Tetesi: Inadaiwa hawa ndio Wasanii kumi tajiri Tanzania

Mbona juma kassim anaela tuu sema maisha yake yanakufanyeni msimuamini jamaa miaka hio alikua na vilikuu na Costa nyingi tu Sasa amepanda Ana semi na mijengo kipindi anavuma aliku anakimbizana na jaydee juma alikua na 500m networth
 
Mzee uyo Alikiba sio wa kumchukulia poa haweki wazi Mambo yake Kama hao wengine but yupo njema sio kitoto sisi jirani zake ndo tunaona
 
Mkuu Mpanda nyangobe, mbona haupo katika list hii? Umefeli wapi?
 
Mzee uyo Alikiba sio wa kumchukulia poa haweki wazi Mambo yake Kama hao wengine but yupo njema sio kitoto sisi jirani zake ndo tunaona
Kwa kuwa analiwa ndogo mombasa na yule tajiri hilo swezi shangaa
 
Hatoboi 2 billion wakati anatembelea gari ya billion 1! Parking yake tu ukiunga inafika billion mbili na uchafu!
Eti gari ya 1b[emoji849][emoji849]
Kwa ule mtumba uliokuwa na matairi vipara, aliouziwa na wahindi Koko hapo posta...akaufunga na manailoni akausweka kwenye likontena lichovu badae akaita kamera contena likafunguliwa kufuli mkarushiwa mipicha na mivideo mwaaaah?[emoji849][emoji849][emoji848]

If that so oh yeah 1b my a$$
 
Kwa kuwa analiwa ndogo mombasa na yule tajiri hilo swezi shangaa
Mmhh yeye ndiyo anapenda ndogo ila za wanawake tu siyo za wanaume wenzie. Yeye kama yeye hageuzwi ila OD ndiyo alikuwaga anageuzwa na huyo tajiri unayemzungumzia hadi kuzawadiwa lile RR.
 
Hata kama amiliki chochote ila uongo wa kitoto pelekeni kwa watoto wa chekechea watu wanaombaomba bia halafu eti ana utajili wa dola milioni
Ahaaaahaaahaaa[emoji38][emoji38][emoji38]

Watu wa mikoani ndo wanatishika nao, ambao tuko nao kitaa tunacheka hiihiiii
 
Hapo kwa jumanature hapo .....yan maisha yake yanampinga ....kwa wanaoishi mbagala watakua waelewa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji38][emoji38][emoji38] hizo Costa zake vip?
 
Utawajua wakiumwa au wakipata matatizo ya kifedha full kuzungusha bakuli matonya akasubiri...tuko nao kitaa tunawaona

Huko mkoan ndo wanatishika nao

amini nakwambia mama angu,hawa ni wasanii kweli kweli.
ndio maana wengine hawataki maigizo ya kipuuzi wanaonekana wanaringa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…