Pre GE2025 Inadaiwa Lissu atanunuliwa gari jipya na CCM

Pre GE2025 Inadaiwa Lissu atanunuliwa gari jipya na CCM

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Ccm ni chama cha mashetani weusi.
maoni na mtazamo wako ni uhuru na haki yako kikatiba..

CCM itaendelea kujali utu na mahitaji muhimu binafsi na ya Jumla ya wananchi wake bila kujali mbambamba ya mtu yeyote 🐒
 
kwa hiyo kwa huruma ya ccm gari la milion mia 6 ndani yake mnamwekea na VX gas ili mmalizane naye kabisa cyo
hayo ni maoni na mtazamo wako ambao ni uhuru na haki yako kikatiba 🐒

daima CCM itaendelea kujali utu na mahitaji ya wanainchi wake binafsi na jumla kadiri inavyonekana inafaa 🐒
 
Licha ya kuomba kuchangiwa kwa hali na mali na waTanzania, kwajili ya kununua gari jipya ya kufanyia shughuli zake binafsi za kisiasa, lakini pia pesa nyingine kwaajili ya matengenezo ya gari lake lililohusuka katika assassination attempt miaka kadhaa iliyopita pita, pamoja na mafuta, inasemekana
wadau, mashabiki, wakereketwa, wafuasi, wafanyabiashara na baadhi ya viongozi waandamizi na wasamaria wema ndani ya CCM wamejipanga, sio tu kumpiga Lissu jeki ya fedha, bali pia kumnunulia gari jipya, kubwa la kisasa litakaloendana na hali yake, lakini pia kulingana mazingira ya miundombinu ya barabara za Tanzania.

Je, haya ni miongoni mwa matunda, matokeo mafanikio chanya ya 4R theories alizobuni Rais Samia Suluhu Hassan katika kuliunganisha Taifa?

Una maoni gani kuhusu mustakabali wa siasa za Tanzania, ikiwa tetesi hii ni kweli na ikafanikiwa?

Pia soma: CCM wamchangia Lissu Milioni 5 atengeneze gari lake. Lissu azipokea
CCM haijawahi kuwa na pesa zake, CCM huchota pesa za serikali kwa matumizi yake ujiwemo ukarabati wa viwanja ilivyotupora wananchi.
 

"It doesn't matter how thirsty you are, there are some people you should never ask water from, they will tell the whole world they gave you wine."​

 
Mbona anaposema
alishalipwa fedha zake zote ikiwa ni pamoja na za matibabu, posho za vikao, marupurupu na malimbikizo yake yote,

cha kushangaza tu ni kwamba, baada ya kulipwa mamilioni yake akayafuja akasahau kumbe hana gari huku pesa zikiwa zimemuishia kabisa...

ndipo akaja kuanzisha huu mradi wa kuchangiwa pesa ya kununulia gari 🐒
hadharani,viongozi wenu hawajibu?huu ni uhuni.

Jitokezeni mumjibu kama mmemlipa anaposema.
 
Licha ya kuomba kuchangiwa kwa hali na mali na waTanzania, kwajili ya kununua gari jipya ya kufanyia shughuli zake binafsi za kisiasa, lakini pia pesa nyingine kwaajili ya matengenezo ya gari lake lililohusuka katika assassination attempt miaka kadhaa iliyopita pita, pamoja na mafuta, inasemekana
wadau, mashabiki, wakereketwa, wafuasi, wafanyabiashara na baadhi ya viongozi waandamizi na wasamaria wema ndani ya CCM wamejipanga, sio tu kumpiga Lissu jeki ya fedha, bali pia kumnunulia gari jipya, kubwa la kisasa litakaloendana na hali yake, lakini pia kulingana mazingira ya miundombinu ya barabara za Tanzania.

Je, haya ni miongoni mwa matunda, matokeo mafanikio chanya ya 4R theories alizobuni Rais Samia Suluhu Hassan katika kuliunganisha Taifa?

Una maoni gani kuhusu mustakabali wa siasa za Tanzania, ikiwa tetesi hii ni kweli na ikafanikiwa?

Pia soma: CCM wamchangia Lissu Milioni 5 atengeneze gari lake. Lissu azipokea
YOTE SAWA .LAKINI CCM ISIJE MCHUKUA KUGOMBEA URAIS.TAFADHALI SANA AISEE
 
Na zile 100m na ushee atatumia kwa kujenga ofisi yake sasa
Ila kelele zinalipa asikuambie mtu
Usipoongea hupati kitu
Ila sio matajiri wa jf
 
Mbona anaposema

hadharani,viongozi wenu hawajibu?huu ni uhuni.

Jitokezeni mumjibu kama mmemlipa anaposema.
mbona alishaeleza mwenyewe bayana gentleman?🐒

ingekua si hivyo I think ndio ingekua agenda yake saivv 🤣
 
Back
Top Bottom