Pre GE2025 Inadaiwa Lissu atanunuliwa gari jipya na CCM

Pre GE2025 Inadaiwa Lissu atanunuliwa gari jipya na CCM

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Ni jambo jema sana.
Ikiwezekana jumla ya fedha ikanunua helkopta au gari maalumu lenye uwezo wa kuzuia chochote kupita.
 
Ni jambo jema sana.
Ikiwezekana jumla ya fedha ikanunua helkopta au gari maalumu lenye uwezo wa kuzuia chochote kupita.
CCM wamejipanga kumnunulia gari jipya kubwa la kisasa pekee, mengine atafanya mwenyewe kadiri atakavyoona inafaa 🐒
 
Licha ya kuomba kuchangiwa kwa hali na mali na waTanzania, kwajili ya kununua gari jipya ya kufanyia shughuli zake binafsi za kisiasa, lakini pia pesa nyingine kwaajili ya matengenezo ya gari lake lililohusuka katika assassination attempt miaka kadhaa iliyopita pita, pamoja na mafuta, inasemekana
wadau, mashabiki, wakereketwa, wafuasi, wafanyabiashara na baadhi ya viongozi waandamizi na wasamaria wema ndani ya CCM wamejipanga, sio tu kumpiga Lissu jeki ya fedha, bali pia kumnunulia gari jipya, kubwa la kisasa litakaloendana na hali yake, lakini pia kulingana mazingira ya miundombinu ya barabara za Tanzania.

Je, haya ni miongoni mwa matunda, matokeo mafanikio chanya ya 4R theories alizobuni Rais Samia Suluhu Hassan katika kuliunganisha Taifa?

Una maoni gani kuhusu mustakabali wa siasa za Tanzania, ikiwa tetesi hii ni kweli na ikafanikiwa?

Pia soma: CCM wamchangia Lissu Milioni 5 atengeneze gari lake. Lissu azipokea

..mkimnunulia gari atabadili MSIMAMO?

..suluhisho ni kupatia majibu HOJA za Tundu Lissu.
 
Mtamhonga au mtampa kwa grounds zipi?
anapewa usafiri huo kwa matumizi yake binafsi na atakavyoona yeye...

na atapewa kulingana na hali yake ilivyo sasa,

na atapewa gari hilo jipya kubwa la kisasa bila masharti yoyote🐒
 
..mkimnunulia gari atabadili MSIMAMO?

..suluhisho ni kupatia majibu HOJA za Tundu Lissu.
huo ni uhuru na haki yake kadiri atakavyoona inafaa 🐒

CCM hujibu hoja za wananchi kwa naneno na matendo na ndio maana unaona maendeleo kila mahali...

Lakini pia CCM husaidia watu mbalimbali binafsi kama ambavyo imeona ni vizuri ikasaidia hicho kidogo kwa Lisu,

Kwan kuna ubaya wowote gentleman 🐒
 
CCM ni chama makini. Lissu naye akipata gari lake atulegezee. Mara mojamoja aongelee mema ya serikali ya awamu ya sita.
 
Licha ya kuomba kuchangiwa kwa hali na mali na waTanzania, kwajili ya kununua gari jipya ya kufanyia shughuli zake binafsi za kisiasa, lakini pia pesa nyingine kwaajili ya matengenezo ya gari lake lililohusuka katika assassination attempt miaka kadhaa iliyopita pita, pamoja na mafuta, inasemekana
wadau, mashabiki, wakereketwa, wafuasi, wafanyabiashara na baadhi ya viongozi waandamizi na wasamaria wema ndani ya CCM wamejipanga, sio tu kumpiga Lissu jeki ya fedha, bali pia kumnunulia gari jipya, kubwa la kisasa litakaloendana na hali yake, lakini pia kulingana mazingira ya miundombinu ya barabara za Tanzania.

Je, haya ni miongoni mwa matunda, matokeo mafanikio chanya ya 4R theories alizobuni Rais Samia Suluhu Hassan katika kuliunganisha Taifa?

Una maoni gani kuhusu mustakabali wa siasa za Tanzania, ikiwa tetesi hii ni kweli na ikafanikiwa?

Pia soma: CCM wamchangia Lissu Milioni 5 atengeneze gari lake. Lissu azipokea
Eehh Mwenyezi Mungu, mbariki Mama Samia, huu moyo ni wa kipekee, lissu na yeye apate usafiri.
 
Unafiki wa CCM!
Pamoja na hayo CCM ngeisistizia serikali yake kuwakamata wale wote waliompiga risasi na kuwafikisha mahakamani kama ambavyo imeitaka kuwaachia viongozi wa CDM na wafausi wao waliokamatwa na kupigwa kule Mbeya!
Zaidi ya hapo tunazidi kutumia jicho la tatu kusoma between the lines! Kambale mkubwa anaweza kuvuliwa kirahisi kwa ndoana.
 
anapewa usafiri huo kwa matumizi yake binafsi na atakavyoona yeye...

na atapewa kulingana na hali yake ilivyo sasa,

na atapewa gari hilo jipya kubwa la kisasa bila masharti yoyote🐒
Ndo mapinduzi pekee mliyobaki kufanya.
Mwambieni Abduli alete jipya kutoka Oman
 
Back
Top Bottom