Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jadi yake they say 😂😂😂😂kusambaza upendo kwa wananchi wote, CCM ndio jadi yake 🐒
I think that is setback story,Ili kumpoza mlemavu baada ya kipigo SI ndio!!?
CCM tuna majitu yanashauri ujinga sana!kulikua Kuna haja Gani ya kuwapiga hao jamaa ,kama kulikua na tishio la hatari tungekua pro active kabla ya wahusika kufika site!
Mwaliko ikulu was viongozi wa chadema ungeua Kila kitu!
siyo propaganda tu,CCM wako vizuri kwenye propaganda, wanaweza kumnunulia Lissu gari jipya halafu wakajifanya wafuasi waliomchangia pesa na kuhoji wapi pesa alizochangiwa zimeenda.
Hapo wataanza kuwaambia wananchi mnaona mtu wenu alivyo tapeli,, mlimchangia pesa ya gari lakini kapata gari michango hajarudisha.
Yes,Nyota ya Tundu Antipas Lissu kuwa rais wa Tanzania 2025 inazidi kung'aa . Makundi yote yanazidi kuungana kum support Tundu Lissu. Kura zote za wanachadema , wanaccm na wananchi zitaenda kwa Tundu Antipas Lissu katika uchaguzi ujao .
Viva m'beba maono Tundu Antipas Lissu viva .
atapatiwa usafiri wa gari la kisasa na CCM, lenye thamani isiyopungua milioni mia6 nawe unazungumzia 2kweli?🐒CCM ni wauaji kwa jaribio la Lisu, na Lisu anapendwa na watanzania labda nao ccm wajipendekeze baada ya kuona mbona mchango unakaribia million mia 2 ili mwamba avute ndinga mpya
This is how Lissu's aquarius star looks like . Let it be to our next president Tundu Lissu.Yes,
Msigwa ametengeneza njia na sasa wanafukia fukia mashimo kidogo na muungwana atapatiwa usafiri ili apite vizuri, and the mission will be accomplished near general elections, sio kwa ubaya lakini 🐒
usichanganye mambo gentleman, punguza mihemko na makasiriko....Akinunuliwa gari na ccm hoja wananchi zitakuwa zimetatuliwa?
Ccm mnahangaika tu. Mbona msigwa kahamia ccm mikutano yote yeye ni kumtukana mbowe je inawasaidia ccm
Ccm mliwanunua wapinzani kwa hela za nchi wakaungamkono juhudi
Kwani Nini kilibadilika kwenye maisha ya wananchi?
Baada ya kushindwa kumwua kinguvu mnaona muda mzuri ni kumpa faraja ya gari ili mmalize kiaina.Licha ya kuomba kuchangiwa kwa hali na mali na waTanzania, kwajili ya kununua gari jipya ya kufanyia shughuli zake binafsi za kisiasa, lakini pia pesa nyingine kwaajili ya matengenezo ya gari lake lililohusuka katika assassination attempt miaka kadhaa iliyopita pita, pamoja na mafuta, inasemekana
wadau, mashabiki, wakereketwa, wafuasi, wafanyabiashara na baadhi ya viongozi waandamizi na wasamaria wema ndani ya CCM wamejipanga, sio tu kumpiga Lissu jeki ya fedha, bali pia kumnunulia gari jipya, kubwa la kisasa litakaloendana na hali yake, lakini pia kulingana mazingira ya miundombinu ya barabara za Tanzania.
Je, haya ni miongoni mwa matunda, matokeo mafanikio chanya ya 4R theories alizobuni Rais Samia Suluhu Hassan katika kuliunganisha Taifa?
Una maoni gani kuhusu mustakabali wa siasa za Tanzania, ikiwa tetesi hii ni kweli na ikafanikiwa?
Pia soma: CCM wamchangia Lissu Milioni 5 atengeneze gari lake. Lissu azipokea
Rushwa ni adui wa haki.Akinunuliwa gari na ccm hoja wananchi zitakuwa zimetatuliwa?
Ccm mnahangaika tu. Mbona msigwa kahamia ccm mikutano yote yeye ni kumtukana mbowe je inawasaidia ccm
Ccm mliwanunua wapinzani kwa hela za nchi wakaungamkono juhudi
Kwani Nini kilibadilika kwenye maisha ya wananchi?
milioni mia6 gari moja ni uhujumu uchumi wakati kuna watoto shule za kata hawana hata mlo mmoja wa sikuatapatiwa usafiri wa gari la kisasa na CCM, lenye thamani isiyopungua milioni mia6 nawe unazungumzia 2kweli?🐒