Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Utazaa watoto wengi sana na mmoja wa wajukuu atakuwa waziri mkuu wa Ukraine
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi niliota Kuna watu walikuwa wameniibia viatu nikawa nawasaka nilifika sehemu naulizia wanasema hawajawaona,then nikaamua kurudi home,nje walikuwa wamekaa wanaume kadhaa wanapiga story,Wala hawakuniangalia wakaendelea na story zao .Nikaingia uani,nikakuta binti mmoja anauza duka na baadhi ya ndugu,mama yangu alikuwa amesimama pembeni,(ni marehemu sasa)nikawa nalalamika kuhusu kuibiwa viatu vyangu,wale ndugu wakanishangaa wakanambia mbona uko uchi,nikastuka nikajifunika sehemu za Siri na viganja,mama akawaambia wanipe shuka,wakanipatia shuka jekundu nikajitanda,akachukua maji kwenye kikombe akamwaga kwenye maji yalokuwa yamesimama yakionekana na uchafu,alipomwagia Yale maji toka kwenye kikombe ule uchafu kwenye maji Yale yalotuama ukatoweka/kuyayuka,mie nikatazamana na yule dada alokuwa auza duka tukatabasamu,hapo ndo fahamu zikanijia,kuona mama yangu yupo hapo,nikataka kumsalimia na kumjulia hali then nikazinduka toka usingizini,toka sikuile nawaza tafrsir ya hii ndoto,ila Sina majibu,naomba nifafanulie mkuu Kama una weza.Kuna aibu itakukumba. Mwombe Mungu akuepushie mbali aibu inayokunyemelea
Inaamanisha maandalizi ya marinda kutatuliwa kutokana labda kwa dhulma na wiziKwanza kabisa nilikuwa juu ya jengo la ghorofa 4 nikiwa uchi kama nilivozaliwa, sasa wakati nashuka zile ngazi zilikuwa ni zile zinakaaga nje kwa pembeni, cha ajabu hizo ngazi hazikuwa za kawaida yaani ni nyembamba mno kiasi ya kwamba ili uzishuke lazima uwe umegeuzia tumbo ukutani na ushikilie ukuta.
Kwakweli nilijaribu tu kutembea ngazi moja nikashindwa sababu ya kuangalia macho chini, ila cha ajabu nilijikuta namalizia ngazi ya mwisho chini kushuka na nikashuka nikiwa hivo hivo uchi na kuanza kutembea kwenda jengo lingine lililokuwa pembeni yake.
Watu walikuwa tu wengi ila nilijipa ujasiri nikachukua mashine yangu na kuibana kwenye mapaja na kuanza kutembea, nikaenda bafuni na kuoga ila sikumbuki kabisa kama niliweza kuvaa nguo.
Ndo Basi tena maskini..... Ushaharibikiwa.....Kwanza kabisa nilikuwa juu ya jengo la ghorofa 4 nikiwa uchi kama nilivozaliwa, sasa wakati nashuka zile ngazi zilikuwa ni zile zinakaaga nje kwa pembeni, cha ajabu hizo ngazi hazikuwa za kawaida yaani ni nyembamba mno kiasi ya kwamba ili uzishuke lazima uwe umegeuzia tumbo ukutani na ushikilie ukuta.
Kwakweli nilijaribu tu kutembea ngazi moja nikashindwa sababu ya kuangalia macho chini, ila cha ajabu nilijikuta namalizia ngazi ya mwisho chini kushuka na nikashuka nikiwa hivo hivo uchi na kuanza kutembea kwenda jengo lingine lililokuwa pembeni yake.
Watu walikuwa tu wengi ila nilijipa ujasiri nikachukua mashine yangu na kuibana kwenye mapaja na kuanza kutembea, nikaenda bafuni na kuoga ila sikumbuki kabisa kama niliweza kuvaa nguo.
Aache kamari,ulevi na uzinziNyoka ni kiashiria cha uadui, vita, mikosi. Kuna kitu ambacho kinakuzuia usiende mbele, umefanya majaribio na jitihada mbalimbali, lakini mwisho wa siku uko palepale. Kuna roho ya kupambana nayo, ndiyo hiyo inayokuzuia.
Kuna vitu vya kufanya. Wakati mwingine adui yetu anakuwepo ndani yetu. Huenda ni tabia fulani, nataka niiache lakini najikuta nairudia.
Kwanza kabisa nilikuwa juu ya jengo la ghorofa 4 nikiwa uchi kama nilivozaliwa, sasa wakati nashuka zile ngazi zilikuwa ni zile zinakaaga nje kwa pembeni, cha ajabu hizo ngazi hazikuwa za kawaida yaani ni nyembamba mno kiasi ya kwamba ili uzishuke lazima uwe umegeuzia tumbo ukutani na ushikilie ukuta.
Kwakweli nilijaribu tu kutembea ngazi moja nikashindwa sababu ya kuangalia macho chini, ila cha ajabu nilijikuta namalizia ngazi ya mwisho chini kushuka na nikashuka nikiwa hivo hivo uchi na kuanza kutembea kwenda jengo lingine lililokuwa pembeni yake.
Watu walikuwa tu wengi ila nilijipa ujasiri nikachukua mashine yangu na kuibana kwenye mapaja na kuanza kutembea, nikaenda bafuni na kuoga ila sikumbuki kabisa kama niliweza kuvaa nguo.
Jiandae kuaibika ila sio kwa jambo kubwa sana nakwambia hivi haita pita miezi miwili kabla hujakubwa na aibu, hayo ni maono sio ndoto so lazima yatimie hata ufanyaje lazima yatimie katika ulimwengu wa mwili.
Hayo ni maono lazima yatimie sikatai kuchukua hatua lakini hiyo lazima itimie tushaota ndoto sana mkuu navyomwambia ni sababu ya uzoefu.Sio kweli lazima yatimie, Mungu kamuonyesha kitu kinachoweza kutokea hapo baadaye hivyo anatakiwa achukue hatua hivi sasa ili jambo hilo lisitokee.
Nyoka ni kiashiria cha uadui, vita, mikosi. Kuna kitu ambacho kinakuzuia usiende mbele, umefanya majaribio na jitihada mbalimbali, lakini mwisho wa siku uko palepale. Kuna roho ya kupambana nayo, ndiyo hiyo inayokuzuia.
Kuna vitu vya kufanya. Wakati mwingine adui yetu anakuwepo ndani yetu. Huenda ni tabia fulani, nataka niiache lakini najikuta nairudia.
Hayo ni maono lazima yatimie sikatai kuchukua hatua lakini hiyo lazima itimie tushaota ndoto sana mkuu navyomwambia ni sababu ya uzoefu.
Viatu ni nini? Viatu vinaubeba mwili wako wote. Viatu ni heshima, ndio maana watu wanakuangalia kuanzia chini (viatu). Viatu vinaonyesha hali yako, kama ulitembea kwa miguu mtu akikutazama viatu atajua huyu kapuyanga. Viatu vinaonyesha hali yako ya kipato. Hivyo basi ukiota viatu unakuwa unaota hatma yako (your destiny).wameniibia viatu nikawa nawasaka nilifika sehemu naulizia wanasema hawajawaona,then nikaamua kurudi home,nje walikuwa wamekaa wanaume kadhaa wanapiga story,Wala hawakuniangalia wakaendelea na story zao .
Mama ni Mungu mdogo. Mama akakusitiri aibu yako, akakuvalisha shuka jekundu. Msaada wako utatoka kwa Mungu tu, kuvalishwa vazi jekundu ni kupewa mamlaka makubwa, ndio maana rais anapita kwenye red carpet na rais ndio huvaa tai nyekundu na rais ndio husain kwa wino mwekundu.Nikaingia uani,nikakuta binti mmoja anauza duka na baadhi ya ndugu,mama yangu alikuwa amesimama pembeni,(ni marehemu sasa)nikawa nalalamika kuhusu kuibiwa viatu vyangu,wale ndugu wakanishangaa wakanambia mbona uko uchi,nikastuka nikajifunika sehemu za Siri na viganja,