Tetesi: Inadaiwa aliyemtolea Nape bastola aonekana akisindikiza msafara wa viongozi CHADEMA kwenda mahabusu

Hawa ndugu zetu wa ccm hawajui kuwa kadri wanavyowatesa wapinzani ndivyo wanavyozidi kuwa popularity na kuwa kuza zaidi,walipaswa kuwaacha wanasiasa wafanye siasa kwa amani!
serikali inaona inawakomoa kumbe inawakomaza, shit hole
 
Ngoja nifanye "mikakati yangu" kwaajili ya sampuli za watu wa namna hii.
Amini nawaambieni kilichofanyika kwa Nape ni kiki iliyokuwa imeandaliwa na kufanikiwa kuwa na mashiko katika ufanisi mkubwa.

Mwisho kabisa UOGA ndio unalipeleka Taifa hili kaburini kama sio jehanamu. "My bullet will speak if can't talk". (Nukta)
 
na wewe fala tu sasa mbona waziri alikataa kwamba sio mwanausalama
Matusi ya nini sasa?? Kwani angeamua kumfyatulia risasi pale kulikuwa na kizuizi chochote..?? Si angefyatua angeamua..mnaongea tu..
 
Unasema alichomoa bastola na kutishia kumpiga nape.!! We ni KE au ME?? Hivi uliona vizuri..aliitoa baada ya nape kumuuliza ye ni nani..kwamba ye ni mwana usalama ndio maana yuko pale..na aliitoa na kuirudisha kiunoni mara moja.
Mwanausalama kwamba pale kulikuwa kuna hatari gani na kuelekea kwa nani au dhidi ya nani?
 
sasa kwann unataka wafanye kwa amani wakati hawatakuwa maarufu???
Walishakuwa maarufu tangu ktambo ndyo maana mama zenu na Baba zenu wanapumulia visogoni kwa kuwaogopa hawa majamaa!
 
Endelea kuota na kingereza chako cha is na was,
 
Illusion
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…