Inadaiwa kuna kundi fulani CCM linatamani Lissu ashinde ili wapate sababu ya kumpumzisha mtu wao

Inadaiwa kuna kundi fulani CCM linatamani Lissu ashinde ili wapate sababu ya kumpumzisha mtu wao

Je watanzania wamejiandaa kwa mabadiliko Oct. 2025? Sunami linalokuja si la kawaida!!
 
Lissu akishinda watakuja na hoja ya kuweka mgombea strong wa kupambana na kuigaragaza CHADEMA hapo ndipo bi mkubwa atawekewa washindani na Tog.....i Mav.....a ambaye kwasasa ni balozi huko kwenye nchi moja ya Asia ndiye atashinda na kupeperusha bendera ya chama.

Bimkubwa usalama wako ni kumpigania mjomba angu aendelee kuongoza kikoba kwa miaka mingine 5 vinginevyo anza kufungasha mabegi.
CCM hawana mtu mwingine il mama.
Mama kajijenga kwa miaka minne.
Atakaye kuja atakuwa mpya na kazi ya kujitngaza itakuwa kubwa na gharama mno.
 
Je watanzania wamejiandaa kwa mabadiliko Oct. 2025? Sunami linalokuja si la kawaida!!
Huwa hakuna kinachobadilika sana !
Watendaji wote utawakuta maofisini ni wale wale isipokuwa kule juu kabisa ambako wengi wetu Nchini hatufikagi kabisa kwenye hizo ofisi 😳!
 
CCM hawana mtu mwingine il mama.
Mama kajijenga kwa miaka minne.
Atakaye kuja atakuwa mpya na kazi ya kujitngaza itakuwa kubwa na gharama mno.
Watanzania hawahitaji mtu kujitangaza.
 
Huu uchaguzi wa chadema una impact kubwa ndani ya chadema yenyewe na ccm ongeza na vyama vingine. Hii ni TRIPPLE IMPACT. Lissu ashinde ili iwe somo rejea kwa vyama hivyo
 
Watanzania hawahitaji mtu kujitangaza.
Unakosea CCM hawahitaji mgombeya wawo ajitangaze.
Huwa wana mjuwa na wanajuwa nini kafanya.

Kwa hivyo hata kama hawajuwi jina la mgombea wakifika kweny kikao na kuambiwa kuwa huyu anagombea inatosha na watasikia akijinadi na wanajuwa kazi zake
 
Unakosea CCM hawahitaji mgombeya wawo ajitangaze.
Huwa wana mjuwa na wanajuwa nini kafanya.

Kwa hivyo hata kama hawajuwi jina la mgombea wakifika kweny kikao na kuambiwa kuwa huyu anagombea inatosha na watasikia akijinadi na wanajuwa kazi zake
Mmh
 
Back
Top Bottom