Nimepitia page yake ya Instagram hafaninii kama polisi au hata usalama wa taifa nashangaa kumwona kwenye gari la polisi.NDIYO WALE WATU WASIOJULIKANA. KAZI YAKE NI KUUA KWA KUFUATA ORDER YA BASHITE NA BABA YAKE KIPENZI AMBAYE WANAISHI NA MALAIKA.
Pengine ni mgambo binafsi wa BashiteNimepitia page yake ya Instagram hafaninii kama polisi au hata usalama wa taifa nashangaa kumwona kwenye gari la polisi.
kweli kabisa...walianza kidogokidogo kuingiza ka finger kwenye 0713 wakaona watu wametulia zikaja fingers mbili sasa umeingia mkono majitu yametulia,watatuburuza sana ,dahSIYO KWELI HAWAOGOPI CHOCHOTE HAWA WOTE.
Sio yule wa Nape huyu?Je mtu huyu ni nani?
Ningependa kujua huyu mwenye t-shirt ya bluu ni nani.
Msema kweli mpenzi wa mungu, hii imenichekesha aloo [emoji13]
Ni afisa wa polisi FFUSio yule wa Nape huyu?
Ni afisa wà polisi FFUJe mtu huyu ni nani?
Ningependa kujua huyu mwenye t-shirt ya bluu ni nani.