Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tume ya Warioba imebeza na kupuuzia kurudisha mfumo wa Majimbo ikidai itajenga ukanda na ubaguzi. Halafu "magenius wetu" hawa wakaamua kupendekeza kuundwa kwa Serikali ya Tanganyika na ya Zanzibar in fact wameunda majimbo mawili - moja kubwa sana litaitwa Tanganyika na jingine litaitwa Zanzibar. Je hakutakuwa na hisia ya ukanda (Sisi Watanganyika, na sisi Wazanzibari) au ubaguzi "Hawa siyo wenzetu"?
Hivyo madai kuwa wamekataa majimbo kiuhalisia si ya kweli kwani kwa kuunda nchi inayoundwa na "States" mbili kimsingi wametengeneza kile walichokikataa. Tatizo ni kuwa - kama nilivyosema hapo juu - Jimbo moja litakuwa kubwa sana kuliko jingine na matokeo yake litaendelea kujiona kuwa lina nguvu zaidi. Ni sawasawa na kuwa na California na Texas halafu ukazipair na Rhode Island!
Vinginevyo tusipoangalia miaka hamsini ya majaribio ya serikali tatu tutajikuta tunavutwa kurudi kwenye serikali moja!
Njia pekee kama wameamua kuja na majimbo ni kuigawa Tanganyika katika majimbo mengine ili angalau kutengeneza equilibrium ya utawala vinginevyo kama nilivyosema kwenye ile posti nyingine Tanganyika itakuwa na nguvu mno kiasi kwamba hakutakuwa na jinsi isipokuwa Zanzibar kujiondoa.
Upande mwingine kuunda serikali moja ya kitaifa - na siyo tatu au mbili ndio njia pekee ya kuimarisha Muungano.
Tume ya Warioba imebeza na kupuuzia kurudisha mfumo wa Majimbo ikidai itajenga ukanda na ubaguzi. Halafu "magenius wetu" hawa wakaamua kupendekeza kuundwa kwa Serikali ya Tanganyika na ya Zanzibar in fact wameunda majimbo mawili - moja kubwa sana litaitwa Tanganyika na jingine litaitwa Zanzibar. Je hakutakuwa na hisia ya ukanda (Sisi Watanganyika, na sisi Wazanzibari) au ubaguzi "Hawa siyo wenzetu"?
Hivyo madai kuwa wamekataa majimbo kiuhalisia si ya kweli kwani kwa kuunda nchi inayoundwa na "States" mbili kimsingi wametengeneza kile walichokikataa. Tatizo ni kuwa - kama nilivyosema hapo juu - Jimbo moja litakuwa kubwa sana kuliko jingine na matokeo yake litaendelea kujiona kuwa lina nguvu zaidi. Ni sawasawa na kuwa na California na Texas halafu ukazipair na Rhode Island!
Vinginevyo tusipoangalia miaka hamsini ya majaribio ya serikali tatu tutajikuta tunavutwa kurudi kwenye serikali moja!
Njia pekee kama wameamua kuja na majimbo ni kuigawa Tanganyika katika majimbo mengine ili angalau kutengeneza equilibrium ya utawala vinginevyo kama nilivyosema kwenye ile posti nyingine Tanganyika itakuwa na nguvu mno kiasi kwamba hakutakuwa na jinsi isipokuwa Zanzibar kujiondoa.
Upande mwingine kuunda serikali moja ya kitaifa - na siyo tatu au mbili ndio njia pekee ya kuimarisha Muungano.
Despite the fact kwamba CCM kwa muda sasa wamejigamba kutekeleza sera ya Decentralization by Devolution(D by D) kwa kupeleka madaraka kwenye halmshauri na kuakisi sera ya majimbo UKWELI ni kwamba halmashauri hizi zinafanya kazi chini ya directives za wizara ya tamisemi na hazina mamlaka ya kupanga na kuamua juu ya mgawanyo wa rasilimali katika ngazi husika.
The only big difference kati ya mfumo wa majimbo na halmashauri ni juu ya mamlaka ya umiliki na uendeshaji wa rasilimali, maamuzi na utoaji wa huduma ndani ya maeneo husika.There is a big delay katika utoaji wa huduma coz mambo mengi yako centralized na hata Wakurugenzi katika mamlaka hizi wako dependent kifikra.
Tume ya Warioba imebeza na kupuuzia kurudisha mfumo wa Majimbo ikidai itajenga ukanda na ubaguzi. Halafu "magenius wetu" hawa wakaamua kupendekeza kuundwa kwa Serikali ya Tanganyika na ya Zanzibar in fact wameunda majimbo mawili - moja kubwa sana litaitwa Tanganyika na jingine litaitwa Zanzibar. Je hakutakuwa na hisia ya ukanda (Sisi Watanganyika, na sisi Wazanzibari) au ubaguzi "Hawa siyo wenzetu"?
Hivyo madai kuwa wamekataa majimbo kiuhalisia si ya kweli kwani kwa kuunda nchi inayoundwa na "States" mbili kimsingi wametengeneza kile walichokikataa. Tatizo ni kuwa - kama nilivyosema hapo juu - Jimbo moja litakuwa kubwa sana kuliko jingine na matokeo yake litaendelea kujiona kuwa lina nguvu zaidi. Ni sawasawa na kuwa na California na Texas halafu ukazipair na Rhode Island!
Vinginevyo tusipoangalia miaka hamsini ya majaribio ya serikali tatu tutajikuta tunavutwa kurudi kwenye serikali moja!
Njia pekee kama wameamua kuja na majimbo ni kuigawa Tanganyika katika majimbo mengine ili angalau kutengeneza equilibrium ya utawala vinginevyo kama nilivyosema kwenye ile posti nyingine Tanganyika itakuwa na nguvu mno kiasi kwamba hakutakuwa na jinsi isipokuwa Zanzibar kujiondoa.
Upande mwingine kuunda serikali moja ya kitaifa - na siyo tatu au mbili ndio njia pekee ya kuimarisha Muungano.
siyo majimbo ya ucaguzi ni States za kiutawala kama za USA zinazounda shirikishoMzee Mwanakijiji, nisngependa kukubaliana na Nonda juu ya observation yako.
Naelewa kuwa CHADEMA na CUF are in total dis array baada ya kutolewa rasimu ya Katiba mpya.
Hivyo basi sioni analogy ya Tanganyika na Zanzibar kuwa "majimbo" kwa maana ya majimbo ya uchaguzi kwa jinsi tunavyoyajua.
They are more than that, halafu Zanzibar ni nchi atii!!!!
Mwana Kijiji nadhani ujawaelewa vizuri hawa Tume ya Katiba, hakuna mahali wanatamka Tanganyika, badala yake kinachotamkwa ni Tanzania Bara, lakini cha ajabu wanashindwa kutamka Tanzania Visiwani. Maoni yangu ni kwamba wameamua kuizika Tanganyika kabisa. Kama ni serikali tatu basi kuwepo Seriakali ya Mapinduzi ya Zanzibar, serikali ya Tanganyika na Serikali ya Jamhuri ya Muungano ya Tanzania. Au waseme Tanzania Visiwani, Tanzania Bara na Jamhuri ya Muungano ya Tanzania. Hakuna Tanzania bila kuwepo Tanganyika na Zanzibar maana neno TAN(Tanganyika)ZA(Zanzibar) NIA kama kuleta jina linalotamkwa. Kwa hiyo lazima kama wameamua kuwepo serikali tatu Tanganyika lazima itamkwe na wala si Tanzania Bara
Tume imeridhia serikali 3 baada ya wananchi walio wengi kupendekeza utaratibu huo, n si CDM na CUF tu.masopakyindi,
..kwanini unafikiri CUF na CCM r in total disarray baada ya rasimu hii kutoka?
..kubwa lililofanyika ni tume kukubali mapendekezo ya CDM na CUF kuwepo kwa mfumo wa serikali 3.
..hata tume huru ya uchaguzi ilikuwa ni moja ya mapendekezo ya CDM.
Tanganyika haitamkwi kwa sababu ni neo la Kikoloni, kwa maana nyingine Mlm Nyerere alilifuta kabisa na hakuliita kwa sababu lilianzishwa na Wakoloni na ndio maana haulisikii, kushabikia jina la Tanganyika ni sawa tu na kushabikia au kuuliza kwa nini tusiitwe German East Afrika? nikikuuliza kwa nini tusiitwe hivyo? kwa maana ndio jina asilia kabisa la Nchi yetu, kwa maana nyingine German East Afrika ndio hasa tunapaswa kulipigania kama hoja ni tu jina asili la nchi yetu!
Ndio maana wanaoelewa vizuri historia ya nchi mpamoja na hiyo tume ya Katiba wanapendelea kutumia Tanzania Bara!
tatizo sio nani aliyeanzisha jina la Taganyika bali maana pia ni muhimu kujiuliza ,we jiulize Tan-zan-ia (Tanganyika na zanzibar wakitumia kiunganishi cha nia)mana yake nini na Tanga-nyika(pwani ya kuingia ardhi isiyojulikana) mana yake nini?halaf tujiulize kwanini tuendelee kuwajumuisha wazanzibar ndani ya bara wakati wao tayari wanajitambua wapo tofaut na Tanganyika na ndani ya shirikisho wakiwa wanajiwakilisha wao kama wao wazanzibar?
tuache kukumbatia tusivyovielewa kisa tu alisema mtu fulani
Nadhani Kijakazi una tatizo la kuijua historia na kueleza kitu hisichokijua ni kama kupapasa gizani kwa hiyo waache wanaojua historia ya Tanganyika wachangie japo unao uhuru wa kuchangia. Tanganyika ni nchi ambayo ilipata uhuru wake 9 Disemba 1961. Tanzania ni nchi imekuja baada ya muungano wa nchi mbili Zanzibar na Tanganyika. Ukiondoa Zanzibar hakuna Tanzania, umeelezwa maneno yanayounda Tanzania yanatokana na nini. Labda kama una tatizo la kutamka Tanganyika utuelezee na si swala la ukoloni sijui wa kijerumani. Nadhani umezaliwa kabla ya Tanganyika nalo linaweza kuwa tatizo lako.Kwani kuna Ubaya gani tukiitwa Tanzania Bara? Mbona ni jina zuri tu, tayari linajulikana, sasa unataka tuingiie tena gharama za kubadilisha jina? ili nini? Unajua kubadilisha jina kuna gharama?
Waulize Afrika Kusini kwa nini wameamua kuendelea na majina yao yale yale, si nao walitaka kubadilisha yote kuanzia Capetown, J'burg, Pretoria n.k gharama ikawashinda, wakaamua kuyabakiza, yaani ktk mambo yoote tunayoweza kubadilisha kweli Jina tu liwe tabu?
Hata kama tukibakiza Tanzania ambalo linajumisha Zanzibar sisi tutapoteza nini? Kumbuka unaongelea nchi yenye kilometa za Mraba 2000 na watu wasiofika milioni 1, dhidi ya nchi yenye km za Mraba 945 000 na watu zaidi ya milioni 40, huoni hapo kuna walakini kudai haki kutoka kwa kwenye namba ndogo kama hiyo? Kama unakumbuka Hesabu za uwiano unaweza kufanya hiyo namba, yaani ni kichekesho Watu Bara kudai kudhulimiwa na Wazanzibari!
Kuna mambo lazima uyapime kwanza, hata baada ya kupata Uhuru viongozi wengi wa Kiafrika walifikiria kubadilisha mipaka ya kikoloni lkn wakaaona gharama ya kubadilisha kubwa kuliko ya kuiacha kama ilivyo, hata hili la Zanzibar, ni Nchi ndogo sana kuweza kutunyima usingizi yaani ni karibu sawa na Mkoa wa Dar tu!
Hivi nisaidieni... halmashauri zetu na hiyo sera ya majimbo what is the differences and similarities...
Tanganyika haitamkwi kwa sababu ni neo la Kikoloni, kwa maana nyingine Mlm Nyerere alilifuta kabisa na hakuliita kwa sababu lilianzishwa na Wakoloni na ndio maana haulisikii, kushabikia jina la Tanganyika ni sawa tu na kushabikia au kuuliza kwa nini tusiitwe German East Afrika? nikikuuliza kwa nini tusiitwe hivyo? kwa maana ndio jina asilia kabisa la Nchi yetu, kwa maana nyingine German East Afrika ndio hasa tunapaswa kulipigania kama hoja ni tu jina asili la nchi yetu!
Ndio maana wanaoelewa vizuri historia ya nchi mpamoja na hiyo tume ya Katiba wanapendelea kutumia Tanzania Bara!
Mwanakijiji stretch your brain a bit more! Majimbo tunayoyataka ni zaidi ya Tanganyika na Zanzibar
Nadhani Kijakazi una tatizo la kuijua historia na kueleza kitu hisichokijua ni kama kupapasa gizani kwa hiyo waache wanaojua historia ya Tanganyika wachangie japo unao uhuru wa kuchangia. Tanganyika ni nchi ambayo ilipata uhuru wake 9 Disemba 1961. Tanzania ni nchi imekuja baada ya muungano wa nchi mbili Zanzibar na Tanganyika. Ukiondoa Zanzibar hakuna Tanzania, umeelezwa maneno yanayounda Tanzania yanatokana na nini. Labda kama una tatizo la kutamka Tanganyika utuelezee na si swala la ukoloni sijui wa kijerumani. Nadhani umezaliwa kabla ya Tanganyika nalo linaweza kuwa tatizo lako.
Hapajawahi kuwepo nchi inaitwa Tanzania Bara, ilo litakuwa ni jina jipya la nchi hiyo tangu tupate uhuru. Au tukubali iwe Tanganyika na wao Zanzibar au Tanzania Bara na wao Tanzania Visiwani