econonist
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 20,189
- 29,663
Jiulize kwanini wewe ni maskini, nchi yetu ni tajiri.
Tajiri kwa lipi? Kama anapewa msaada kwenye Bajeti bado ni maskini.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jiulize kwanini wewe ni maskini, nchi yetu ni tajiri.
Hiyo ndo East Africa yenye degedege ya madeniShirika la fedha duniani(IMF) limeidhinisha msaada wa dola milioni 620 kusaidia bajeti za nchi za Tanzania, Rwanda na Congo ikiwa ni sehemu ya dola bilioni 1.9 watakazotoa kama msaada wa kibajeti kwa nchi sita.
Nchi nyingine ni Kenya, Somalia na Burundi.
Kumbe usishangae Sasa. Kama Kenya inapata Msaada sembuse Tanzania?Tajiri kwa lipi? Kama anapewa msaada kwenye Bajeti bado ni maskini.
Kuwa na Wizara ya Madini Haina maana kwamba Tanzania Tajiri wa Madini maana hakuna Madini mengi ya kuifanya Tanzania Tajiri.Serikali ya CCM. Maana Hadi Wana wizara maalum ya madini.
Zikikopwa zinaenda kwenye mifuko iliyotoboka (zinaliwa na madudu majizi)Madudu na kukopa vinahusianaje?
Madeni ndo hoja kuu!IMF haijaanza Leo kutoa pesa za Msaada wa kibajeti,Toka zama za Nyerere Inatoa so acha stori za kufikirika.
Harafu punguza kukurupuka weka source ya habari .
Madeni yanalipwa na ndio maana unaona Rating ya Tanzania ni B+madeni ndo hoja kuu
je kwa nyerere au samia madeni ni sawa
samia na jpm je madeni nan kiboko?
samia katisha sana upande wa kukopa
Acha uongo wewe,zingeenda huko usingesikia habari kama hizi 👇Zikikopwa zinaenda kwenye mifuko iliyotoboka (zinaliwa na madudu majizi)
Hivi hapo wamemaanisha Congo ipi?Hivi sisi Tanzania na Congo pamoja na madini yote tuliyonayo bado ni masikini hoehae?! Kuna kipindi tulikuwa dona kantri!!
Acha uongo wewe,zingeenda huko usingesikia habari kama hizi 👇
View: https://twitter.com/TanzaniaInvest/status/1739237585250378018?t=ttwKvdKvab6rNmNxksA3pg&s=19
Wizi upo ambao ni udokozi sio Ufisadi wa kiwango Cha kuhujumu miradi.
Kumbe wewe ulitakaje?
Acha uongo wewe,zingeenda huko usingesikia habari kama hizi 👇
View: https://twitter.com/TanzaniaInvest/status/1739237585250378018?t=ttwKvdKvab6rNmNxksA3pg&s=19
Wizi upo ambao ni udokozi sio Ufisadi wa kiwango Cha kuhujumu miradi.
Nashauri Serikali iongeze kukopa, upunguze Ili huko kwenu Namtumbo ujenge lini Barabara?Tupunguze kukopa.
Ubishi wa nini?Leta ubishi. Kama lugha ni shida sema usaidiwe
Kumbe usishangae Sasa.Kama Kenya inapata Msaada sembuse Tanzania?
Kuwa na Wizara ya Madini Haina maana kwamba Tzn ni Tajiri wa Madini maana hakuna Madini mengi ya kuifanya Tanzania Tajiri.
Ni tumadini twa kubangaiza.
Hayo hayo yaliyopo yaratibiwe vizuri, utafutaji unaendelea.Sasa mkuu huoni Kuna shida. Tunakuwa na wizara ya madini wakati madini sio ya kutosha?. Kwanini tusiwe na Time ya madini pekee?.
Nashauri Serikali iongeze kukopa,upunguze Ili huko kwenu Namtumbo ujenge lini Barabara?
Tuna Siasa chafu na Uongozi mbovu hivyo hatuwezi fikia hiyo stage hata siku moja.Hivi sisi Tanzania na Congo pamoja na madini yote tuliyonayo bado ni masikini hoehae?! Kuna kipindi tulikuwa dona kantri!!
Unapokopa sana na ukawekeza sana kwenye maeneo ya kukuza uchumi Kwa haraka hakuna huo mzigo wa Madeni ila kama unawekeza kwenye mambo ya Bora liende kama haya anayoongea Ummy hapa tarajia majanga.Kiuchumi nchi inapokopa sana itapelekea mzigo wa madeni na nchi kuingia kwenye default. Maana nchi inapokopa ile riba kubwa inachukua nafasi ya pesa za maendeleo. Mwisho wa siku Deni linaongezeka na mahitaji ya nchi yanaongezeka. Ndio maana Kuna mambo Kama tozo, ili kufidia Deni.