#COVID19 IMF: Tanzania lazima iweke wazi takwimu za COVID-19 ili ipate msaada wa dharura

Be positive,ina maana huoni umuhimu wa uzazi wa mpango,unakumbuka ukimwi kabla ya ARV ilikuwaje
Kwa hiyo nimwabudu beberu kisa kuna magonjwa anatengeneza na kuleta madawa ya kuyafubaza.....
 
Take that money first,then wape takwimu za uongo.

Covid-19 is a scam and propaganda.
 
Upo sahihi kabisa na sitakubali beberu na makuwadi wake waendeshe ufahamu na fikra zangu.......
Huwezi kushindana na beberu unajidanganya,unamuhitaji zaidi ya anavyokuhitaji,huna hela,huna technology,una ardhi na watu wasio na tija basi
 
Huwezi kushindana na beberu unajidanganya,unamuhitaji zaidi ya anavyokuhitaji,huna hela,huna technology,una ardhi na watu wasio na tija basi
Yaa, wakati mwingine unajifanya maskini jeuri ili beberu asikung'ang'anie masikio.
 
There is no way out. The CCM government has to comply to the requirement.
 
Reactions: BAK
Angalia usije mzimu wake ukakujia usingizini. Ukaota unakunywa naye ulanzi.
 
Yaa, wakati mwingine unajifanya maskini jeuri ili beberu asikung'ang'anie masikio.
Nyerere alikuwa na mawazo kama yako akachemsha akakimbia ikulu baada ya kwenda mtwara kukuta watu wanavaa matambara kufunika nyuchi zao kwa kukosa nguo za kuvaa
 
Nayule mkuu wa mkoa wa shinyanga amesema mambo si yakutisha kivile
 
Kwani China ni ombaomba kama nyie, mlikataa mkasema Corona imemalizwa kwa maombi sasa ina maana leo mmemuasi Mungu. Hamna tena maombi kwa nini tusiendelee na maombi kwa kuchanganya kidogo na nyungu.
 
Hii mikopo mikopo enzi za jiwe tulishasahau..huyu mama anatuzingua.
Acha ukichaa wewe! Kama tulisahau ilikuwaje deni la taifa likaongezeka kutoka trillions 50+ hadi trillions 7+?

Una akili ndogo kama marehemu jiwe
 
Hao hawajawahi kuacha kuchomoka au unataka kusema sasa hivi biashara ya majeneza inalipa kuliko zamani?

Ndio, usiwe mbishi nenda hospital za serikali ndio utajua corona ipo au haipo.. wagonjwa wanaishiwa adi mitungi ya gesi wewe unadhani utani! Nikusikilize wewe au daktari aliesema wagonjwa wa corona ni wengi, na wengine hufariki!!


Wabongo acheni ubishi bwana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…