Tetesi: Inadaiwa huyu ndio Herry aliyemtishia Bastola Nape Nnauye, akiwa na Simon Sirro

Tetesi: Inadaiwa huyu ndio Herry aliyemtishia Bastola Nape Nnauye, akiwa na Simon Sirro

Status
Not open for further replies.
hao ndo usalama wa taifa wa Tanzania wanakuwa traced very simple ivi acha wanyarwandizi wajagetuwamlindegemkuluwenu
Mmmh mkuu unajua mambo mazito wewe hebu tiririka kuna kitu umeandika inaonekana unajua siri nyingi sana mkuu, Hebu tupe data ingawa umeandika haraka kuhusu wanyarwanda na ulinzi wetu ebu ongea zaidi mkuu
 
Inaitwa nguvu za asili laws of nature ukimwaga damu ya MTU yako itamwagwa si mmeona mifano ya madikteta wengi hawana mwisho mwema,sababu walizulumu damu zisizo na hatia,uhai ni wa Mungu MTU mwenye akili timamu uogopa sana kuzulumu nafsi isio na hatia sababu laana yake ufuata kizazi na kizazi hadi cha NNE, na machozi ya wengi hayaendi bure, tazama watoto yatima,wajane,ndugu wanapolia na kuomboleza mtegemewa wao anapotoweshwa kilio kile hakiendi bure.
 
Nape nae aache kulialia kama mtoto. Ama kweli uwaziri mtamu
 
Mbona natamani kupata hizo picha zinagoma kupakuliwa
 
Matatizo si tatizo bali ni daraja la kukuvusha upande wa pili.
 
Kuna ushahidi mwingine zaidi ya hizi picha? Mbona wa kwenye video hafanani kabisa na wa kwenye picha?

Yule aliye mtishia Nape na bastola nahisi atakuwa ni mhuni tu aliye jizukia huko mtaani, na ile ilikuwa ni toy la kuchezea watoto na siyo bastola.......

Kama kanda Sirro aliweza kulala nao mbele wale wahuni wa Kibiti sembuse itakuwa hao wa tukio la Lissu au Nape? Jeshi la polisi linafanya uchunguzi wake kimya kimya hapa tunazungwa ili hao wahalifu wadakwe kimya kimya

Huko ndani reshuffle inahitajika sana yaani!
 
Kama ni hivyo Nape kwa nini asiende kumfungulia mashtaka huyo hery?

Hamjapata na video yake ya mwaka 2008?
We mburulaaz[emoji196] [emoji90] [emoji379] kwanini kila tukio linalohusishwa mabwana zako unakuwa kimbelembele kutetea[emoji117] [emoji108] [emoji90]
 
Mhhh hivi kuna vikosi binafsi vinavyoweza kumuonyesha Bastola Mbunge Nape bila kuwa na baraka za vikosi rasmi vya ulinzi?
Hapa kuna jambo halipo wazi,Mkuu wa polisi na Waziri wa mambo ya ndani,kuna kitu hawakiweki wazi.Hao 'wasiojulikana'wanafanya kazi kwa niaba ya nani? Kwanini serikali haijawakamata mbona ni rahisi sana kuwakamata wapinzani hata wakiwa bado wanapanga jambo kama mkutano au maandamano?
 
Mbona natamani kupata hizo picha zinagoma kupakuliwa

Usijichoshe hawa mda wote wapo kwenye hichi kibaa kwenye hotel (ELEGANCE) iliyopo oposite na BIGBON sinza mori floor ya nne sijui ya ngapi pale.

Nenda pale wapo live so sio kesi
 
Kumbe huyu jamaa mtoa maada kajiunga leo jamiiforum na kujilipua
 
Hata hivyo waandishi wetu ni hovyo sana,yaani tukio kama hilo mnashindwa kuchukua picha bora,kisa woga wa bastola?

Nchi za nje,hii stori na picha zao kikamilifu zingeonekana front page ya magazeti yote.

Pumbavu sana hawa waandishi.
Mkuu ingekuwa ni waandishi wanaojitambua magazeti yasingehangaika na suala la nape kujiuzulu bali kutolewa bastola hadharani hasa ndiyo ilikuwa habari yenye mantiki maana ni ajabu iliyo kuu kiongozi kama yule mbele ya kamera za wanahabari anatishiwa, raia asiye na pakusemea wala ulinzi wowote unadhani angefanywa nini siku ile?
 
Aisee, nimeamini ujinga/ubovu wa Taasisi Fulani unaonekana dhahiri kupitia kwa Viongozi husika.

Kamanda Sirro badilikeni, dunia ya hivi sasa siyo ya kukurupuka kuongea ujisikiavyo. Bora ukae kimya kwa muda mambo yaongelewe yatapita tu kama mkuu wako uliyekuwa unapingana nae kuhusu Masisha hapo dar kabla hujawa Ze Big Boss wa Manjagu.

Rais wangu, yakupaswa utafakari zaidi na zaidi kwa wasaidizi wako, wengi haswa walioko katika majiji wamekuwa mizigo kwako japo unawabeba kwa kila ambalo halistahili. Wapumzishe watafutie kazi zingine maana wanakutia aibu kila kukicha.

Endesha mambo kiuweledi zaidi kuliko hisia. Kaa ukijua mambo mazuri hayaji bila fikra kinzani.

Ubora wa Mzee wa Msoga unathibitishwa na Mzee wa Chato.
Huyu mzee wa msoga kwa nini asirudi ikulu au anataka tumfunge kamba na kumburuza kwa trekta mpaka kwenye kiti cha enzi
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom