Ahaaaaaaaaaaaaaaaa! Nimecheka sana hii comment. Wapo peke yao halafu wanahangaika kufutika karatasi za kura badala ya kufunua tu mfunikoSi wangeli ufunua tu mfuniko na kuingiza kirahisi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahaaaaaaaaaaaaaaaa! Nimecheka sana hii comment. Wapo peke yao halafu wanahangaika kufutika karatasi za kura badala ya kufunua tu mfunikoSi wangeli ufunua tu mfuniko na kuingiza kirahisi
Yale ni majalada tuu ndani hakuna mistari.Baada ya huu wizi wakaenda kuapishwa wameshika Biblia na Quran. Haya mashetani ni hatari sana.
Akafa akazikwa!Baada ya huu wizi wakaenda kuapishwa wameshika Biblia na Quran. Haya mashetani ni hatari sana.
Tz vyombo vya dora wajidhalilisha Sana,Wazalendo wameanza kuachia hadharani mambo machafu yaliyotendwa kwenye kile kilichoitwa uchaguzi mkuu wa 2020 .
Toleo la sasa ni video inayoonyesha wizi wa kishamba sana wa kura ulivyofanyika , tena chini ya watu walioaminiwa kulinda usalama .
Hebu jionee mwenyewe.
View attachment 1964679
Majina ya Wahusika wote yamepatikana , ila yanahifadhiwa kwa muda kwa sababu za kibinadamu
Ha ha ha wadanganyika tunaibiwa sana.Yale ni majalada tuu ndani hakuna mistari.
Nasema hivi maana sijawahi ona wakifungua hata mstari mmoja wa ndani
Huku mtaani wakiitisha mikutano watu hawaendi maana siyo uongozi shirikishi Mimi nauita uongozi pandikiziAhaaaaaaaaaaaaaaaa! Nimecheka sana hii comment. Wapo peke yao halafu wanahangaika kufutika karatasi za kura badala ya kufunua tu mfuniko
Hiyo ndiyo inaitwa CCM mbele kwa mbeleMawakala wa vyama wangeweza kushitukia mchezo mchafu kama watafungua mfuniko
Ninapinga kwa nguvu zote wizi na unyang'anyi wa demokrasia kote duniani.Wazalendo wameanza kuachia hadharani mambo machafu yaliyotendwa kwenye kile kilichoitwa uchaguzi mkuu wa 2020 .
Toleo la sasa ni video inayoonyesha wizi wa kishamba sana wa kura ulivyofanyika , tena chini ya watu walioaminiwa kulinda usalama .
Hebu jionee mwenyewe.
View attachment 1964679
Majina ya Wahusika wote yamepatikana , ila yanahifadhiwa kwa muda kwa sababu za kibinadamu
Ninapinga kwa nguvu zote wizi na unyang'anyi wa demokrasia kote duniani.
Ila hapa sidhani kama ni hapa Tanzania.
Wakati wa uchaguzi kipindi hicho kulikuwa hakuna msisitizo wa kuvaa barakoa kama inavyoonekana hapo kwenye clip.
Ccm hawajali hilo, muhimu wabakie madarakani.sawa wao haitowasaidia, je hiyo itaisaidia nchi na wananchi kwa ujumla wake?
Huo uwezo wa kuzuia hawana wala hawajawahi kuwa nao."Hata wakisusa...*. Kususia uchaguzi ni UPUMBAVU. Werevu ni KUZUIA kwa njia zozote ziwezekanazo 'uchafuzi' usifanyike. Hii ndiyo njia pekee iliyobakia CHADEMA waifanye kama haiwezekani kuwepo Tume Huru ya Uchaguzi.
Ahahahahhaaha unakuwa umeshafungwa na lakiri pembeni kiasi kwamba haifunguki mpaka uikate, na ukiikata hupati nyingine haahahahSi wangeli ufunua tu mfuniko na kuingiza kirahisi
Wametufungua macho kwamba uchaguzi mkuu unakuajeAhahahahhaaha unakuwa umeshafungwa na lakiri pembeni kiasi kwamba haifunguki mpaka uikate, na ukiikata hupati nyingine haahahah
Hii nchi wakati wa kupiga kura bora utafte mtoto mzuri ukale mzigo tu maana inakera sana wallah!Unafikiri basi hizo ni siri, huo ni ubabe makusudi kwamba tunafanya hivi na hamtufanyi lolote wala kushtaki popote...
yaani CCM waiogope CHADEMA kabisa? wazee wa kupiga domo mitandaoni huku upo nyuma ya keyboard ume activate premiun vpn...
Kama Zanzibar Seif alifanyiwa kiini macho mpaka US ikaingilia na haikusaidia kitu, ndugu zangu siasa hazitowasaidia chochote, mmekwisha kwenda kushtaki hadi kwa mabeberu lakini hakuna matokeo yeyote... huwa naamini kwamba hii nchi wananchi ndio wataamua nchi iende kulia ama kushoto, hii nchi nyie CHADEMA hamtofanya lolote, zaidi bungeni mmetolewa almost wote, mmebaki kulia tu twitter na mitandaoni...
Hili taifa ni wananchi ndio watakuwa na mustakabali taifa liende wapi, tamaa zenu za fisi kumkaribisha Lowassa, wananchi wakaona hamueleweki kama sigara nyota...
CHADEMA mmekwisha, Mbowe mungu amsaidie ashinde hio kesi, yaani mmekwisha ndugu zangu hamna jipya..., mwenzenu mzee Slaa anakula huko mema ya nchi..., yule dada enu Mdee kawageuka chap..
uzuri mie sipo CCM wala CHADEMA, mie nawapa tu ukweli mchungu...
Kampeni zenu zenyewe watu walikuwa wana stream youtube na hamkufanya lolote, hakuna hata TV moja ilikuwa inaonyesha kampeni zenu, lakini wadau mmekomaa tu,katibaaaa!!!! katibaaaa!!!, tunaibiwaaa, tunaibiwaaaa, tunaibiwaaa, kila siku nyimbo ni zile zile...
Nyie komaeni tu muendelee kufukuzia hizo ruzuku, mpate hata pesa za kuweka mafuta kwenye gari... niipofika hapa niendelee tu mishe zangu hizi siasa wengine wanafanya kama hobby lakini sio userious wa kuleta mabadiliko ya kweli...
nakaribisha matus
Wametufungua macho kwamba uchaguzi mkuu unakuaje