Tetesi: Inadaiwa aliyemtolea Nape bastola aonekana akisindikiza msafara wa viongozi CHADEMA kwenda mahabusu

Tetesi: Inadaiwa aliyemtolea Nape bastola aonekana akisindikiza msafara wa viongozi CHADEMA kwenda mahabusu

View attachment 726981

Kuna tetesi zinadai kwamba yule jamaa aliyetumwa na bashite kumtolea bastora Nnape Nnauye Ndio huyo hapo nyuma ya viongozi wa Chadema wkt wanapelekwa mahakamani.

Kwanini yuko hapo ? Yeye ni nani ? Katumwa na nani ?

Henry Kisanduku mtu aliyemchomolea bastola Nape Nnauye na kutishia kumpiga risasi, ndiye aliyepewa jukumu la kuwapeleka akina Mbowe mahakamani kutoka kituo kikuu cha Polisi Dar. Mwaka jana Waziri Mwigulu Nchemba alikanusha vikali kwamba mtu huyo si askari polisi.

Ikiwa si polisi kama alivyosema Nape, kwanini afanye kazi za Polisi? Kwanini apewe jukumu la kuwaescort akina Mbowe kwenda mahakamani? Polisi wamempaje kazi mtu asiye polisi apeleke watuhumiwa mahakamani? Huu ujasiri wa kufanya kazi za polisi wakati si polisi ameutoa wapi? Na kwani ni kwenye kesi ya akina Mbowe na si nyingine? I smell something fishy.!!

Non of your bussiness kujua nani aende wapi?kama kila mtu angestahiki hyo mamlaka ni ww ndo ungeenda sasa heshimu
 
Hata kule Nairobi kwa Lissu mlimuona pia!!
mna DE JAVUU??

De javu indeed!

20180328_093628.png
 
Hawa dawa n kuwanyoosha 264

Yaani ninajiuliza sana kuhusu hawa watu wawili Bashite na Mwingulu kuanzia wapewe hizo nyathifa ni serikali ni matatizo matupu kwa raia na wapinzani.

Yaani tukubaliane tukatae hawa watu sio waziri hasa hasa Mwingulu ni wakuangalia sana. Ana roho mbaya sana na inawezekana ndiye anampa kiburi Magufuli.

Tuombe Taasisi, Wamaharakati, wanasheria na raia tuungane tumwondoe huyu mtu ni hatariiiiii kwa amani ya nchi yetu.

Tunakoelekea hali inaweza kuwa mbaya zaidi kwa sababu raia wanazidi kuwa na chuki. Maaskari wakumbuke wana watoto na wapo huku uraiani na wanashirikiana na watoto wetu.

Mwingulu hufai kabisa kuwa kiongozi. Elimu yako kama ya MTU ambaye hujaenda shule. Huwezi kuburuzwa na wakuu wa mikoa na wilaya kawajenga uadui kati ya Raia na Polisi.
 
KWANI WEWE MTOA POST, ALIYESADIKIWA KUMSHIKIA BASTOLA NAPE KIPINDI KILE SI HAJULIKANI NA TULIAMBIWA MWENYE TAARIFA ZAKE ATOE USHIRIKIANO, SASA KAFIKAJE HAPO? ATAKUWA SIO HUYU BWANA!
 
Hawa watu zamu yao inakuja.

Nasisitiza tena kuwa,Mungu kawanyima hawa watu maarifa ili waanguke.

Those people who do not want to see political changes are taking place in our country, are the ones who unknowingly facilitating those changes.

This arrogance and complacency that they are showing us today, will one day be responsible for their downfall.

They are complacent about remaining in power till the day this world comes to an end something that is not true at all and that is even against the laws of nature.

Kwa kifupi tu Zitto aliwaita "Washamba"
 
View attachment 726981
Kuna tetesi zinadai kwamba yule jamaa aliyetumwa na bashite kumtolea bastora Nnape Nnauye Ndio huyo hapo nyuma ya viongozi wa Chadema wkt wanapelekwa mahakamani.

Kwanini yuko hapo ? Yeye ni nani ? Katumwa na nani ?

Henry Kisanduku mtu aliyemchomolea bastola Nape Nnauye na kutishia kumpiga risasi, ndiye aliyepewa jukumu la kuwapeleka akina Mbowe mahakamani kutoka kituo kikuu cha Polisi Dar. Mwaka jana Waziri Mwigulu Nchemba alikanusha vikali kwamba mtu huyo si askari polisi.

Ikiwa si polisi kama alivyosema Nape, kwanini afanye kazi za Polisi? Kwanini apewe jukumu la kuwaescort akina Mbowe kwenda mahakamani? Polisi wamempaje kazi mtu asiye polisi apeleke watuhumiwa mahakamani? Huu ujasiri wa kufanya kazi za polisi wakati si polisi ameutoa wapi? Na kwani ni kwenye kesi ya akina Mbowe na si nyingine? I smell something fishy.!!
Mkuu ROU, huu ni uongo!, mtu aliyemtishia Nape bastola sio Henri Kisanduka!, yule ni mtu asiyejulikana na wala sio polisi, yule bado anatufutwa!. Nakuomba sana usiwasingizie polisi wetu Wema kuwa ndio watu wasiojulikana!, usimsingizie Waziri wetu wa Mambo ya ndani. Mhe. Dr. Mwigulu Mugulo Lameck Madelu Mkumbo Mchemba kuwa ni mtu muongo, alisema yule sio polisi. Waziri akisema fulani sio polisi, huyo fulani sio polisi, kauli ya waziri ndio ya kweli!, tena ukweli wa Waziri Mwigulu, unaweza kuthibitishwa hapa Uthibitisho: Mwigulu Nchemba ni majina bandia ila vyeti ni vya kweli

Hivyo maadam waziri amesema yule sio polisi, ni mtu asiyejulikana, then yule sio polisi ni mtu asiyejulikana, hata kama picha zile zinafanana 100% na Henri Kisanduka, then zile picha zote zilizopigwa kwenye tukio la Nape, kumuonyeshea Henri Kisanduka, zote zile ni photo shop tuu!.
Shambulio la Lissu: Wajue Wasiojulikana Watakaojulikana na 'Wasiojulikana' Ambao Kamwe, Hawatajulikana!.

Paskali
 
View attachment 726981

Kuna tetesi zinadai kwamba yule jamaa aliyetumwa na bashite kumtolea bastora Nnape Nnauye Ndio huyo hapo nyuma ya viongozi wa Chadema wkt wanapelekwa mahakamani.

Kwanini yuko hapo ? Yeye ni nani ? Katumwa na nani ?

Henry Kisanduku mtu aliyemchomolea bastola Nape Nnauye na kutishia kumpiga risasi, ndiye aliyepewa jukumu la kuwapeleka akina Mbowe mahakamani kutoka kituo kikuu cha Polisi Dar. Mwaka jana Waziri Mwigulu Nchemba alikanusha vikali kwamba mtu huyo si askari polisi.

Ikiwa si polisi kama alivyosema Nape, kwanini afanye kazi za Polisi? Kwanini apewe jukumu la kuwaescort akina Mbowe kwenda mahakamani? Polisi wamempaje kazi mtu asiye polisi apeleke watuhumiwa mahakamani? Huu ujasiri wa kufanya kazi za polisi wakati si polisi ameutoa wapi? Na kwani ni kwenye kesi ya akina Mbowe na si nyingine? I smell something fishy.!!
Aibu yao [emoji28][emoji28][emoji28]
 
Huyu bwana sniper ni mystery sijui siyo mystery..agh awamu ya tano inachekesha sana
baada ya issue ya nape na waziri kusema huyu jamaa kapatikana,Igp kusema anatafutwa,Rpc wa kinondoni kusema hawamjui,bodigadi huyu wa bashite ambaye hata kina wolper watakuapia kwa Mungu jinsi alivyo na masifa akiwaona wasanii enzi hizo bashite anajichanganya nao leaders club kula mvinyo, alienda downlow
kama kawaida ya wadanganyika wakasahau na mtu mzito kama Nape hakuona justice ikitendeka kwake
leo bwana huyu kaibukia kwa kina mbowe,yarabi toba sijui mission yake ilikuwa ni nini,ila kwa picha hii,you can tell ni chuki ya hali ya juu,wafute tu vyama vingi,shida yote ya nini kama hamtaki ushindani na kupingwa na mlivyo wepesi ,uchaguzi huru mnatoka saa nne asubuhi hata bwana Humphrey polepole aliwahi sema hilo neno
mcheki na mkofia wake wa kolomije anavyomuangalia mbowe vibaya
View attachment 727125
Tundu Lissu nae aliwahi kusema"alishuka mtu toka gari nyeupe akiwa amevalia kofia ikiwa imefunika uso na bunduki mkononi........'
 
View attachment 726981

Kuna tetesi zinadai kwamba yule jamaa aliyetumwa na bashite kumtolea bastora Nnape Nnauye Ndio huyo hapo nyuma ya viongozi wa Chadema wkt wanapelekwa mahakamani.

Kwanini yuko hapo ? Yeye ni nani ? Katumwa na nani ?

Henry Kisanduku mtu aliyemchomolea bastola Nape Nnauye na kutishia kumpiga risasi, ndiye aliyepewa jukumu la kuwapeleka akina Mbowe mahakamani kutoka kituo kikuu cha Polisi Dar. Mwaka jana Waziri Mwigulu Nchemba alikanusha vikali kwamba mtu huyo si askari polisi.

Ikiwa si polisi kama alivyosema Nape, kwanini afanye kazi za Polisi? Kwanini apewe jukumu la kuwaescort akina Mbowe kwenda mahakamani? Polisi wamempaje kazi mtu asiye polisi apeleke watuhumiwa mahakamani? Huu ujasiri wa kufanya kazi za polisi wakati si polisi ameutoa wapi? Na kwani ni kwenye kesi ya akina Mbowe na si nyingine? I smell something fishy.!!
Kuna aibu nyingi na uozo mwingi vitaibuka tawala hii.
Mabavu yakizidi maarifa hupotea
 
View attachment 726981

Kuna tetesi zinadai kwamba yule jamaa aliyetumwa na bashite kumtolea bastora Nnape Nnauye Ndio huyo hapo nyuma ya viongozi wa Chadema wkt wanapelekwa mahakamani.

Kwanini yuko hapo ? Yeye ni nani ? Katumwa na nani ?

Henry Kisanduku mtu aliyemchomolea bastola Nape Nnauye na kutishia kumpiga risasi, ndiye aliyepewa jukumu la kuwapeleka akina Mbowe mahakamani kutoka kituo kikuu cha Polisi Dar. Mwaka jana Waziri Mwigulu Nchemba alikanusha vikali kwamba mtu huyo si askari polisi.

Ikiwa si polisi kama alivyosema Nape, kwanini afanye kazi za Polisi? Kwanini apewe jukumu la kuwaescort akina Mbowe kwenda mahakamani? Polisi wamempaje kazi mtu asiye polisi apeleke watuhumiwa mahakamani? Huu ujasiri wa kufanya kazi za polisi wakati si polisi ameutoa wapi? Na kwani ni kwenye kesi ya akina Mbowe na si nyingine? I smell something fishy.!!
Kikao cha siri ofisini kwa DCI Alhamisi kiliamua Mbowe na wenzake wapelekwe mahakamani Jumanne 17:03:2018, wanyimwe dhamana, kupima joto. Leo Jumatatu katika kikao cha Mwanza, ukumbi wa BoT, kwa maagizo kutoka juu, azimio ni "kamata, funga, poteza, ua watu hawa" kabla ya 26:04:08
Wameshapalekwa mahakamani,wameshanyimwa dhamana,wameshakamatwa pengine bado kupotezwa,kuuwawa kabla ya tarehe pendwa.Pengine sniper yupo hapo kukamilisha plani.
 
Back
Top Bottom