Inadaiwa Lucas Mwashambwa amepewa nafasi CCM ndio maana haweki namba siku hizi

Inadaiwa Lucas Mwashambwa amepewa nafasi CCM ndio maana haweki namba siku hizi

Naomba Moderator wakuchukulie hatua kali sana maana umedanganya. Wakutake uthibitishe taarifa hii
Mara ya mwisho ulishiriki zoezi la kuboresha anwani za makazi kule Mlowo. Hili la wewe kupata uteuzi sijalinyaka bado, changamoto yako ni shule ndogo tu. Nawaza umepewa nafasi gani hiyo? Ngoja nifuatilie, msalimie sana sister, ulimpambania sana kwenye zoezi la anwani za makazi.
 
Ni afisa vijembe wa chama chetu

 
Lucas Mwashambwa kama mnakumbuka alijitambulisha anatoka maeneo ya mbozi mbeya huko na wakati anajifunza uchawa pengine kweli alikuwa huko ila baada ya kumulikwa na vyombo amepewa milleage na wasaidizi wa habari ndani ya uvmcc anapata ripoti popote duniani tena in a flash of an eye na picha halisi za tukio instantly so ni afisa habari wa chama hapa jamiiforum na mwenye wasaidizi lukuki chini ya ofisi ya patrice emiri nk.
Wewe ni Muongo sana tena sana na Mzushi mkubwa
 
Vyanzo vyangu vya kuaminika toka coridos of power vimenitonya mwanachama mtokwa machozi ya furaha pale anapotajwa kiongozi mkuu amepata teuzi huko ccm. Na ndio maana siku hizi ameacha kuweka namba Ila kwa maadili ya Jamiiforum siwezi kuweka hapa utambulisho wake.
Hongera comrade Lucas Mwashambwa kwa teuzi.
Mods msifute huu uzi.
Labda awe ameongezewa kutoka kupewa ulfu 20 to 50k
 
Vyanzo vyangu vya kuaminika toka coridos of power vimenitonya mwanachama mtokwa machozi ya furaha pale anapotajwa kiongozi mkuu amepata teuzi huko CCM.

Na ndio maana siku hizi ameacha kuweka namba Ila kwa maadili ya JamiiForums siwezi kuweka hapa utambulisho wake.

Hongera comrade Lucas Mwashambwa kwa teuzi.
CCM inaajiri watu duni sana!
 
Kama ni kweli nampongeza sana komredi Mwashambwa na kipenzi chake ephen_ . Ni muda wa Ephen kuitwa Mama Mheshimiwa.
 
Vyanzo vyangu vya kuaminika toka coridos of power vimenitonya mwanachama mtokwa machozi ya furaha pale anapotajwa kiongozi mkuu amepata teuzi huko CCM.

Na ndio maana siku hizi ameacha kuweka namba Ila kwa maadili ya JamiiForums siwezi kuweka hapa utambulisho wake.

Hongera comrade Lucas Mwashambwa kwa teuzi.
Mbubujikwa huyo
 
Back
Top Bottom