Tetesi: Inadaiwa aliyemtolea Nape bastola aonekana akisindikiza msafara wa viongozi CHADEMA kwenda mahabusu

Kamanda twende tuandamane tukamtoe Mbowe korokoroni.
Ninachokiona kwako na wenzio ni kuwa mnadhani maisha yenu yatabaki kama yalivyo. Maisha haya ni kama kinyonga!! Hebu fikiri mwenyewe uone kama siku moja Mugabe angeweza kulalamika?! Kuwa kwako CCM kusikuondolee akili na hata utu!! Huwezi juwa mwanao au nduguyo mwingine atakuwa na itikadi gani?! Fikiria na wengine
 
Mambo ya Rogue elements.
But the sad newz is "siku zao zinahesabika".
 
Tusipoteze muda mwingi nyuma ya keyboard kamanda. Twende tukaandamane tumtoe Mbowe. Piiiiipoz!
 
Mnhuuu namuomba Mungu anipe maisha marefu nishuhudie anguko la watu fulani .
 
Ila kuna uwezekano mkubwa huyu mtu alihusika kule Dodoma
Ndiyo yeye kwa 100% na usiku huu atapandishwa ndege kwenda kufichwa mbali asionekane tena nchini maana makonda hana raha baada ya siri zake kuvuja
 
Halafu kuna watu bado wanahoji mauaji ya watu wasiojulika nani yuko nyuma yake?!

I hate my country right now.

Kaka mwenye fulana ya bluu amekaa mkao wa kudhuru hawa ndugu zetu ambao hawajakosa kitu chochote. Mungu wa Amani na Upendo anawaona.
 
 


KWASABABU NCHI HII INAONGOZWA NA WATU WAWILI TU BASHITE NA MAGUFULI.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…