Ina maana Hayati Ali Hassan Mwinyi alikuwa Rais wa Tanzania bila kugombea ubunge

Habari.

Jana nimefatilia historia ya mzee Mwinyi, sikuona sehemu yeyote alipogombea ubunge. Amefanikiwa kuwa Rais wa Zanzibar na Tanzania bila kugombea ubunge wa Jimbo sehemu yeyote ile.

Huyu mzee alikuwa na bahati sana

Nawasilisha
Hata Urais nao Alipewa tu , Zanzibar aliteuliwa akawa Rais , huku Tanganyika aligombea huku akishindana na kivuli , we uliona wapi haya mambo ?
 
Habari.

Jana nimefatilia historia ya mzee Mwinyi, sikuona sehemu yeyote alipogombea ubunge. Amefanikiwa kuwa Rais wa Zanzibar na Tanzania bila kugombea ubunge wa Jimbo sehemu yeyote ile.

Huyu mzee alikuwa na bahati sana

Nawasilisha
God wishes
 
Kuhusu kutofanyia kazi mapungufu ya katiba sawa, ila kusema hukumchagua Samia si kweli, unless unasema hata magu hakuchaguliwa hapo itakua sawa, ila kama magu ulimkubali basi jua magu alikua sambamba na samia, na hakunq mwenye uhakika na uhai na katiba ipo wazi ikitokea changamoto makamu atapanda cheo
 
Nyerere Alishindwaje kurekebisha hiyo katiba?
 
Brother listening, i has to tell you or education you if you know what i means. Do yu even know something called manifesto? How you says dk mama that u even dont konw how the plans are? Evety leaders follows carefuul palnned manifesto for the next five years.rwelax go raed ilan ya uchahguz 2020-2025 awiiii
 
Habari.

Jana nimefatilia historia ya mzee Mwinyi, sikuona sehemu yeyote alipogombea ubunge. Amefanikiwa kuwa Rais wa Zanzibar na Tanzania bila kugombea ubunge wa Jimbo sehemu yeyote ile.

Huyu mzee alikuwa na bahati sana

Nawasilisha
Una miaka mingapi???
Mwaka 1974 mpaka 1977 alikuwa waziri wa Mambo ya ndani..
Huku akiwa mbunge
 
Kuna English za aina mbalimbali like US, Nigerian, SA, Australian, Indian, etc. Naona umeamua kutuletea Bongo English. Safi sana dogo.
 
Very broken
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…