IMF yaidhinishia Tanzania mkopo wa Trilioni 2.4
Bodi ya Shirika la Fedha Duniani (IMF) imeridhia Mkopo wa Dola za Marekani Bilioni 1.046 (Takriban Tsh. 2,422,536,000,000) kwa Tanzania katika kipindi cha miezi 40 kusaidia kukabiliana na athari za vita ya Urusi na Ukraine. Kiasi cha Dola za Marekani Milioni 151.7 kitatolewa mara moja.

Taarifa ya IMF inaeleza kuwa, vita hiyo inakwamisha Uchumi wa Tanzania kuimarika kufuatia mlipuko wa COVID-19, hivyo kuleta changamoto zaidi katika Maendeleo.

Tanzania ilishapokea Mkopo wa Dola Milioni 567 mwishoni mwa 2021 ili kukidhi mahitaji yake ya dharura wakati Mlipuko wa Virusi vya Corona ulipoathiri Maendeleo ya Kiuchumi, hususan Sekta ya Utalii kwa kiasi kikubwa

=========

The International Monetary Fund said Monday it has granted Tanzania a $1.046-billion loan over 40 months, primarily to help the country cope with the consequences of the war in Ukraine.

"Spillovers from the war in Ukraine are stalling the Tanzanian economy's gradual recovery from the Covid-19 pandemic, exacerbating the country's development and reform challenges to unleash its economic potential," the IMF said in a statement.

As a result, the fund's experts believe that the African country will need help to carry out reforms and "unleash its economic potential."

Tanzania is to immediately receive the equivalent of $151.7 million. It had already received a loan of $567 million at the end of 2021 to meet its most urgent needs, when the Covid-19 pandemic had severely hampered its economic development, particularly in the tourism sector.

The war in Ukraine has caused food and fuel prices to soar worldwide, and the rise in wheat prices is "particularly worrying," said the IMF in a recent report entitled "A new shock and little room for maneuver," because sub-Saharan Africa imports 85 percent of its cereal consumption, with particularly high amounts going to Tanzania, Ivory Coast, Senegal and Mozambique.

The project that was announced on Monday, which is part of the Extended Credit Facility (ECF), should help finance reforms to improve Tanzania's financial stability, carry out public investments and support the private sector.

"Recognizing Tanzania's strong track record in reform implementation, directors supported the authorities' requests for an ECF arrangement to meet pressing financing needs," said Bo Li, an IMF official quoted in the statement.

Among other objectives, he also mentioned the importance of continuing vaccination campaigns on a larger scale

Source >>> IMF greenlights $1 bn loan to Tanzania
Sawa tu
 
Bunge la sasa nani wanaweza kuifanyia tathmini mikopo mikubwa kama hii??!
Mikopo, Mikopo, Mikopo, Mikopo.

Mwaka mmoja na miezi mitatu mmeshakopa zaidi ya Trilioni 20, Kasi mbona kubwa Sana?

Bunge mbona halishirikishwi juu ya Mikopo hiyo? Anaamka waziri ni kukopa tu.

Pesa Huwa haitoshi, Punguza matumizi ya Serikali ni MAKUBWA mno.

Tunataka iandikwe KATIBA mpya itokanayo na RASIMU ya Judge WARIOBA.

Pawepo na kundi la Professionals waliobobea ktk masuala ya Uchumi na fedha watakaokuwa HURU, wafanye maamuzi ya kuishauri Bunge na Serikali juu ya faida, hasara na alternative za Mikopo Kwa Nchi.

Ameeeen.
 
Tufahamu tu hizo ni pesa za mkopo tena zina msururu wa masharti kutoka kwa wakopeshaji, hivyo tutapaswa kuzilipa kwa faida na kufuata masharti yao.

Swali linakuja.
1. Tutazilipaje?
2. Zina masharti gani?
Uiisha pigs kura nakuridhika namatokeo sasa tulia upate matokeo yakura yako
 
Bunge la sasa nani wanaweza kuifanyia tathmini mikopo mikubwa kama hii??!
Bunge la wananchi linaweza. Tuandike KATIBA kwanza. Mbinyo uendelee,

Waziri wa Fedha ni saiz yetu, tumuwajibishe huyo.
 
International Monetary Fund (IMF) Tanzania.jpg

"Shukrani nyingi sana kwa Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kuipigania Tanzania Kimataifa."
Katika kipindi hiki cha karne ya 21, ambapo Diplomasia ya uchumi ndio aina ya ushirikiano unaofukuta kwa kasi zaidi dunani. Tanzania imeendelea kujipambanua kuwa imara zaidi chini ya serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan.

Mataifa makubwa na taasisi za fedha za kimataifa zimeendelea kuiamini Tanzania katika kuipatia misaada na mkopo kwa kipaumbele cha kipekee.

July 18th, 2022. Bodi ya Wakurugenzi ya Shirika la Fedha Duniani (IMF) imeidhinisha mkopo nafuu wa Dola za Marekani Bilioni 1.05 (zaidi ya trilioni 2.5) kwa ajili ya kuimarisha uchumi wa Tanzania.

Sambamba na kukabiliana na madhara ya kiuchumi ambayo yametokana na vita vya Urusi na Ukarine, fedha zinazotolewa ndani ya miezi 40 kupitia Mpango wa Nyongeza ya Mikopo (ECF) huku wakitanguliza dola milioni 151.7.

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa Julai 18,2022 na IMF pia fedha hizo zinalenga kujenga uchumi himilivu na kusaidia mageuzi ya kimuundo yatakayoleta ukuaji wa uchumi jumuishi kwa kuzingatia vipaumbele vya Serikali ya Tanzania.

Awali, IMF ilitoa zaidi ya shilingi trilioni moja kwa Tanzania kutoka mfuko wa mkopo wa dharura, lengo likiwa ni kusaidia juhudi za serikali za kukabiliana na uhitaji wa dharura katika sekta ya afya, misaada ya kibinadamu na changamoto nyingine za kiuchumi.

Fedha zitaenda kwenye Kilimo, mifugo na Uvuvi na Nishati" alisema waziri wa fedha na mipango Mwigulu Nchemba.
 
"Shukrani nyingi sana kwa Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kuipigania Tanzania Kimataifa."

Katika kipindi hiki cha karne ya 21, ambapo Diplomasia ya uchumi ndio aina ya ushirikiano unaofukuta kwa kasi zaidi dunani.

Tanzania imeendelea kujipambanua kuwa imara zaidi chini ya serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan.

Mataifa makubwa na taasisi za fedha za kimataifa zimeendelea kuiamini Tanzania katika kuipatia misaada na mkopo kwa kipaumbele cha kipekee.

July 18th, 2022. Bodi ya Wakurugenzi ya Shirika la Fedha Duniani (IMF) imeidhinisha mkopo nafuu wa Dola za Marekani Bilioni 1.05 (zaidi ya trilioni 2.5) kwa ajili ya kuimarisha uchumi wa Tanzania.

Sambamba na kukabiliana na madhara ya kiuchumi ambayo yametokana na vita vya Urusi na Ukarine, fedha zinazotolewa ndani ya miezi 40 kupitia Mpango wa Nyongeza ya Mikopo (ECF) huku wakitanguliza dola milioni 151.7.

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa Julai 18,2022 na IMF pia fedha hizo zinalenga kujenga uchumi himilivu na kusaidia mageuzi ya kimuundo yatakayoleta ukuaji wa uchumi jumuishi kwa kuzingatia vipaumbele vya Serikali ya Tanzania.

Awali, IMF ilitoa zaidi ya shilingi trilioni moja kwa Tanzania kutoka mfuko wa mkopo wa dharura, lengo likiwa ni kusaidia juhudi za serikali za kukabiliana na uhitaji wa dharura katika sekta ya afya, misaada ya kibinadamu na changamoto nyingine za kiuchumi.

Fedha zitaenda kwenye Kilimo, mifugo na Uvuvi na Nishati" alisema waziri wa fedha na mipango Mwigulu Nchemba.
 
Hizo pesa zinaingia mifukoni mwa watu,halafu chache zinazugia kiaina kufanya shughuli za maendeleo.
 
Hivi wewe ukisema yamwagiwa unadhani inamwagiwa bure?

Unafikiri wanaomwaga wanawaminya walipakodi wao walipe kodi then waje kutumwagia tu hivihivi?

Something wrongo somewhere with you

Kwa naana hiyo wabongo tuendelee kukaa mkao wa kumwagiwa?

Watanzania naona mmemsikia wenyewe huyu jamaa kazi kwenu.......
 
Kuna siku tutakuja na matusi mazito mazito na kujaa ikulu pale kudai hizo pesa zimeenda wapi ...tatizo sio kukopa tatizo je zinatumika kwa wananchi
 
21s century kiumbe mwenye kila kiungo anashukuru misaada.

taifa lina changamoto nyingi,ujinga,umasikini na maradhi halafu kuna unafiki au uchawa.
 
"Shukrani nyingi sana kwa Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kuipigania Tanzania Kimataifa."

Katika kipindi hiki cha karne ya 21, ambapo Diplomasia ya uchumi ndio aina ya ushirikiano unaofukuta kwa kasi zaidi dunani.

Tanzania imeendelea kujipambanua kuwa imara zaidi chini ya serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan.

Mataifa makubwa na taasisi za fedha za kimataifa zimeendelea kuiamini Tanzania katika kuipatia misaada na mkopo kwa kipaumbele cha kipekee.

July 18th, 2022. Bodi ya Wakurugenzi ya Shirika la Fedha Duniani (IMF) imeidhinisha mkopo nafuu wa Dola za Marekani Bilioni 1.05 (zaidi ya trilioni 2.5) kwa ajili ya kuimarisha uchumi wa Tanzania.

Sambamba na kukabiliana na madhara ya kiuchumi ambayo yametokana na vita vya Urusi na Ukarine, fedha zinazotolewa ndani ya miezi 40 kupitia Mpango wa Nyongeza ya Mikopo (ECF) huku wakitanguliza dola milioni 151.7.

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa Julai 18,2022 na IMF pia fedha hizo zinalenga kujenga uchumi himilivu na kusaidia mageuzi ya kimuundo yatakayoleta ukuaji wa uchumi jumuishi kwa kuzingatia vipaumbele vya Serikali ya Tanzania.

Awali, IMF ilitoa zaidi ya shilingi trilioni moja kwa Tanzania kutoka mfuko wa mkopo wa dharura, lengo likiwa ni kusaidia juhudi za serikali za kukabiliana na uhitaji wa dharura katika sekta ya afya, misaada ya kibinadamu na changamoto nyingine za kiuchumi.

Fedha zitaenda kwenye Kilimo, mifugo na Uvuvi na Nishati" alisema waziri wa fedha na mipango Mwigulu Nchemba.
Sawa ngoja tujiandae tule
 
We zumbukuku ama!!
Yan Bretton wood aanzishe tasisi ifany kaz kwa msaada wa bure bure
 
Job alichokosea ni kuomba msamaha tu, vinginevyo angekufa kishujaa.

Yale maneno yake yataendelea kuishi kwetu, bila kusahau zimeanzishwa tozo mpya.
 
Back
Top Bottom