Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Hahahahaha..km sio asha baraka, some ng"itu au k mziwanda, hapendi timu yake isemwe vbyWewe kiukwel hapo simba unastahil kuitwa iron lady...nina mashaka hii id ni ya asha baraka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahaha..km sio asha baraka, some ng"itu au k mziwanda, hapendi timu yake isemwe vbyWewe kiukwel hapo simba unastahil kuitwa iron lady...nina mashaka hii id ni ya asha baraka
Hata mimi nashangaa.mbona yanga inakusanya matapishi ya simba sana!
Mwasibu kama mwasibu wa CAF ACCA uchwara SUNZU BOBAN ovyo kabisa umerudi.Usajili wa Uto hauna hadhi ya kujadiliwa humu
Atakuwa mchezaji mpya toka Mashujaa.Balekhe..??
Who is this guy....
Nani huyo wa kutukomesha mkuu...Mtakoma
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 aisee nimecheka sanaa...mimi ni mshangazi ila sijafikia ule umri jamani...yule Asha baraka atawezana na mikikimikiki ya humu jukwaani kweli...nitake radhi mr Ivan StepanovWewe kiukwel hapo simba unastahil kuitwa iron lady...nina mashaka hii id ni ya asha baraka
MmekwishaaaUtamjua tu akikutungua hat trick
Ahahaha basi niwie radhi mkuu wangu, ila wewe ni chuma kwel kwel. Mangungu angejua kuna watu kama nyie huku nafikir angekua serious kidogo na kazi😂🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 aisee nimecheka sanaa...mimi ni mshangazi ila sijafikia ule umri jamani...yule Asha baraka atawezana na mikikimikiki ya humu jukwaani kweli...nitake radhi mr Ivan Stepanov
Thank u bro...Ahahaha basi niwie radhi mkuu wangu, ila wewe ni chuma kwel kwel. Mangungu angejua kuna watu kama nyie huku nafikir angekua serious kidogo na kazi😂
Haya bwana mwezi wa 8 zimebaki siku chache tu acha tuoneThank u bro...
Appreciated ...
Wanazi wa Simba tupo...
MorrisonBaleke anaenda kuuza code za Yanga Kwa Simba hii iliwakuta Simba kwa Molsoni baada ya kurudi Yanga anguko la Simba likaanzia hapo
Bwana tena🙄🙄🙄 si nimeona umemuita iron lady wa thimba nguvu moya😁 KalpanaHaya bwana mwezi wa 8 zimebaki siku chache tu acha tuone
HatimayeUsajili wa Uto hauna hadhi ya kujadiliwa humu
Nausubiri kwa hamu tujue mbivu na mbichi...Haya bwana mwezi wa 8 zimebaki siku chache tu acha tuone
Kwa mfano mchezaji yupi ni matapishi ya Simba Yanga wamemchukua?Utamjua tu akikutungua hat trick
Doo yani ww ni wa kuniita kay mziwanda yule dume jike ambaye hata kunyonyesha hajawahi?.niache aisee...Hahahahaha..km sio asha baraka, some ng"itu au k mziwanda, hapendi timu yake isemwe vby
Hahahahaha..kay mziwanda mnyama mwenzio yule simba damu...kule hujawahi selfikaDoo yani ww ni wa kuniita kay mziwanda yule dume jike ambaye hata kunyonyesha hajawahi?.niache aisee...
Halafu ww kule selfika unajifanya umenisahau ee navyotupia picha zangu na unalike...au nimekufananisha....?
Mhh basi nimekufananisha hhahahha....waulize wadau kule...Hahahahaha..kay mziwanda mnyama mwenzio yule simba damu...kule hujawahi selfika