mwananthropolojia
JF-Expert Member
- Oct 6, 2012
- 956
- 657
si tunaitwa Tanzania Bara, tatizo liko wapi? Shida yako hasa ni nini? ni jina Tanganyika tu? au ni lazima tuitwe Tanganyika ndio uridhike? tatizo liko hapo? au ni mimi labda sikuelewi? embu nisaidie kwa mara ya mwisho kukuelewa kama ukiweza!
Tanzania bara manake nini?