Ina maana kampiga bao hadi komredi @paschalmayala hadi akatangulia kupewa kitengo?Vyanzo vyangu vya kuaminika toka coridos of power vimenitonya mwanachama mtokwa machozi ya furaha pale anapotajwa kiongozi mkuu amepata teuzi huko CCM.
Na ndio maana siku hizi ameacha kuweka namba Ila kwa maadili ya JamiiForums siwezi kuweka hapa utambulisho wake.
Hongera comrade Lucas Mwashambwa kwa teuzi.
Upo lindii best π€£π€£π€£π€£π€£Mbona taarifa sina! Lucas Mwashambwa umepata cheo umeniacha napigwa na jua huku Lindi
Ndio! Huku newalaπUpo lindii best π€£π€£π€£π€£π€£
Unafanya nini??Ndio! Huku newalaπ
Fungua pm basi shemegi nami unichomeke huko chamaniHizo taarifa ni za uongo na hazina ukweli wowote ule. Mimi ni mkulima na naendelea na kilimo changu.
Hizo ni taarifa za uongo shemu.zingekuwa na ukweli ungepata taarifa haraka sana kutoka kwa wifi yako ephen huku akibubujikwa na machozi ya furaha.Fungua pm basi shemegi nami unichomeke huko chamani
Mimi sina cheo chochote kile πππLucas Mwashambwa heh hongera kupata cheo cha mafisadi
Nafuu hujamuacha ephen_ wetu jamaniHizo ni taarifa za uongo shemu.zingekuwa na ukweli ungepata taarifa haraka sana kutoka kwa wifi yako ephen huku akibubujikwa na machozi ya furaha.
Siwezi kumuacha ephen wanguu maana huyo ni kama mboni ya jicho langu.Nafuu hujamuacha ephen_ wetu jamani
Mie ccm ila saivi nimekata tama kama simbaMimi sina cheo chochote kile πππ
Ulitaka cheo?Mie ccm ila saivi nimekata tama kama simba
Una maswali mazuri my lovely mpaka mtu anaweza kuzimia kwa presha huko aliko.Ulitaka cheo?
Lazima tuwahoji vijanaUna maswali mazuri my lovely mpaka mtu anaweza kuzimia kwa presha huko aliko.
Utawaua kwa presha na msongo wa mawazo.Lazima tuwahoji vijana
Kila mtu ananyota yake bibieCCM siyo wepesi hivyo, utasaga lami viatu viishe na huwezi onekana. CCM ina wenyewe.
Hapana mie nilizani watatenda haki ila bado sanaUlitaka cheo?