Ina maana Mbowe hana wahasibu na washauri wa kodi katika kampuni zake? Tusiichafue TRA kwa faida binafsi za kisiasa!

Mbowe ni Mjanja Mjanja mjini ... Katumia pesa za chama kwenda ulaya kupiga chanjo
 
Jiwe alikuwa anakomoa...alitaka Mbowe ampigie magoti baada ya kumkata kiuchumi...but he didn't.

This is what makes him to be strong and trusted by Tanzania's ever!!

Jiwe ameumiza wengi sana huyu jamaa!!
Nimuda muafaka sasa wa kuitazama upya katiba yetu, tusije tukapata jingine la sampuli hii tukalia tena!!
 
Huo utaratibu wa kumtumia Freeman Mbowe assessments kwa e mail yake binafsi badala ya kampuni umeanza lini?

Kwani Mbowe anamiliki kampuni za mfukoni?

Uwongo wa kisiasa ni tofauti kabisa na uongo wa kitaaluma, na katika hili Mbowe amechemka!
 
Use unatafakari kwanza kabla hujaandika mapenzi yako kwa mwendazake.
 
Na hao vishoka ndio waliofunga akaunti zake zote na kukomba pesa zake? Na hao hao vishoka ndio waliomwandikia barua ya kufungua akaunti zake baada ya kauli ya Mheshimiwa Rais kuhusu dhulma?

Amandla...
Wewe unadhani Freeman Mbowe kaanza biashara jana?

Figisu za hivyo TRA wanaweza kuwafanyia wakinga lakini siyo mchaga tena tajiri.

Hii Bavicha ndio mmeingizwa force king!
 
Siyo kweli.

Mbowe anamiliki kampuni siyo kioski cha Mangi.

Kampuni za Mbowe zina wahasibu kwa mujibu wa sheria na hao hufanya kazi hizo za kushughulika na mambo ya kodi.
Wewe watu mpaka akaunti binafsi ya mshahara wameipukutisha(Sio akaunti ya Kampuni) unashangaa kwanini hawakumuandikia Tax Consultant wake

Jibu ni kwamba walimlenga Mbowe binafsi na siyo kampuni
 
Huo utaratibu wa kumtumia Freeman Mbowe assessments kwa e mail yake binafsi badala ya kampuni umeanza lini?

Kwani Mbowe anamiliki kampuni za mfukoni?

Uwongo wa kisiasa ni tofauti kabisa na uongo wa kitaaluma, na katika hili Mbowe amechemka!
Anao ushahidi. Akileta hapa najua utakimbilia kwenye ukabila
 
Kwani Freeman Mbowe anamiliki kampuni au duka la rejareja?

Tuanzie hapo mheshimiwa, samahani lakini!
 
Kwahiyo hakuna bavicha hata mmoja anayejua accounts amsaidie mwenyekiti kuweka mahesabu yake sawa??
 
jiulize mwenyewe kwa nini watume madai kwa e-mail, ilikuwa hila ovu ya kumuumiza ,vita mbaya ya kiuchumi alitumia magufuli kuumiza watu
 
Tujipe muda, tutaona mengi huko mbele
 
Ulisikiliza speech nzima..... Barua za Tra zilitumwa kwenye email binafsi ya mbowe na sio ya ofisi na mda huo alikuwa jela hana access ya internet wala simu angezipokeaje
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…