Ina maana hamjasikia kwamba Baleke amesaini Yanga?

Ina maana hamjasikia kwamba Baleke amesaini Yanga?

Duuh kwa huu usajili wenu wananchi mnatuumiza sana vichwa wanyama, anyway mtaninyima raha kwenye ligi ila kimataifa mtatuwakilisha vizuri, simba nguvu moja.
 
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 aisee nimecheka sanaa...mimi ni mshangazi ila sijafikia ule umri jamani...yule Asha baraka atawezana na mikikimikiki ya humu jukwaani kweli...nitake radhi mr Ivan Stepanov
Ahahaha basi niwie radhi mkuu wangu, ila wewe ni chuma kwel kwel. Mangungu angejua kuna watu kama nyie huku nafikir angekua serious kidogo na kazi😂
 
Hahahahaha..km sio asha baraka, some ng"itu au k mziwanda, hapendi timu yake isemwe vby
Doo yani ww ni wa kuniita kay mziwanda yule dume jike ambaye hata kunyonyesha hajawahi?.niache aisee...
Halafu ww kule selfika unajifanya umenisahau ee navyotupia picha zangu na unalike...au nimekufananisha....?
 
Doo yani ww ni wa kuniita kay mziwanda yule dume jike ambaye hata kunyonyesha hajawahi?.niache aisee...
Halafu ww kule selfika unajifanya umenisahau ee navyotupia picha zangu na unalike...au nimekufananisha....?
Hahahahaha..kay mziwanda mnyama mwenzio yule simba damu...kule hujawahi selfika
 
Back
Top Bottom