ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Vipi hao hao IMF wakisifia Serikali mbona Huwa mna mapovu?IMF wanasema ukusanyaji wamapato umeshuka, lkn huku tunamsifu Mama anaupiga mwingi.
🖕🖕Ndio maana nakupelekea moto nipate jotoNa baridi la kwenu lilivyo kali hatari
ifikie kipindi nchi yangu ione aibu, wewe kila siku ni wa kupewa misaada..Shirika la fedha duniani(IMF) limeidhinisha msaada wa dola milioni 620 kusaidia bajeti za nchi za Tanzania, Rwanda na Congo ikiwa ni sehemu ya dola bilioni 1.9 watakazotoa kama msaada wa kibajeti kwa nchi sita.
Nchi nyingine ni Kenya, Somalia na Burundi.
Uchumi wa Kati.... JpmShirika la fedha duniani(IMF) limeidhinisha msaada wa dola milioni 620 kusaidia bajeti za nchi za Tanzania, Rwanda na Congo ikiwa ni sehemu ya dola bilioni 1.9 watakazotoa kama msaada wa kibajeti kwa nchi sita.
Nchi nyingine ni Kenya, Somalia na Burundi.
Waongo wanatwambia sisi tu ila pesa zao ndizo wanatanua BataHalafu kila siku mnasema beberu hafai,
Pole una kazi nzito kwa baridi lile. Chawa kama chawa🖕🖕Ndio maana nakupelekea moto nipate joto
Unadhani kukupelekea moto ni kazi ndogo?Pole una kazi nzito kwa baridi lile. Chawa kama chawa
Unasema ?Unadhani kupelekewa moto ni kazi ndogo?
Nchi inakopa kununua V8 na anasa tupuShirika la fedha duniani(IMF) limeidhinisha msaada wa dola milioni 620 kusaidia bajeti za nchi za Tanzania, Rwanda na Congo ikiwa ni sehemu ya dola bilioni 1.9 watakazotoa kama msaada wa kibajeti kwa nchi sita.
Nchi nyingine ni Kenya, Somalia na Burundi.
Huwezi kusikia waarabu wametoa hata senti 5Halafu kila siku mnasema beberu hafai,
Hawezi kuwa na ndoaChawa kama chawa asubuhi na mapema upo mzigoni uchawa kazi sana. Hivi hata muda wa kuridhishwa unapata kweli ?
Hivi sisi Tanzania na Congo pamoja na madini yote tuliyonayo bado ni masikini hoehae?! Kuna kipindi tulikuwa dona kantri!!
Dona wa nyooko.
Harafu nani aliwadanganya kwamba Tanzania ni Tajiri wa Madini? Yapi hayo?
Uchumi wa Kati.... Jpm
Mengi Yao ni mapumbavu.Waambie wakutajie Madini gani hayo Tanzania Ina reserves kubwa?Wabongo hawajui hawapo top10 ya uzalishaji madini yeyote Yale Africa let alone Duniani ukitoa tanzanite inayopatika bongo tu so there's no competition there really.
Aliyewaambia wabongo ni matajiri wa rasilimali hivyo wategemee hela za bure tu aliwaweza wamekua mazwazwa kabisa.
Sasa Wizara ya Madini imeanzishwa ya nini kama hatuna utajiri wa Madini?Dona wa nyooko.
Harafu nani aliwadanganya kwamba Tanzania ni Tajiri wa Madini? Yapi hayo?
Maendeleo yapi hayo? Mpaka leo Watoto wanakaa chini shuleni, dawati la 50,000 mpaka muombe msaada!Baada ya kukopa ni kulipa na tunakopa Ili tu boost maendeleo na Tija ya uzalishaji