Inadaiwa hizi video ni za wakati wa Uchaguzi Mkuu wa 2020

Inadaiwa hizi video ni za wakati wa Uchaguzi Mkuu wa 2020

Kwa hali hiyo, Magufuli alikuwa lazima afe tu, hakukuwa na namna.

Huwezi ukafanya uhuni na upumbavu mkubwa kama huo kisha eti ubaki unalala na kuamka kila siku.

It's true that great decisions always require great sacrifices.
 
Wazalendo wameanza kuachia hadharani mambo machafu yaliyotendwa kwenye kile kilichoitwa uchaguzi mkuu wa 2020 .

Toleo la sasa ni video inayoonyesha wizi wa kishamba sana wa kura ulivyofanyika , tena chini ya watu walioaminiwa kulinda usalama .

Hebu jionee mwenyewe.

View attachment 1964679

Majina ya Wahusika wote yamepatikana , ila yanahifadhiwa kwa muda kwa sababu za kibinadamu
Wewe uliyewarekodi bila ridhaa yao utakwenda jela kwa mujibu wa sheria ya Post and electronic Act, acha kujitafutia balaa eti majina unayo, halafu unayapeleka wapi?
 
Mazingira ya akili za upinzani ni mabovu zaidi. Uchaguzi ni symptoms tuu
Kwa mifumo iliyopo na iliyojengeka nchini kamwe haitatokea chama shindani kuingia madarakani hata kwa miaka 50 ijayo. Never kabisa. Kumbuka jambo tu, "Mkono unaokulisha huwezi kuukata." Hata na wewe naamini huwezi kuukata. Ndio mazingira yaliyojengeka nchi hii.
 
Wewe na mafala wenzio mnazidi kuteseka sababu Mazingira ya akili za upinzani ni mabovu siku zote. Mmekaa tuu kusubiria uchuguzi mwingine mje na lawama zilezile
Lawama sio wapinzani, laumu mfumo uliojengeka katika nchi hii au otherwise kama hautalaumu mfumo wa kimazingira uliopo basi ni dhahiri kwamba wewe pia ni sehemu ya wale wanafurahia mazingira magumu yaliyopo kwa washindani wao halafu mnakuja na vihoja vya kuhalalisha udhaifu unaoonekana kwa wapinzani wakati msababishi mkuu wa hali hiyo ni wewe mwenyewe
 
Unafikiri basi hizo ni siri, huo ni ubabe makusudi kwamba tunafanya hivi na hamtufanyi lolote wala kushtaki popote...
yaani CCM waiogope CHADEMA kabisa? wazee wa kupiga domo mitandaoni huku upo nyuma ya keyboard ume activate premiun vpn...
Kama Zanzibar Seif alifanyiwa kiini macho mpaka US ikaingilia na haikusaidia kitu, ndugu zangu siasa hazitowasaidia chochote, mmekwisha kwenda kushtaki hadi kwa mabeberu lakini hakuna matokeo yeyote... huwa naamini kwamba hii nchi wananchi ndio wataamua nchi iende kulia ama kushoto, hii nchi nyie CHADEMA hamtofanya lolote, zaidi bungeni mmetolewa almost wote, mmebaki kulia tu twitter na mitandaoni...
Hili taifa ni wananchi ndio watakuwa na mustakabali taifa liende wapi, tamaa zenu za fisi kumkaribisha Lowassa, wananchi wakaona hamueleweki kama sigara nyota...
CHADEMA mmekwisha, Mbowe mungu amsaidie ashinde hio kesi, yaani mmekwisha ndugu zangu hamna jipya..., mwenzenu mzee Slaa anakula huko mema ya nchi..., yule dada enu Mdee kawageuka chap..
uzuri mie sipo CCM wala CHADEMA, mie nawapa tu ukweli mchungu...
Kampeni zenu zenyewe watu walikuwa wana stream youtube na hamkufanya lolote, hakuna hata TV moja ilikuwa inaonyesha kampeni zenu, lakini wadau mmekomaa tu,katibaaaa!!!! katibaaaa!!!, tunaibiwaaa, tunaibiwaaaa, tunaibiwaaa, kila siku nyimbo ni zile zile...

Nyie komaeni tu muendelee kufukuzia hizo ruzuku, mpate hata pesa za kuweka mafuta kwenye gari... niipofika hapa niendelee tu mishe zangu hizi siasa wengine wanafanya kama hobby lakini sio userious wa kuleta mabadiliko ya kweli...

nakaribisha matusi...
Hit them up.
Ile 2015 ni usaliti mkubwa kwa wapenda mabadiliko ya kweli.
 
Wewe uliyewarekodi bila ridhaa yao utakwenda jela kwa mujibu wa sheria ya Post and electronic Act, acha kujitafutia balaa eti majina unayo, halafu unayapeleka wapi?
Nampelekea Mungu
 
Wazalendo wameanza kuachia hadharani mambo machafu yaliyotendwa kwenye kile kilichoitwa uchaguzi mkuu wa 2020 .

Toleo la sasa ni video inayoonyesha wizi wa kishamba sana wa kura ulivyofanyika , tena chini ya watu walioaminiwa kulinda usalama .

Hebu jionee mwenyewe.

View attachment 1964679

Majina ya Wahusika wote yamepatikana , ila yanahifadhiwa kwa muda kwa sababu za kibinadamu
Wizi wa kishamba ndio unagundua leo,sasa hapo nani ni mshamba zaidi?
 
Kwa mifumo iliyopo na iliyojengeka nchini kamwe haitatokea chama shindani kuingia madarakani hata kwa miaka 50 ijayo. Never kabisa. Kumbuka jambo tu, "Mkono unaokulisha huwezi kuukata." Hata na wewe naamini huwezi kuukata. Ndio mazingira yaliyojengeka nchi hii.
Vyama pinzani haviwezi shinda sababu havina mtaji tuu basi, hizo zingine ni blah blah


Lawama sio wapinzani, laumu mfumo uliojengeka katika nchi hii au otherwise kama hautalaumu mfumo wa kimazingira uliopo basi ni dhahiri kwamba wewe pia ni sehemu ya wale wanafurahia mazingira magumu yaliyopo kwa washindani wao halafu mnakuja na vihoja vya kuhalalisha udhaifu unaoonekana kwa wapinzani wakati msababishi mkuu wa hali hiyo ni wewe mwenyewe
Hakuna mfumo unaoweza kuishinda nguvu ya umma. Tuseme ukweli tuu kwamba wapinzani hawana msingi, maono wala ushawishi
 
Wacha kuzunguka mbuyu ati. Sio kila kitu kinahitaji kutetea. For a second, zungumzia kilichopo kwenye video hapo
Ukweli mnaouchukia ndio faida ya wenzenu

Acha kazi iendelee
 
Wanaodhani Tz kunafanyika Uchaguzi niwape pole.Si Uchaguzi bali ni HADAA na UHUNI mkubwa unaofanyika na genge fulani kulinda madaraka yao kwa maumivu ya umma.Mfumo mzima wa uchaguzi ni uhuni mtupu,na ndio maana vitendo vya kihuni ni kawaida tu maana hata hao waliominiwa ndio wahuni wenyewe.

Sent from my M100 using JamiiForums mobile app
 
Huo uwezo wa kuzuia hawana wala hawajawahi kuwa nao.

Kusema wazuie ni kuwapeleka kwenye misukosuko na watawala.
Sasa kumbe unajuwa mkuu kwamba "Kusema wazuie ni kuwapeleka kwenye misukosuko na watawala." Kwa hiyo shida hapo ni ipi?

CHADEMA wanaweza sana kuzuia uchaguzi wowote wa nchi hii kufanyika. Ni swala la kujipanga tu na kutimiza mipango hiyo kwa ufanisi mkubwa.
 
Back
Top Bottom