IMF yaidhinishia Tanzania mkopo wa Trilioni 2.4
Kuwa na adabu we nguchiro
Avunje mara ngapi ? Haya ndiyo madhara ya kuongozwa na mwanamke tena zuzu ....KWAKE SA100 UZALENDO NI MAFII
Serikali imeshinda kulipa nyongeza ya mishahara sasa wanategemea mikopo
 
Hizo ulizozionyesha hapo(Tamizi), ni stori tu katika nchi hii, watajijaza watoto wa wakubwa tu. Tumepewa Elimu ili itukomboe katika umasikini wetu, ndio maana tupo shamba na hiyo elimu yetu mwaka wa 12 huu. Kuhusu bank ya kilimo, au bank za serikali katika nchi hii huwa hazishughuriki na masikini au graduates, hukopeshana wao kwa wao. Ok, nimeweka elimu pembeni nimelima kwa nguvu zangu, nimewekeza kitu cha mamilioni, naenda benki ili nianze mnyololo wa kilimo biashara, benki inakubali, inanipitishia pesa , nasaini mkataba lakini inashindwa kuni - disburse, sababu ni hofu, inasita kwamba haituamini graduates ki vile. Nimegundua tatizo ni sera za nchi, ya kwamba inawaambia Vijana wajiajiri, huku haituamini kutuwezesha kupata nyenzo za kujiajilia(fedha/mitaji). Najua upo pazuri ndio maana umeniona mi mjinga, kula nchi brother.
Mama ameamua kushughulikia na nyie maskini this time around..

Ukiendelea kuishi kwa yaliyopita utaishia kulalama kila siku huku wenzako wakifurahia matunda ya kilimo Chao.
 
We mshamba wa Ludewa ndio msemaji wa serikali ama? Mbona unajitutumua sana humu balance shobo kidogo
Kwani wapi nimekwbia mimi ni msemaji wa serikali? Nanukuu kauli za Serikali fala wewe mbilikimo wa akili na nyumbu wa Sukuma gang 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220614-121729.png
    Screenshot_20220614-121729.png
    119.4 KB · Views: 7
  • Screenshot_20220614-122517.png
    Screenshot_20220614-122517.png
    107.8 KB · Views: 5
  • Screenshot_20220615-092451.png
    Screenshot_20220615-092451.png
    117.3 KB · Views: 7
Tozo za Miamala ya simu,tozo za petrol na dizel vinaenda wapi jamani Zanzibar petrol 2800 bongo 3200 kazi ipo
 
Safi sana, pesa nyingine inakuja kwa ajili ya miradi kama ile ya uviko 19..

Mama alisema wamalize haraka miradi pesa nyingine nyingi inakuja..

Ila nao wanazingua badala watoe zote wao wanasema Kwa miezi 40 sasa ndio nini?
Mpaka wengine warejeshe ndipo tuchukue sisi
 
Rubbish, endelea kutaka.
Katiba mpya itasimamia matakwa ya wananchi kuliko ilivyo Sasa ambapo katiba iliyopo inasimamia uzembe wa kufikiria wa viongozi wetu Kama KILA changamoto wanakimbilia kukopa Mwisho wa siku wataingiza nchi kwenye mdororo wa uchumi kama HUKO ethiopia na srilanka ambapo wananchi wameshindwa kuishi kwa mizigo ya kodi na ugumu wa maisha kutokana na Deni kubwa losilolipika kirahisi!!!

Katiba mpya itazuia walamba asali kupiga fedha za mikopo kama hizo za mafuta ambazo hazina impact Hadi Sasa!!

Naendelea kusisitiza na wino hautokauka kamwe kwamba;-

"Rasimu ya Warioba irudi mezani SASA iwe katiba mpya""
 
Bodi ya Shirika la Fedha Duniani (IMF) imeridhia Mkopo wa Dola za Marekani Bilioni 1.046 (Takriban Tsh. 2,422,536,000,000) kwa Tanzania katika kipindi cha miezi 40 kusaidia kukabiliana na athari za vita ya Urusi na Ukraine. Kiasi cha Dola za Marekani Milioni 151.7 kitatolewa mara moja.

Taarifa ya IMF inaeleza kuwa, vita hiyo inakwamisha Uchumi wa Tanzania kuimarika kufuatia mlipuko wa COVID-19, hivyo kuleta changamoto zaidi katika Maendeleo.

Tanzania ilishapokea Mkopo wa Dola Milioni 567 mwishoni mwa 2021 ili kukidhi mahitaji yake ya dharura wakati Mlipuko wa Virusi vya Corona ulipoathiri Maendeleo ya Kiuchumi, hususan Sekta ya Utalii kwa kiasi kikubwa

=========

The International Monetary Fund said Monday it has granted Tanzania a $1.046-billion loan over 40 months, primarily to help the country cope with the consequences of the war in Ukraine.

"Spillovers from the war in Ukraine are stalling the Tanzanian economy's gradual recovery from the Covid-19 pandemic, exacerbating the country's development and reform challenges to unleash its economic potential," the IMF said in a statement.

As a result, the fund's experts believe that the African country will need help to carry out reforms and "unleash its economic potential."

Tanzania is to immediately receive the equivalent of $151.7 million. It had already received a loan of $567 million at the end of 2021 to meet its most urgent needs, when the Covid-19 pandemic had severely hampered its economic development, particularly in the tourism sector.

The war in Ukraine has caused food and fuel prices to soar worldwide, and the rise in wheat prices is "particularly worrying," said the IMF in a recent report entitled "A new shock and little room for maneuver," because sub-Saharan Africa imports 85 percent of its cereal consumption, with particularly high amounts going to Tanzania, Ivory Coast, Senegal and Mozambique.

The project that was announced on Monday, which is part of the Extended Credit Facility (ECF), should help finance reforms to improve Tanzania's financial stability, carry out public investments and support the private sector.

"Recognizing Tanzania's strong track record in reform implementation, directors supported the authorities' requests for an ECF arrangement to meet pressing financing needs," said Bo Li, an IMF official quoted in the statement.

Among other objectives, he also mentioned the importance of continuing vaccination campaigns on a larger scale

Source >>> IMF greenlights $1 bn loan to Tanzania
Hawa jama wana mpango wa kutununua kijanja nini...?
 
Wa
Bodi ya Shirika la Fedha Duniani (IMF) imeridhia Mkopo wa Dola za Marekani Bilioni 1.046 (Takriban Tsh. 2,422,536,000,000) kwa Tanzania katika kipindi cha miezi 40 kusaidia kukabiliana na athari za vita ya Urusi na Ukraine. Kiasi cha Dola za Marekani Milioni 151.7 kitatolewa mara moja.

Taarifa ya IMF inaeleza kuwa, vita hiyo inakwamisha Uchumi wa Tanzania kuimarika kufuatia mlipuko wa COVID-19, hivyo kuleta changamoto zaidi katika Maendeleo.

Tanzania ilishapokea Mkopo wa Dola Milioni 567 mwishoni mwa 2021 ili kukidhi mahitaji yake ya dharura wakati Mlipuko wa Virusi vya Corona ulipoathiri Maendeleo ya Kiuchumi, hususan Sekta ya Utalii kwa kiasi kikubwa

=========

The International Monetary Fund said Monday it has granted Tanzania a $1.046-billion loan over 40 months, primarily to help the country cope with the consequences of the war in Ukraine.

"Spillovers from the war in Ukraine are stalling the Tanzanian economy's gradual recovery from the Covid-19 pandemic, exacerbating the country's development and reform challenges to unleash its economic potential," the IMF said in a statement.

As a result, the fund's experts believe that the African country will need help to carry out reforms and "unleash its economic potential."

Tanzania is to immediately receive the equivalent of $151.7 million. It had already received a loan of $567 million at the end of 2021 to meet its most urgent needs, when the Covid-19 pandemic had severely hampered its economic development, particularly in the tourism sector.

The war in Ukraine has caused food and fuel prices to soar worldwide, and the rise in wheat prices is "particularly worrying," said the IMF in a recent report entitled "A new shock and little room for maneuver," because sub-Saharan Africa imports 85 percent of its cereal consumption, with particularly high amounts going to Tanzania, Ivory Coast, Senegal and Mozambique.

The project that was announced on Monday, which is part of the Extended Credit Facility (ECF), should help finance reforms to improve Tanzania's financial stability, carry out public investments and support the private sector.

"Recognizing Tanzania's strong track record in reform implementation, directors supported the authorities' requests for an ECF arrangement to meet pressing financing needs," said Bo Li, an IMF official quoted in the statement.

Among other objectives, he also mentioned the importance of continuing vaccination campaigns on a larger scale

Source >>> IMF greenlights $1 bn loan to Tanzania
Walio karibu na Rais Samia, mshaurini kabla hajaingiza nchi kwenye matatizo, apange upya timu yake wa Fedha na Mipango. Wizara ya Fedha haitaki kusumbuka na hawatumii akili kabisa, ikitaka pesa inakimbilia kukopa na Rais wetu anakubali haraka haraka. Hii kasi ya mkopo italeta shida. Rais aangalie nyuma.
 
Back
Top Bottom