibu Mzungu na kuachana Na ujinga wake.

Leo hii China hawataki kutoa ushirikiano kwa W.H.O lkn hatusikii lawama nyingi kama tunavyolalamikiwa sisi.
Umeongea kama mlevi wa the kick hivi unaweza fananisha uchumi wa china na wakwetu? Nyie ndio mlikuwa mnamdanganya mzee wenu tumekuwa donor country tuishi kwenye uhalisia bado tunaitaji misaada yao kwa namna nyingi tu.

Sent from my 601SO using JamiiForums mobile app
 
Tanzania inapambana na Covid-19 kimya kimya !! yaani tunatumia ile style ya buruguni ya kukimbiza mwizi.
 
Back
Top Bottom