#COVID19 IMF: Tanzania lazima iweke wazi takwimu za COVID-19 ili ipate msaada wa dharura

#COVID19 IMF: Tanzania lazima iweke wazi takwimu za COVID-19 ili ipate msaada wa dharura

Pesa za bima tunapigwa,
Tena mikopo.
Hivi unamkopeshaje mgonjwa?
 
Mwandishi wa gazeti mmoja wa Holland aliuawa na saa chache baadaye Rais wa Haiti aliuawa. Vifo hivyo vilikuwa vinahusiana. Yule reporter alisema katika mahojiano ya TV kwamba covid -19 virus imetengenezwa na Bill Gates na rafiki zake. Itakumbukwa Bill Gates alikuwa akisema siku za karibuni kwamba ana hamu sana ya kupunguza idadi ya watu Duniani.
Covid -19 bado haijaua watu. Lakini mambo ya kukopesha watu hela kutibu ugonjwa ambao wameuanzisha wenyewe kwa makusudi,hiyo inaweza kuleta maneno.
Hii article ipo whatdoesitmean.com.
Yaani swali langu ni kwamba,kwa Nini usiwaachie watu wafe?
Au wataalamu wa uchumi wanafahamu labda wanafahamu kwamba deni hilo ni dogo sana?
Kwa Nini usiwaachie watu wafe? A rhetorical question maybe? Magufuli angefanyaje?
Wale watu all the time walikuwa wanaeneza Corona kwa makusudi,huyu reporter kawastukia wamemuua last week.
Wanaeneza kwa makusudi,ndiyo maana hawakuileta Magufuli alipokuwepo.
Kwa sababu Magufuli alipoweka Corona kwenye fenesi wakajua amewastukia.
Tatizo la IMF ni kwamba wanatoa rushwa kwa Waziri wa Fedha kuwaambia watu kwamba madeni yanalipika. Na hayo mambo alikuwa anasema Joseph Stiglitz ambaye aliwahi kuwa Executive Director wa IMF.
 
Hatimae inaelekea mtego wa mabeberu wa covid 19 utafyatuka kuinasa Serikali ya Samia.

IMF na Benki ya Dunia wako kwenye mazungumzo na Serikali ya Tanzania ili kuikopesha kiasi cha dola za kimarekani $571 milioni. Kiasi hicho ni takriban sawa na shilingi za kitanzania trilion 1.2. Hizo ni hela nyingi sana ambazo nchi inaenda kutiwa deni.

Kuna mtazamo duniani kote kwamba covid 19 ni ugonjwa ambao madhara yake yamekuzwa kwa kutiwa chumvi sana na mashirika na makampuni yenye ubia wa kibiashara na magonjwa yanayosambaa kwa haraka. Na kwamba ubia huu unasambaa hadi kwenye mabenki yanayomilikiwa na nchi za kibeberu.

Mabenki ya nchi tajiri ifm na beni ya dunia wanakukopesha ili ununue toka makampuni ya nchi zao.

Mkakati wao ni kuwatia walimwengu hofu na kuwatisha ili wanunue toka orodha ya chanjo madawa na vifaa ambavyo wala sio mahitaji ya lazima.

Rais Magufuli alikuwa mwangalifu na jasiri kwenye janga hili ili kuepusha nchi kuingia kwenye mkopo usio lazima na pia kusimamisha maendeleo ya kiuchumi ya nchi.

Aliweza kubaini baadhi ya njama kama vile kuwekwa data za uongo kuhusu idadi ya wagonjwa wa covid 19 na kadhalika. Pia aliwaambia hizo nchi na benki ya dunia zilizotoa ofa ya mikopo harakaharaka wafanye msaada wa bure badala ya mkopo.

Katika mazungumzo yanayoendelea inafaa serikali isiende pupa maana kuna viongozi wana maslahi ya kibinafsi huku nchi inaingizwa kwenye deni lingine kubwa pengine halihitajiki.
Vyeti feki na waliotumbuliwa na Magufuli watakupinga na kukukejeli

Sent from my TECNO Camon CX using JamiiForums mobile app
 
...
Kuna mtazamo duniani kote kwamba covid 19 ni ugonjwa ambao madhara yake yamekuzwa kwa kutiwa chumvi sana na mashirika na makampuni yenye ubia wa kibiashara na magonjwa yanayosambaa kwa haraka. Na kwamba ubia huu unasambaa hadi kwenye mabenki yanayomilikiwa na nchi za kibeberu.
....
... tembelea mahospitalini uone binadamu wanavyoteseka acha kuandika upumbavu! Kama hayajakukuta kaa kimya na umshukuru Mungu. Maelfu waliofariki duniani kwa Covid 19 bado akili yako inakutuma "umetiwa chumvi sana"; unataka hadi nini kitokee ndio uone reality?
 
Hatimae inaelekea mtego wa mabeberu wa covid 19 utafyatuka kuinasa Serikali ya Samia.

IMF na Benki ya Dunia wako kwenye mazungumzo na Serikali ya Tanzania ili kuikopesha kiasi cha dola za kimarekani $571 milioni. Kiasi hicho ni takriban sawa na shilingi za kitanzania trilion 1.2. Hizo ni hela nyingi sana ambazo nchi inaenda kutiwa deni.

Kuna mtazamo duniani kote kwamba covid 19 ni ugonjwa ambao madhara yake yamekuzwa kwa kutiwa chumvi sana na mashirika na makampuni yenye ubia wa kibiashara na magonjwa yanayosambaa kwa haraka. Na kwamba ubia huu unasambaa hadi kwenye mabenki yanayomilikiwa na nchi za kibeberu.

Mabenki ya nchi tajiri ifm na beni ya dunia wanakukopesha ili ununue toka makampuni ya nchi zao.

Mkakati wao ni kuwatia walimwengu hofu na kuwatisha ili wanunue toka orodha ya chanjo madawa na vifaa ambavyo wala sio mahitaji ya lazima.

Rais Magufuli alikuwa mwangalifu na jasiri kwenye janga hili ili kuepusha nchi kuingia kwenye mkopo usio lazima na pia kusimamisha maendeleo ya kiuchumi ya nchi.

Aliweza kubaini baadhi ya njama kama vile kuwekwa data za uongo kuhusu idadi ya wagonjwa wa covid 19 na kadhalika. Pia aliwaambia hizo nchi na benki ya dunia zilizotoa ofa ya mikopo harakaharaka wafanye msaada wa bure badala ya mkopo.

Katika mazungumzo yanayoendelea inafaa serikali isiende pupa maana kuna viongozi wana maslahi ya kibinafsi huku nchi inaingizwa kwenye deni lingine kubwa pengine halihitajiki.
Mzungu hakwepeki lilikuwa suala la muda tu. Ila tuwe na shukrani na ustaarabu ktk kuongea na wageni hasa development partners wetu wa tangu uhuru,hii lugha ya mabeberu ni ya kishamba sana na sio ustaarabu ilikuwepo zamani sana na walioianzisha waliiacha maana dunia ilishastaarabika.
Hii misukuma sio ya kupewa nchi tena,wengi wao ni primitive na wajinga sana ata wasome vipi bado hawabadiliki!
 
Upo sahihi sana, ni wakati sasa wa mabeberu kutukamata masikio.......wanakupa mkopo ununue sumu inayoitwa chanjo kwao, hapo hapo wanakuwa wamefanikisha lengo la kudunga sumu kwa watu wako na mkopo unalipa, aisee hongera kwa kujua hizi mambo......
 
Upo sahihi sana, ni wakati sasa wa mabeberu kutukamata masikio.......wanakupa mkopo ununue sumu inayoitwa chanjo kwao, hapo hapo wanakuwa wamefanikisha lengo la kudunga sumu kwa watu wako na mkopo unalipa, aisee hongera kwa kujua hizi mambo......
Ni ushamba wenu tu na sumu aliyowapa kichaa aliekufa inafanya kazi sana kwenu, wewe una chanjo ngapi tangu utotoni?
Kwa nini wasingekuua wakati huo?
Unatumia teknolojia yao,nguo zao,mpaka chakula! Leo unaona chanjo ya korona tu? Kweli wajinga bado ni wengi mno!
YAANI WEWE SIO TISHIO KABISA KTK DUNIA,SASA MZUNGU AKUUE ILI APATE NINI?
Acha kumsikiliza kichaa aliekufa
 
Ni ushamba wenu tu na sumu aliyowapa kichaa aliekufa inafanya kazi sana kwenu, wewe una chanjo ngapi tangu utotoni?
Kwa nini wasingekuua wakati huo?
Unatumia teknolojia yao,nguo zao,mpaka chakula! Leo unaona chanjo ya korona tu? Kweli wajinga bado ni wengi mno!
YAANI WEWE SIO TISHIO KABISA KTK DUNIA,SASA MZUNGU AKUUE ILI APATE NINI?
Acha kumsikiliza kichaa aliekufa
Hizo programs za population control unafikiri wanalenga nani kama siyo nyani kama wewe, unafikiri wameanza leo......jitambue mzee....
 
Hizo programs za population control unafikiri wanalenga nani kama siyo nyani kama wewe, unafikiri wameanza leo......jitambue mzee....
Hizo ni hoja za kichaa,mtu mzima unaendeshwa na fikra za kichaa,tena aliekufa!
Kama hauna ushahidi hiyo ni mere conspiracy theory, achana na fikra za kichaa marehemu
 
Hatimae inaelekea mtego wa mabeberu wa covid 19 utafyatuka kuinasa Serikali ya Samia.

IMF na Benki ya Dunia wako kwenye mazungumzo na Serikali ya Tanzania ili kuikopesha kiasi cha dola za kimarekani $571 milioni. Kiasi hicho ni takriban sawa na shilingi za kitanzania trilion 1.2. Hizo ni hela nyingi sana ambazo nchi inaenda kutiwa deni.

Kuna mtazamo duniani kote kwamba covid 19 ni ugonjwa ambao madhara yake yamekuzwa kwa kutiwa chumvi sana na mashirika na makampuni yenye ubia wa kibiashara na magonjwa yanayosambaa kwa haraka. Na kwamba ubia huu unasambaa hadi kwenye mabenki yanayomilikiwa na nchi za kibeberu.

Mabenki ya nchi tajiri ifm na beni ya dunia wanakukopesha ili ununue toka makampuni ya nchi zao.

Mkakati wao ni kuwatia walimwengu hofu na kuwatisha ili wanunue toka orodha ya chanjo madawa na vifaa ambavyo wala sio mahitaji ya lazima.

Rais Magufuli alikuwa mwangalifu na jasiri kwenye janga hili ili kuepusha nchi kuingia kwenye mkopo usio lazima na pia kusimamisha maendeleo ya kiuchumi ya nchi.

Aliweza kubaini baadhi ya njama kama vile kuwekwa data za uongo kuhusu idadi ya wagonjwa wa covid 19 na kadhalika. Pia aliwaambia hizo nchi na benki ya dunia zilizotoa ofa ya mikopo harakaharaka wafanye msaada wa bure badala ya mkopo.

Katika mazungumzo yanayoendelea inafaa serikali isiende pupa maana kuna viongozi wana maslahi ya kibinafsi huku nchi inaingizwa kwenye deni lingine kubwa pengine halihitajiki.
Mzungu akiamua jambo lake litakuwa tu,who knows kama hao wazungu ndio wamemuua maguful,pili bila chanjo ukiingia nchi zao unawekwa karanteen kwa siku 14 hotelini kwa gharama zako,hotel ya dola 200 kwa siku,
 
Ni ushamba wenu tu na sumu aliyowapa kichaa aliekufa inafanya kazi sana kwenu, wewe una chanjo ngapi tangu utotoni?
Kwa nini wasingekuua wakati huo?
Unatumia teknolojia yao,nguo zao,mpaka chakula! Leo unaona chanjo ya korona tu? Kweli wajinga bado ni wengi mno!
YAANI WEWE SIO TISHIO KABISA KTK DUNIA,SASA MZUNGU AKUUE ILI APATE NINI?
Acha kumsikiliza kichaa aliekufa
Utakua cheti feki.. ndio wajinga wanaojiamini😂😂
 
Hizo programs za population control unafikiri wanalenga nani kama siyo nyani kama wewe, unafikiri wameanza leo......jitambue mzee....
Mzungu akiamua kukuondoa duniani ni sekunde
 
Corona ipo na inaua tuchukue hatua.
Kama hayajakufika kaa kimya kuliko kutenda dhambi kwa kuandika mambo ya uongo.
 
Chato kuwa New York madege makubwa makubwa kutua huko.....alisikika mlevi moja mtaa wa Makoroboi huku akiyumbayumba
 
Mzungu akiamua kukuondoa duniani ni sekunde
Aondoe mara ngapi wakati ndo mchezo wake miaka nenda rudi kupitia machanjo, uzazi wa mpango na matakataka kibao kupitia 'kwa hisani yaa'
 
Aondoe mara ngapi wakati ndo mchezo wake miaka nenda rudi kupitia machanjo, uzazi wa mpango na matakataka kibao kupitia 'kwa hisani yaa'
Be positive,ina maana huoni umuhimu wa uzazi wa mpango,unakumbuka ukimwi kabla ya ARV ilikuwaje
 
Back
Top Bottom