Siasa rahisi rahisi kama hizi za mbowe hazitaifikisha nchi popote , madame presdent Mungu amlinde kwelikweli wanarudi kwa kasi sanaHivi wewe zimo kweli,upo jela then unatumiwa personal email ukiwa humo humo jela huna access ya kusoma wala kujua hiyo email kama imetumwa utaota kuwa kuna emails? Na pia kama wanajua ana kampuni kwanini hizo taarifa iwe email au barua zisiende moja kwa moja ofisini kwake?
Wewe unajisumbua kutukana wasukuma wanajitosheleza tangu uhuru, ndiyo wafugaji wakubwa, ndiyo wakulima wakubwa, ndiyo wamiliki wa migodi wa ndani.Wewe na boss wako ndiyo mnaweweseka maana tangu uhuru mmekuwepo serikalini mkiiba.Naona wasukuma wana hofu balaa. ndio mtakoma tu shenzi kabisa. miaka mitano na hayati wenu mlijiona mnajua sana kumbe mafala tuu. Wajanja wenye nchi wanarudi waleeeee.
Kama ni kweli kwanini hawaulizi hao TRA ? Kwanini analialia kwenye media? Cheap politics.Ungeuliza kwanini tra hawakuwatafuta hao wahasibu wa Mbowe huku wakijua Mbowe yuko ndani wakatuma ujumbe kwa email yake binafsi.
Hilo swali lako waulize tra sio mbowe.
Mpaka rais Suluhu na marehemu mwenyewe wamekuwa wanawalalamikia tra kubambika watu kodi,wewe unajua zaidi ya Magufuli na Samia?!
Kwanini akiongea Mbowe huelewi?!
Kwani Mbowe wakati anasajili biashara yake huko TRA pia si aliweka contact zake? Inaamana aliweka E-mail binafsi sio? Au TRA walikwepa kutumia E-mail ya ofisi ya Mbowe wakaisaka -Email binafsi ya Mbowe mpaka wakaipata ndo wakamtumia?Mkuu kwani usichokielewa Nini, TRA hawakutumia email ya office kumtumia madai yao. Walitakiwa watumie Email ya office department inayodeal na masuala ya Kodi. Wao wakatumia Email yake binafsi Yani huo ulikuwa mchoro, Wanajua yupo jela na wakatumia email yake binafsi Maana wanajua hataweza kusoma na kurespond.
Kwanini Samia hakumalizana na tra kama utakavyo na akaja kulalamika na kutoa maelekezo mbele ya umma?!mara ngapi Marehemu Magufuli amekuwa akiwakanya tra mbele ya uma?Je,hao nao utasema ni cheap politics?!Hujui Mbowe ni nani nchi hii?!Kama ni kweli kwanini hawaulizi hao TRA ? Kwanini analialia kwenye media? Cheap politics.
TRA hawawezi kufanya huo ujinga kwa mfanyabiashara mkongwe kama Freeman Mbowe mwenye kampuni zaidi ya moja.Mkuu kwani usichokielewa Nini, TRA hawakutumia email ya office kumtumia madai yao. Walitakiwa watumie Email ya office department inayodeal na masuala ya Kodi. Wao wakatumia Email yake binafsi Yani huo ulikuwa mchoro, Wanajua yupo jela na wakatumia email yake binafsi Maana wanajua hataweza kusoma na kurespond.
We naye sasa hapo Tatizo ni mbowe au TRA waliomtumie madai kwenye mail binafsi??Sasa hilo ni tatizo lake siyo la TRA
Wewe umeamini?Ulisikiliza speech nzima..... Barua za Tra zilitumwa kwenye email binafsi ya mbowe na sio ya ofisi na mda huo alikuwa jela hana access ya internet wala simu angezipokeaje
Bwashee acha basi, kikosi cha mangi?Siyo kweli.
Mbowe anamiliki kampuni siyo kioski cha Mangi.
Kampuni za Mbowe zina wahasibu kwa mujibu wa sheria na hao hufanya kazi hizo za kushughulika na mambo ya kodi.
Uzuri Mungu kaamua kuliponya taifa TRA wameshaonywa na Rais waache ubabe huo waliokuwa wanautendaNinavyofahamu hata mzee Mgaya na lile duka lake la Hardware ana mhasibu na mshauri wa kodi ambaye husimama kama wakili wa maswala yake ya kiuhasibu na kodi.
Ninavyojua ukiwa na kampuni ni lazima uwe na mhasibu na external auditor kwa mujibu wa kanuni na taratibu za TRA.
Freeman Mbowe kuwa jela haimaanishi kwamba biashara zake na maswala yake ya kodi yamesimama.
Na siamini kama Freeman Mbowe huwa anakwenda yeye binafsi TRA kushughulikia maswala ya kodi kama Individual taxpayer kwa sababu biashara zake zimeshavuka level hiyo.
Sisemi kwamba Mbowe hajaonewa bali siyo sawa kulitumia jambo hili kujinufaisha kisiasa, anapaswa aongee kama mfanyabiashara mkubwa.
Nawatakia Dominica yenye baraka!
Leo umetumia nini? Mbona unashuka point za kitalamu?Bwashee pamoja na yote Freeman Mbowe analeta usanii.
Yaani TRA wamtumie assessments yeye binafsi badala ya kampuni?
Hiyo atawadanganya nyie Bavicha lakini hata Halima Mdee atamkatalia!
Wahutu mnashida sana. Hujaelewa nini sasa? Ni hivi badala ya kupeleka madai kwenye kampuni walipeleka kwa mtu binafsi.Siyo kweli.
Mbowe anamiliki kampuni siyo kioski cha Mangi.
Kampuni za Mbowe zina wahasibu kwa mujibu wa sheria na hao hufanya kazi hizo za kushughulika na mambo ya kodi.
Mimi siyo Bavicha wa kudanganywa kibwege bwege.We naye sasa hapo Tatizo ni mbowe au TRA waliomtumie madai kwenye mail binafsi??
Kama una yaka kunconfirm mtafute mbowe aku printie hiyo statement na uwatafute TRA wajibu mashitaka hayo.
Unatuchosha hapa kwa mambo yasiyo na kichwa wiguu huku kila moja anajua kuwa Magufuli alikuwa anonea watu kupitia TRA,TISS,Polis,JWT.
Hawa walozowea vya kunyonga! Na bado, msipolipa kodi bila shuruti mtamchukia hata huyu mama🤣😂🤣!Ninavyofahamu hata mzee Mgaya na lile duka lake la Hardware ana mhasibu na mshauri wa kodi ambaye husimama kama wakili wa maswala yake ya kiuhasibu na kodi.
Ninavyojua ukiwa na kampuni ni lazima uwe na mhasibu na external auditor kwa mujibu wa kanuni na taratibu za TRA.
Freeman Mbowe kuwa jela haimaanishi kwamba biashara zake na maswala yake ya kodi yamesimama.
Na siamini kama Freeman Mbowe huwa anakwenda yeye binafsi TRA kushughulikia maswala ya kodi kama Individual taxpayer kwa sababu biashara zake zimeshavuka level hiyo.
Sisemi kwamba Mbowe hajaonewa bali siyo sawa kulitumia jambo hili kujinufaisha kisiasa, anapaswa aongee kama mfanyabiashara mkubwa.
Nawatakia Dominica yenye baraka!
Raisi alimtaja Mbowe?Kwani ni Mbowe tu anayelalamika uhuni wa TRA ya Magufuli.Hivi wew bwege hukumsikia mh Rais akiwaapisha mawaziri?Au unaongea ugoro kwa sbb ni Mbowe msiyempenda?
Siyo kweli.Wahutu mnashida sana. Hujaelewa nini sasa? Ni hivi badala ya kupeleka madai kwenye kampuni walipeleka kwa mtu binafsi.