komora096
JF-Expert Member
- Sep 26, 2018
- 20,548
- 5,647
Lkn mbona lipo wazi km wakati wa jiwe deni pia liliongezeka..Mi sijakasirika,ye angeleta hoja tujadili,lakini kaanza kunitukana..rudia posti juu.. dawa ya moto ni moto,mbona sijakutukana wewe,nikamtukana yeye
We sema tu hutaki aseme hvo manake sijaelewa hapo unachopinga nini?deni kupanda au hzo takwimu zake!![emoji848]