Kama kawaida, leo pia umeamka na kuaga mke na watoto kwamba unakwenda kazini; kumbe kazi yenyewe ndiyo hii ya kichizi! Kutwa nzima unajaza takataka tu kwenye jukwaa la JF.Una maoni gani kuhusu mustakabali wa siasa za Tanzania, ikiwa tetesi hii ni kweli na ikafanikiwa?
Can you see how your ability using this language is limited? You are forced to write a response that is not related to the statement you are responding to!your concern is on the table already π
Hebu ngoja. Wewe usiye kuwa kwenye upinzani, lakini unajulikana kuwa sehemu ya hao hao wanaofanya maovu, hata kama hii ni timu tofauti; unayo nafuu gani hasa!Upinzani wa nchi hii, wamekosa aibu na hawana tofauti ya kibokoya wachawi.
Wanakupiga halafu wanakuchangia pesa.
Your part is satanic, as expected. No one wants that.I have done my part, and you teachers do yours π
kwan saivv anajiweza?Asilipokee Hilo gari lazima litawekwa sumu kupitia AC ili ikifika 2025 awe amekufa au mahututi asiye jiweza na hiyo ndiyo mbinu ilobaki kumuondolea uhai
Huna tofauti na mtoa ushuzi karibu na jalala...wewe kila kitu kwako unaona ni fursa tuu.Nyota ya Tundu Antipas Lissu kuwa rais wa Tanzania 2025 inazidi kung'aa . Makundi yote yanazidi kuungana kum support Tundu Lissu. Kura zote za wanachadema , wanaccm na wananchi zitaenda kwa Tundu Antipas Lissu katika uchaguzi ujao .
Viva m'beba maono Tundu Antipas Lissu viva .
What the heck is this? I can't understand what you mean. Is this the language devils use?so,
you have refused to do your part, right? a good man?π
Usiwe na shaka, nipo hapa, niwe nimechelewa au nimewahi. Kazi yangu ni kupambana na shetani tu ambaye ndiyo wewe.leo tena umechelewa kupata bando eee π
Devil worshipping is none of my business, I know you are aware of that.I will pray for you again,
so that you are not confused with small small issues, okay?π
kazi za shift ukiingia tu ofisini unakabidhi simu kwa mlinzi na haina bando, mpka saa9, dah!πUsiwe na shaka, nipo hapa, niwe nimechelewa au nimewahi. Kazi yangu ni kupambana na shetani tu ambaye ndiyo wewe.
Kazi yangu hapa JF ni moja tu sasa, kukabiliana na shetani toka kwa 'Chura Kiziwi'.kazi za shift ukiingia tu ofisini unakabidhi simu kwa mlinzi na haina bando, mpka saa9, dah!π
nafikiria kuwasilisha hoja ya mabadiliko ya sheria ya kazi kwenye eneo la shifts na kupokonywa cm kazini, unaonaje hiyo gentleman π
huo ni uhuru na haki yake kadiri atakavyoona inafaa π
CCM hujibu hoja za wananchi kwa naneno na matendo na ndio maana unaona maendeleo kila mahali...
Lakini pia CCM husaidia watu mbalimbali binafsi kama ambavyo imeona ni vizuri ikasaidia hicho kidogo kwa Lisu,
Kwan kuna ubaya wowote gentleman π
you just relax,Devil worshipping is none of my business, I know you are aware of that.