Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndoto hiziNchi yangu Sri Lanka mtarajiwa
Kwamba yayaishije?Job alichokosea ni kuomba msamaha tu, vinginevyo angekufa kishujaa.
Yale maneno yake yataendelea kuishi kwetu, bila kusahau zimeanzishwa tozo mpya.
Mnajilisha upepo bure.Ukraine-Russia & Covid 19- excuses....., IMF chombo kizuri na chenye nguvu ya kubadilisha sera,mipango na muelekeo wa nchi fukara/maskini,poverty trap:IMF, WORLDBANK & WTO =UNHOLY TRINITY.
Asiyejua maana usimwambie maanaKwamba yayaishije?
Hakika tunakopa, tena kwa spidi ya kutisha, nina hakika Samia anaenda kuvunja rekodi zote za watangulizi wake.
Mmmmh haya bhana ngoja tuoneYaan watu wamlilie ndugai!!? Mna masihala nyie matahira
Wewe ulitakaje?Mliambiwa tozo ni za kujenga nchi, sasa wamekopa tena > 1 billion USD,
wakati ninyi mkiwa mnafatwa kulipia haya madeni wao hawatakuwepo tena, sijui
tulimkosea nini huyu raisi, duh!
Bloomberg - Are you a robot?
www.bloomberg.com
Mbona taarifa ni ya July hii mkuuMliambiwa tozo ni za kujenga nchi, sasa wamekopa tena > 1 billion USD,
wakati ninyi mkiwa mnafatwa kulipia haya madeni wao hawatakuwepo tena, sijui
tulimkosea nini huyu raisi, duh!
Bloomberg - Are you a robot?
www.bloomberg.com
Tozo siyo kwa ajili ya kujenga Zahanati na Shule kama mnavyoambiwa, bali ni guarantee ya hii mikopo, wakikopa ni lazima waweke guarantee au security na taxes zenu ndiyo guarantee na ipo siku hata pension watakata kodi kama
guarantee!