Pre GE2025 Inadaiwa Lissu atanunuliwa gari jipya na CCM

Pre GE2025 Inadaiwa Lissu atanunuliwa gari jipya na CCM

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
24,665
Reaction score
25,388
Licha ya kuomba kuchangiwa kwa hali na mali na waTanzania, kwajili ya kununua gari jipya ya kufanyia shughuli zake binafsi za kisiasa, lakini pia pesa nyingine kwaajili ya matengenezo ya gari lake lililohusuka katika assassination attempt miaka kadhaa iliyopita pita, pamoja na mafuta, inasemekana
wadau, mashabiki, wakereketwa, wafuasi, wafanyabiashara na baadhi ya viongozi waandamizi na wasamaria wema ndani ya CCM wamejipanga, sio tu kumpiga Lissu jeki ya fedha, bali pia kumnunulia gari jipya, kubwa la kisasa litakaloendana na hali yake, lakini pia kulingana mazingira ya miundombinu ya barabara za Tanzania.

Je, haya ni miongoni mwa matunda, matokeo mafanikio chanya ya 4R theories alizobuni Rais Samia Suluhu Hassan katika kuliunganisha Taifa?

Una maoni gani kuhusu mustakabali wa siasa za Tanzania, ikiwa tetesi hii ni kweli na ikafanikiwa?

Pia soma: CCM wamchangia Lissu Milioni 5 atengeneze gari lake. Lissu azipokea
 
CCM wako vizuri kwenye propaganda, wanaweza kumnunulia Lissu gari jipya halafu wakajifanya wafuasi waliomchangia pesa na kuhoji wapi pesa alizochangiwa zimeenda.
Hapo wataanza kuwaambia wananchi mnaona mtu wenu alivyo tapeli,, mlimchangia pesa ya gari lakini kapata gari michango hajarudisha.
 
Nyota ya Tundu Antipas Lissu kuwa rais wa Tanzania 2025 inazidi kung'aa . Makundi yote yanazidi kuungana kum support Tundu Lissu. Kura zote za wanachadema , wanaccm na wananchi zitaenda kwa Tundu Antipas Lissu katika uchaguzi ujao .

Viva m'beba maono Tundu Antipas Lissu viva .
 
Licha ya kuomba kuchangiwa kwa hali na mali na waTanzania, kwajili ya kununua gari jipya ya kufanyia shughuli zake binafsi za kisiasa, lakini pia pesa nyingine kwaajili ya matengenezo ya gari lake lililohusuka katika assassination attempt miaka kadhaa iliyopita pita, pamoja na mafuta, inasemekana
wadau, mashabiki, wakereketwa, wafuasi, wafanyabiashara na baadhi ya viongozi waandamizi na wasamaria wema ndani ya CCM wamejipanga, sio tu kumpiga Lissu jeki ya fedha, bali pia kumnunulia gari jipya, kubwa la kisasa litakaloendana na hali yake, lakini pia kulingana mazingira ya miundombinu ya barabara za Tanzania.

Je, haya ni miongoni mwa matunda, matokeo mafanikio chanya ya 4R theories alizobuni Rais Samia Suluhu Hassan katika kuliunganisha Taifa?

Una maoni gani kuhusu mustakabali wa siasa za Tanzania, ikiwa tetesi hii ni kweli na ikafanikiwa?

Pia soma: CCM wamchangia Lissu Milioni 5 atengeneze gari lake. Lissu azipokea
CCM ni wauaji kwa jaribio la Lisu, na Lisu anapendwa na watanzania labda nao ccm wajipendekeze baada ya kuona mbona mchango unakaribia million mia 2 ili mwamba avute ndinga mpya
 
Licha ya kuomba kuchangiwa kwa hali na mali na waTanzania, kwajili ya kununua gari jipya ya kufanyia shughuli zake binafsi za kisiasa, lakini pia pesa nyingine kwaajili ya matengenezo ya gari lake lililohusuka katika assassination attempt miaka kadhaa iliyopita pita, pamoja na mafuta, inasemekana
wadau, mashabiki, wakereketwa, wafuasi, wafanyabiashara na baadhi ya viongozi waandamizi na wasamaria wema ndani ya CCM wamejipanga, sio tu kumpiga Lissu jeki ya fedha, bali pia kumnunulia gari jipya, kubwa la kisasa litakaloendana na hali yake, lakini pia kulingana mazingira ya miundombinu ya barabara za Tanzania.

Je, haya ni miongoni mwa matunda, matokeo mafanikio chanya ya 4R theories alizobuni Rais Samia Suluhu Hassan katika kuliunganisha Taifa?

Una maoni gani kuhusu mustakabali wa siasa za Tanzania, ikiwa tetesi hii ni kweli na ikafanikiwa?

Pia soma: CCM wamchangia Lissu Milioni 5 atengeneze gari lake. Lissu azipokea
Akinunuliwa gari na ccm hoja wananchi zitakuwa zimetatuliwa?

Ccm mnahangaika tu. Mbona msigwa kahamia ccm mikutano yote yeye ni kumtukana mbowe je inawasaidia ccm

Ccm mliwanunua wapinzani kwa hela za nchi wakaungamkono juhudi
Kwani Nini kilibadilika kwenye maisha ya wananchi?
 
Licha ya kuomba kuchangiwa kwa hali na mali na waTanzania, kwajili ya kununua gari jipya ya kufanyia shughuli zake binafsi za kisiasa, lakini pia pesa nyingine kwaajili ya matengenezo ya gari lake lililohusuka katika assassination attempt miaka kadhaa iliyopita pita, pamoja na mafuta, inasemekana
wadau, mashabiki, wakereketwa, wafuasi, wafanyabiashara na baadhi ya viongozi waandamizi na wasamaria wema ndani ya CCM wamejipanga, sio tu kumpiga Lissu jeki ya fedha, bali pia kumnunulia gari jipya, kubwa la kisasa litakaloendana na hali yake, lakini pia kulingana mazingira ya miundombinu ya barabara za Tanzania.

Je, haya ni miongoni mwa matunda, matokeo mafanikio chanya ya 4R theories alizobuni Rais Samia Suluhu Hassan katika kuliunganisha Taifa?

Una maoni gani kuhusu mustakabali wa siasa za Tanzania, ikiwa tetesi hii ni kweli na ikafanikiwa?

Pia soma: CCM wamchangia Lissu Milioni 5 atengeneze gari lake. Lissu azipokea
Hakuna mjinga wa kukubali pesa yenu au gari yenu ccm hamuaminiki
 
CCM wana hila.
Ilaaniwe CCM iliyoshindwa kutumia rasilimali lukuki za Tanzania kuondoa ufukara kwa wananchi
kwahivyo wamefanya vibaya kupanga kumnunulia gari jipya huyo kiongozi muungwana gentleman 🐒
 
Back
Top Bottom