Kwani Ramadhan Ighondu anaye tuhumiwa kimshambulia Ulimboka ni wa wapi?Arusha inazalisha vitu kama hivi..cant believe.. Hii itakuwa Masai Mara au Kalahari huko
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani Ramadhan Ighondu anaye tuhumiwa kimshambulia Ulimboka ni wa wapi?Arusha inazalisha vitu kama hivi..cant believe.. Hii itakuwa Masai Mara au Kalahari huko
Mmmh mkuu unajua mambo mazito wewe hebu tiririka kuna kitu umeandika inaonekana unajua siri nyingi sana mkuu, Hebu tupe data ingawa umeandika haraka kuhusu wanyarwanda na ulinzi wetu ebu ongea zaidi mkuuhao ndo usalama wa taifa wa Tanzania wanakuwa traced very simple ivi acha wanyarwandizi wajagetuwamlindegemkuluwenu
Jamii forum siyo pa mchezomchezo ndiyo maana wanombwa malaika waje wazime mitandao hasa ikilengwa jfHuy ni askari angalia picha penye duara mfuko wa nyuma ni pingu hizoView attachment 602639
Kuna ushahidi mwingine zaidi ya hizi picha? Mbona wa kwenye video hafanani kabisa na wa kwenye picha?
Yule aliye mtishia Nape na bastola nahisi atakuwa ni mhuni tu aliye jizukia huko mtaani, na ile ilikuwa ni toy la kuchezea watoto na siyo bastola.......
Kama kanda Sirro aliweza kulala nao mbele wale wahuni wa Kibiti sembuse itakuwa hao wa tukio la Lissu au Nape? Jeshi la polisi linafanya uchunguzi wake kimya kimya hapa tunazungwa ili hao wahalifu wadakwe kimya kimya
We mburulaaz[emoji196] [emoji90] [emoji379] kwanini kila tukio linalohusishwa mabwana zako unakuwa kimbelembele kutetea[emoji117] [emoji108] [emoji90]Kama ni hivyo Nape kwa nini asiende kumfungulia mashtaka huyo hery?
Hamjapata na video yake ya mwaka 2008?
Kabla kukujibu tunaomba tujueUngetueleza huyo hery sniper ndio nani umetuacha solemba bado
Mbona natamani kupata hizo picha zinagoma kupakuliwa
shida ipo kwenye macho yangu ndugu....Wanaweza kuwa watu hata kumi tofauti shida iko wapi? Akipatikana mmoja atataja wengine ndivyo inavyokuwa Mkuu!
Mkuu ingekuwa ni waandishi wanaojitambua magazeti yasingehangaika na suala la nape kujiuzulu bali kutolewa bastola hadharani hasa ndiyo ilikuwa habari yenye mantiki maana ni ajabu iliyo kuu kiongozi kama yule mbele ya kamera za wanahabari anatishiwa, raia asiye na pakusemea wala ulinzi wowote unadhani angefanywa nini siku ile?Hata hivyo waandishi wetu ni hovyo sana,yaani tukio kama hilo mnashindwa kuchukua picha bora,kisa woga wa bastola?
Nchi za nje,hii stori na picha zao kikamilifu zingeonekana front page ya magazeti yote.
Pumbavu sana hawa waandishi.
Huyu ni mzee au kijana? ana sura Kama kobra
Huyu mzee wa msoga kwa nini asirudi ikulu au anataka tumfunge kamba na kumburuza kwa trekta mpaka kwenye kiti cha enziAisee, nimeamini ujinga/ubovu wa Taasisi Fulani unaonekana dhahiri kupitia kwa Viongozi husika.
Kamanda Sirro badilikeni, dunia ya hivi sasa siyo ya kukurupuka kuongea ujisikiavyo. Bora ukae kimya kwa muda mambo yaongelewe yatapita tu kama mkuu wako uliyekuwa unapingana nae kuhusu Masisha hapo dar kabla hujawa Ze Big Boss wa Manjagu.
Rais wangu, yakupaswa utafakari zaidi na zaidi kwa wasaidizi wako, wengi haswa walioko katika majiji wamekuwa mizigo kwako japo unawabeba kwa kila ambalo halistahili. Wapumzishe watafutie kazi zingine maana wanakutia aibu kila kukicha.
Endesha mambo kiuweledi zaidi kuliko hisia. Kaa ukijua mambo mazuri hayaji bila fikra kinzani.
Ubora wa Mzee wa Msoga unathibitishwa na Mzee wa Chato.