LA7
JF-Expert Member
- Aug 26, 2019
- 655
- 2,369
Kwanza kabisa nilikuwa juu ya jengo la ghorofa 4 nikiwa uchi kama nilivozaliwa, sasa wakati nashuka zile ngazi zilikuwa ni zile zinakaaga nje kwa pembeni, cha ajabu hizo ngazi hazikuwa za kawaida yaani ni nyembamba mno kiasi ya kwamba ili uzishuke lazima uwe umegeuzia tumbo ukutani na ushikilie ukuta.
Kwakweli nilijaribu tu kutembea ngazi moja nikashindwa sababu ya kuangalia macho chini, ila cha ajabu nilijikuta namalizia ngazi ya mwisho chini kushuka na nikashuka nikiwa hivo hivo uchi na kuanza kutembea kwenda jengo lingine lililokuwa pembeni yake.
Watu walikuwa tu wengi ila nilijipa ujasiri nikachukua mashine yangu na kuibana kwenye mapaja na kuanza kutembea, nikaenda bafuni na kuoga ila sikumbuki kabisa kama niliweza kuvaa nguo.
Kwakweli nilijaribu tu kutembea ngazi moja nikashindwa sababu ya kuangalia macho chini, ila cha ajabu nilijikuta namalizia ngazi ya mwisho chini kushuka na nikashuka nikiwa hivo hivo uchi na kuanza kutembea kwenda jengo lingine lililokuwa pembeni yake.
Watu walikuwa tu wengi ila nilijipa ujasiri nikachukua mashine yangu na kuibana kwenye mapaja na kuanza kutembea, nikaenda bafuni na kuoga ila sikumbuki kabisa kama niliweza kuvaa nguo.