Ina maana Hayati Ali Hassan Mwinyi alikuwa Rais wa Tanzania bila kugombea ubunge

Ina maana Hayati Ali Hassan Mwinyi alikuwa Rais wa Tanzania bila kugombea ubunge

Siasa za Tanzania ni za ajabu sana.

Nyerere alikua mtu mzuri lakini alikua na flaws nyingi sana.

Nyerere aliona mapungufu yaliyopo ya katiba na akayasema wazi lakini hakuchukua hatua yoyote kuyarekebisha. Nadhani aliamini Tanzania itapata viongozi wenye moyo kama wake, hii ilikua a massive mistake.

Mapungufu hayo ndio yamepeleka hata sasa tunaongozwa na mtu ambae hatukumchagua na wala hatujui mipango yake wala malengo yake. Sasa tumekua tukiambiwa malengo yake kupitia chawa na wahuni wake wengine.

Anyw6, apumzike kwa amani mzee Mwinyi.
Kwamba Nyerere hakujua aina ya katiba iliyokua ikiandaliwa?..na alipojua hakuwa na muda wa kuibadili!?..huwa mnajitoa akili likija suala la Nyerere!!
 
Habari.

Jana nimefatilia historia ya mzee Mwinyi, sikuona sehemu yeyote alipogombea ubunge. Amefanikiwa kuwa Rais wa Zanzibar na Tanzania bila kugombea ubunge wa Jimbo sehemu yeyote ile.

Huyu mzee alikuwa na bahati sana

Nawasilisha
Mkapa aliwahi kuwa mbunge wa wapi? Je Nyerere?
 
Siasa za Tanzania ni za ajabu sana.

Nyerere alikua mtu mzuri lakini alikua na flaws nyingi sana.

Nyerere aliona mapungufu yaliyopo ya katiba na akayasema wazi lakini hakuchukua hatua yoyote kuyarekebisha. Nadhani aliamini Tanzania itapata viongozi wenye moyo kama wake, hii ilikua a massive mistake.

Mapungufu hayo ndio yamepeleka hata sasa tunaongozwa na mtu ambae hatukumchagua na wala hatujui mipango yake wala malengo yake. Sasa tumekua tukiambiwa malengo yake kupitia chawa na wahuni wake wengine.

Anyw6, apumzike kwa amani mzee Mwinyi.
Hu hu hu..
Screenshot_2024-03-03-16-23-57_org.mozilla.firefox_1709472374514.jpg
 
Sijaelewa vizuri

Ila alishawahi kuwa mbunge wa mkuranga hata rais wa sasa kule visiwani alishawahi kuwa mbunge wa mkuranga akiwa naibu waziri wa afya
 
Back
Top Bottom