Ina maana gani kuota unatembea uchi mbele ya watu?

Nilikuwepo sana tu. Yule mzee alikuwa mtu wangu sana
 
Kwahyo Kweli una mdhalilisha mzee bujibuji kwa bia za buree

Mzee bujibuji kumbe Ni mlafi haweZi kujinunulia bia Hadi uje udhalilishwe huku kuwa umepitwa na bia za bureeee@Bujibuji Simba Nyamaume

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu hebu angalia mtandao wetu pendwa isije kua popobawa kafanya yake!
 
Kuna pesa nyingi ambazo unazipigia mahesabu ila huenda ukazikosa
 
Huyo ni Rafiki yangu, Kaka na ananijua kuliko unavyonijua. 99% ya Ndugu zangu ( hadi Shemeji zangu ) huwa anakuwa nao katika Shida na Raha.

Cc: Bujibuji Simba Nyamaume
 
Omba huruma ya Mungu hapo kuna mambo mawili kushuka ngazi inaonesha utashuka kiuchumi au cheo au hata kuporomoka kibiasha tena kwa aibu ndo maana upo uchi au pia ni ishara siri zako kuwa hadharani hivi karibuni
 
Utafumaniwa punde uliwe kiboga.
 
Kuna aibu itakukumba. Mwombe Mungu akuepushie mbali aibu inayokunyemelea
Wew mzee wa mila

Nisaidie na hii ndoto nimeota nasumbiliw na Nyoka mkubwa ambae anaruka upande wangu kila nikimkwepa anajirudh kuja kwangu nikikazan kukwepa bado tuu anajitu /jirusha hadi nkashtuka usingzn
 
Pole sana kwa mkasa uliokukuta. Kwani nguo zako mwanzo ulikuwa umeziweka wapi ?
 
Andika wasia safari imeiva
 
Kushuka ngaz nyembamba kuna uwezekano wa kushuka kimapato kichezo au ushawishi kutembea uchi kuna kashfa inakutafuta hasa katk mazingra ambayo wew unaaminka



"Tushakuw wakina maalimu"
 
Wew mzee wa mila

Nisaidie na hii ndoto nimeota nasumbiliw na Nyoka mkubwa ambae anaruka upande wangu kila nikimkwepa anajirudh kuja kwangu nikikazan kukwepa bado tuu anajitu /jirusha hadi nkashtuka usingzn
Nyoka ni kiashiria cha uadui, vita, mikosi. Kuna kitu ambacho kinakuzuia usiende mbele, umefanya majaribio na jitihada mbalimbali, lakini mwisho wa siku uko palepale. Kuna roho ya kupambana nayo, ndiyo hiyo inayokuzuia.

Kuna vitu vya kufanya. Wakati mwingine adui yetu anakuwepo ndani yetu. Huenda ni tabia fulani, nataka niiache lakini najikuta nairudia.
 
achana na huyo mke wa mtu, utafumaniwa hivi karibuni
 
Kwa degree ya uganga wangu niliyonayo, inaonesha kuwa ndogo iko mashakani. Tena hiyo ya kushuka ngazi huku umekamatilia ukuta, ndo mbaya zaidi. Epuka wake za watu. Pia usikatize kwenye vichochoro ukiwa umelewa chakali. Utauponza
Atauponza nini mkuu? Funguka ndugu yangu [emoji1787][emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…