Inadaiwa Lucas Mwashambwa amepewa nafasi CCM ndio maana haweki namba siku hizi

Naomba Moderator wakuchukulie hatua kali sana maana umedanganya. Wakutake uthibitishe taarifa hii
Mara ya mwisho ulishiriki zoezi la kuboresha anwani za makazi kule Mlowo. Hili la wewe kupata uteuzi sijalinyaka bado, changamoto yako ni shule ndogo tu. Nawaza umepewa nafasi gani hiyo? Ngoja nifuatilie, msalimie sana sister, ulimpambania sana kwenye zoezi la anwani za makazi.
 
Ni afisa vijembe wa chama chetu

 
Wewe ni Muongo sana tena sana na Mzushi mkubwa
 
Labda awe ameongezewa kutoka kupewa ulfu 20 to 50k
 
CCM inaajiri watu duni sana!
 
Kama ni kweli nampongeza sana komredi Mwashambwa na kipenzi chake ephen_ . Ni muda wa Ephen kuitwa Mama Mheshimiwa.
 
Mbubujikwa huyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…