Ina maana gani kuota unatembea uchi mbele ya watu?

Ina maana gani kuota unatembea uchi mbele ya watu?

Sikukuona katika Msiba wa Neurologist wa Jeshi ( JWTZ ) Uncle wangu na Mzanaki Mwenzangu Brigadier Professor Yardon Kohi Mortuary Lugalo na pale Kwake Mbezi Beach.

Naona idadi ya Wanywa Wine Kali za Kirusi mnapungua tu hapo Mbezi Beach akiwemo na yule Gwasu Msuya ( Kaka mkubwa wa aliyekuwa TISS DGIS ) Diwani Athuman Msuya.

Kama hukuwepo Msibani umekosa Bia na Wine za bure kwani kulikuwa na Bia na Pombe nyingi mno za Kumuenzi Mwanachama Mzee Kohi ambaye Leo anatarajiwa Kuzikwa huko Kwao Busegwe Wilayani Butiama Mkoa wa Wanamume na Mashujaa wa Mara ( Musoma )

R.I.P Uncle Kohi.
Nilikuwepo sana tu. Yule mzee alikuwa mtu wangu sana
 
Sikukuona katika Msiba wa Neurologist wa Jeshi ( JWTZ ) Uncle wangu na Mzanaki Mwenzangu Brigadier Professor Yardon Kohi Mortuary Lugalo na pale Kwake Mbezi Beach.

Naona idadi ya Wanywa Wine Kali za Kirusi mnapungua tu hapo Mbezi Beach akiwemo na yule Gwasu Msuya ( Kaka mkubwa wa aliyekuwa TISS DGIS ) Diwani Athuman Msuya.

Kama hukuwepo Msibani umekosa Bia na Wine za bure kwani kulikuwa na Bia na Pombe nyingi mno za Kumuenzi Mwanachama Mzee Kohi ambaye Leo anatarajiwa Kuzikwa huko Kwao Busegwe Wilayani Butiama Mkoa wa Wanamume na Mashujaa wa Mara ( Musoma )

R.I.P Uncle Kohi.
Kwahyo Kweli una mdhalilisha mzee bujibuji kwa bia za buree

Mzee bujibuji kumbe Ni mlafi haweZi kujinunulia bia Hadi uje udhalilishwe huku kuwa umepitwa na bia za bureeee@Bujibuji Simba Nyamaume

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu hebu angalia mtandao wetu pendwa isije kua popobawa kafanya yake!
 
Kuna pesa nyingi ambazo unazipigia mahesabu ila huenda ukazikosa
 
Kwahyo Kweli una mdhalilisha mzee bujibuji kwa bia za buree

Mzee bujibuji kumbe Ni mlafi haweZi kujinunulia bia Hadi uje udhalilishwe huku kuwa umepitwa na bia za bureeee@Bujibuji Simba Nyamaume

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Huyo ni Rafiki yangu, Kaka na ananijua kuliko unavyonijua. 99% ya Ndugu zangu ( hadi Shemeji zangu ) huwa anakuwa nao katika Shida na Raha.

Cc: Bujibuji Simba Nyamaume
 
Omba huruma ya Mungu hapo kuna mambo mawili kushuka ngazi inaonesha utashuka kiuchumi au cheo au hata kuporomoka kibiasha tena kwa aibu ndo maana upo uchi au pia ni ishara siri zako kuwa hadharani hivi karibuni
 
Kwanza kabisa nilikuwa juu ya jengo la ghorofa 4 nikiwa uchi kama nilivozaliwa, sasa wakati nashuka zile ngazi zilikuwa ni zile zinakaaga nje kwa pembeni, cha ajabu hizo ngazi hazikuwa za kawaida yaani ni nyembamba mno kiasi ya kwamba ili uzishuke lazima uwe umegeuzia tumbo ukutani na ushikilie ukuta.

Kwakweli nilijaribu tu kutembea ngazi moja nikashindwa sababu ya kuangalia macho chini, ila cha ajabu nilijikuta namalizia ngazi ya mwisho chini kushuka na nikashuka nikiwa hivo hivo uchi na kuanza kutembea kwenda jengo lingine lililokuwa pembeni yake.

Watu walikuwa tu wengi ila nilijipa ujasiri nikachukua mashine yangu na kuibana kwenye mapaja na kuanza kutembea, nikaenda bafuni na kuoga ila sikumbuki kabisa kama niliweza kuvaa nguo.
Utafumaniwa punde uliwe kiboga.
 
Kuna aibu itakukumba. Mwombe Mungu akuepushie mbali aibu inayokunyemelea
Wew mzee wa mila

Nisaidie na hii ndoto nimeota nasumbiliw na Nyoka mkubwa ambae anaruka upande wangu kila nikimkwepa anajirudh kuja kwangu nikikazan kukwepa bado tuu anajitu /jirusha hadi nkashtuka usingzn
 
Kwanza kabisa nilikuwa juu ya jengo la ghorofa 4 nikiwa uchi kama nilivozaliwa, sasa wakati nashuka zile ngazi zilikuwa ni zile zinakaaga nje kwa pembeni, cha ajabu hizo ngazi hazikuwa za kawaida yaani ni nyembamba mno kiasi ya kwamba ili uzishuke lazima uwe umegeuzia tumbo ukutani na ushikilie ukuta.

Kwakweli nilijaribu tu kutembea ngazi moja nikashindwa sababu ya kuangalia macho chini, ila cha ajabu nilijikuta namalizia ngazi ya mwisho chini kushuka na nikashuka nikiwa hivo hivo uchi na kuanza kutembea kwenda jengo lingine lililokuwa pembeni yake.

Watu walikuwa tu wengi ila nilijipa ujasiri nikachukua mashine yangu na kuibana kwenye mapaja na kuanza kutembea, nikaenda bafuni na kuoga ila sikumbuki kabisa kama niliweza kuvaa nguo.
Pole sana kwa mkasa uliokukuta. Kwani nguo zako mwanzo ulikuwa umeziweka wapi ?
 
Kwanza kabisa nilikuwa juu ya jengo la ghorofa 4 nikiwa uchi kama nilivozaliwa, sasa wakati nashuka zile ngazi zilikuwa ni zile zinakaaga nje kwa pembeni, cha ajabu hizo ngazi hazikuwa za kawaida yaani ni nyembamba mno kiasi ya kwamba ili uzishuke lazima uwe umegeuzia tumbo ukutani na ushikilie ukuta.

Kwakweli nilijaribu tu kutembea ngazi moja nikashindwa sababu ya kuangalia macho chini, ila cha ajabu nilijikuta namalizia ngazi ya mwisho chini kushuka na nikashuka nikiwa hivo hivo uchi na kuanza kutembea kwenda jengo lingine lililokuwa pembeni yake.

Watu walikuwa tu wengi ila nilijipa ujasiri nikachukua mashine yangu na kuibana kwenye mapaja na kuanza kutembea, nikaenda bafuni na kuoga ila sikumbuki kabisa kama niliweza kuvaa nguo.
Andika wasia safari imeiva
 
Kushuka ngaz nyembamba kuna uwezekano wa kushuka kimapato kichezo au ushawishi kutembea uchi kuna kashfa inakutafuta hasa katk mazingra ambayo wew unaaminka



"Tushakuw wakina maalimu"
 
Wew mzee wa mila

Nisaidie na hii ndoto nimeota nasumbiliw na Nyoka mkubwa ambae anaruka upande wangu kila nikimkwepa anajirudh kuja kwangu nikikazan kukwepa bado tuu anajitu /jirusha hadi nkashtuka usingzn
Nyoka ni kiashiria cha uadui, vita, mikosi. Kuna kitu ambacho kinakuzuia usiende mbele, umefanya majaribio na jitihada mbalimbali, lakini mwisho wa siku uko palepale. Kuna roho ya kupambana nayo, ndiyo hiyo inayokuzuia.

Kuna vitu vya kufanya. Wakati mwingine adui yetu anakuwepo ndani yetu. Huenda ni tabia fulani, nataka niiache lakini najikuta nairudia.
 
Kwanza kabisa nilikuwa juu ya jengo la ghorofa 4 nikiwa uchi kama nilivozaliwa, sasa wakati nashuka zile ngazi zilikuwa ni zile zinakaaga nje kwa pembeni, cha ajabu hizo ngazi hazikuwa za kawaida yaani ni nyembamba mno kiasi ya kwamba ili uzishuke lazima uwe umegeuzia tumbo ukutani na ushikilie ukuta.

Kwakweli nilijaribu tu kutembea ngazi moja nikashindwa sababu ya kuangalia macho chini, ila cha ajabu nilijikuta namalizia ngazi ya mwisho chini kushuka na nikashuka nikiwa hivo hivo uchi na kuanza kutembea kwenda jengo lingine lililokuwa pembeni yake.

Watu walikuwa tu wengi ila nilijipa ujasiri nikachukua mashine yangu na kuibana kwenye mapaja na kuanza kutembea, nikaenda bafuni na kuoga ila sikumbuki kabisa kama niliweza kuvaa nguo.
achana na huyo mke wa mtu, utafumaniwa hivi karibuni
 
Kwa degree ya uganga wangu niliyonayo, inaonesha kuwa ndogo iko mashakani. Tena hiyo ya kushuka ngazi huku umekamatilia ukuta, ndo mbaya zaidi. Epuka wake za watu. Pia usikatize kwenye vichochoro ukiwa umelewa chakali. Utauponza
Atauponza nini mkuu? Funguka ndugu yangu [emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom