MzaramoMwinyi atakua mndengereko au mzaramo ila sio mzanzibar tunapangwa[emoji16]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MzaramoMwinyi atakua mndengereko au mzaramo ila sio mzanzibar tunapangwa[emoji16]
Haswa, Ila watu wanajenga siku hiziWanalima mpunga pale
Baadaye mafuriko yanaweza kuwasumbua hata kule HombozaHaswa, Ila watu wanajenga siku hizi
Wanasumbuka sanaBaadaye mafuriko yanaweza kuwasumbua hata kule Homboza
Bado nipo nayo mkuuMkuu sikuhizi umebadili gari?
Kwamba Nyerere hakujua aina ya katiba iliyokua ikiandaliwa?..na alipojua hakuwa na muda wa kuibadili!?..huwa mnajitoa akili likija suala la Nyerere!!Siasa za Tanzania ni za ajabu sana.
Nyerere alikua mtu mzuri lakini alikua na flaws nyingi sana.
Nyerere aliona mapungufu yaliyopo ya katiba na akayasema wazi lakini hakuchukua hatua yoyote kuyarekebisha. Nadhani aliamini Tanzania itapata viongozi wenye moyo kama wake, hii ilikua a massive mistake.
Mapungufu hayo ndio yamepeleka hata sasa tunaongozwa na mtu ambae hatukumchagua na wala hatujui mipango yake wala malengo yake. Sasa tumekua tukiambiwa malengo yake kupitia chawa na wahuni wake wengine.
Anyw6, apumzike kwa amani mzee Mwinyi.
InawezekanaMzaramo
Sijakugumia kitambo au kwakua narudi usiku.Bado nipo nayo mkuu
Mkapa aliwahi kuwa mbunge wa wapi? Je Nyerere?Habari.
Jana nimefatilia historia ya mzee Mwinyi, sikuona sehemu yeyote alipogombea ubunge. Amefanikiwa kuwa Rais wa Zanzibar na Tanzania bila kugombea ubunge wa Jimbo sehemu yeyote ile.
Huyu mzee alikuwa na bahati sana
Nawasilisha
Sio kosa lake mkuu..mzizi wa tatizo ni mfumo mzima wa elimu unaotolewa sasa.Unahitajika kusoma elimu ya Uraia/Civics...
Mkuu hata Mimi narudi usiku sikuhizi Toka mwaka Jana si unajua maisha yetu ya mtaaniSijakugumia kitambo au kwakua narudi usiku.
Hu hu hu..Siasa za Tanzania ni za ajabu sana.
Nyerere alikua mtu mzuri lakini alikua na flaws nyingi sana.
Nyerere aliona mapungufu yaliyopo ya katiba na akayasema wazi lakini hakuchukua hatua yoyote kuyarekebisha. Nadhani aliamini Tanzania itapata viongozi wenye moyo kama wake, hii ilikua a massive mistake.
Mapungufu hayo ndio yamepeleka hata sasa tunaongozwa na mtu ambae hatukumchagua na wala hatujui mipango yake wala malengo yake. Sasa tumekua tukiambiwa malengo yake kupitia chawa na wahuni wake wengine.
Anyw6, apumzike kwa amani mzee Mwinyi.
Anha poa poa mkuuMkuu hata Mimi narudi usiku sikuhizi Toka mwaka Jana si unajua maisha yetu ya mtaani