Ina maana Hayati Ali Hassan Mwinyi alikuwa Rais wa Tanzania bila kugombea ubunge

Ina maana Hayati Ali Hassan Mwinyi alikuwa Rais wa Tanzania bila kugombea ubunge

Habari.

Jana nimefatilia historia ya mzee Mwinyi, sikuona sehemu yeyote alipogombea ubunge. Amefanikiwa kuwa Rais wa Zanzibar na Tanzania bila kugombea ubunge wa Jimbo sehemu yeyote ile.

Huyu mzee alikuwa na bahati sana

Nawasilisha
Hata Urais nao Alipewa tu , Zanzibar aliteuliwa akawa Rais , huku Tanganyika aligombea huku akishindana na kivuli , we uliona wapi haya mambo ?
 
Habari.

Jana nimefatilia historia ya mzee Mwinyi, sikuona sehemu yeyote alipogombea ubunge. Amefanikiwa kuwa Rais wa Zanzibar na Tanzania bila kugombea ubunge wa Jimbo sehemu yeyote ile.

Huyu mzee alikuwa na bahati sana

Nawasilisha
God wishes
 
Siasa za Tanzania ni za ajabu sana.

Nyerere alikua mtu mzuri lakini alikua na flaws nyingi sana.

Nyerere aliona mapungufu yaliyopo ya katiba na akayasema wazi lakini hakuchukua hatua yoyote kuyarekebisha. Nadhani aliamini Tanzania itapata viongozi wenye moyo kama wake, hii ilikua a massive mistake.

Mapungufu hayo ndio yamepeleka hata sasa tunaongozwa na mtu ambae hatukumchagua na wala hatujui mipango yake wala malengo yake. Sasa tumekua tukiambiwa malengo yake kupitia chawa na wahuni wake wengine.

Anyw6, apumzike kwa amani mzee Mwinyi.
Kuhusu kutofanyia kazi mapungufu ya katiba sawa, ila kusema hukumchagua Samia si kweli, unless unasema hata magu hakuchaguliwa hapo itakua sawa, ila kama magu ulimkubali basi jua magu alikua sambamba na samia, na hakunq mwenye uhakika na uhai na katiba ipo wazi ikitokea changamoto makamu atapanda cheo
 
Nyerere
Siasa za Tanzania ni za ajabu sana.

Nyerere alikua mtu mzuri lakini alikua na flaws nyingi sana.

Nyerere aliona mapungufu yaliyopo ya katiba na akayasema wazi lakini hakuchukua hatua yoyote kuyarekebisha. Nadhani aliamini Tanzania itapata viongozi wenye moyo kama wake, hii ilikua a massive mistake.

Mapungufu hayo ndio yamepeleka hata sasa tunaongozwa na mtu ambae hatukumchagua na wala hatujui mipango yake wala malengo yake. Sasa tumekua tukiambiwa malengo yake kupitia chawa na wahuni wake wengine.

Anyw6, apumzike kwa amani mzee Mwinyi.
Alishindwaje kurekebisha hiyo katiba?
 
Siasa za Tanzania ni za ajabu sana.

Nyerere alikua mtu mzuri lakini alikua na flaws nyingi sana.

Nyerere aliona mapungufu yaliyopo ya katiba na akayasema wazi lakini hakuchukua hatua yoyote kuyarekebisha. Nadhani aliamini Tanzania itapata viongozi wenye moyo kama wake, hii ilikua a massive mistake.

Mapungufu hayo ndio yamepeleka hata sasa tunaongozwa na mtu ambae hatukumchagua na wala hatujui mipango yake wala malengo yake. Sasa tumekua tukiambiwa malengo yake kupitia chawa na wahuni wake wengine.

Anyw6, apumzike kwa amani mzee Mwinyi.
Brother listening, i has to tell you or education you if you know what i means. Do yu even know something called manifesto? How you says dk mama that u even dont konw how the plans are? Evety leaders follows carefuul palnned manifesto for the next five years.rwelax go raed ilan ya uchahguz 2020-2025 awiiii
 
Habari.

Jana nimefatilia historia ya mzee Mwinyi, sikuona sehemu yeyote alipogombea ubunge. Amefanikiwa kuwa Rais wa Zanzibar na Tanzania bila kugombea ubunge wa Jimbo sehemu yeyote ile.

Huyu mzee alikuwa na bahati sana

Nawasilisha
Una miaka mingapi???
Mwaka 1974 mpaka 1977 alikuwa waziri wa Mambo ya ndani..
Huku akiwa mbunge
20240301_083656.jpg
 
Brother listening, i has to tell you or education you if you know what i means. Do yu even know something called manifesto? How you says dk mama that u even dont konw how the plans are? Evety leaders follows carefuul palnned manifesto for the next five years.rwelax go raed ilan ya uchahguz 2020-2025 awiiii
Kuna English za aina mbalimbali like US, Nigerian, SA, Australian, Indian, etc. Naona umeamua kutuletea Bongo English. Safi sana dogo.
 
Brother listening, i has to tell you or education you if you know what i means. Do yu even know something called manifesto? How you says dk mama that u even dont konw how the plans are? Evety leaders follows carefuul palnned manifesto for the next five years.rwelax go raed ilan ya uchahguz 2020-2025 awiiii
Very broken
 
Back
Top Bottom