Freed Freed
JF-Expert Member
- Jun 27, 2017
- 6,547
- 7,167
Habari inasema hivyo na inashangaza.Mbona kama hujasomeka. Yan wametekwa na m23, halaf Kagame anatoa tamko!?
Ni aibu kwa jeshi letu kuchezewa na wanyarwanda, hii ni sababu ya viongozi dhaifu kuliingiza jeshi kwenye siasa na kuwa dhaifu. Enzi za mwalimu jeshi letu lilikuwa imara sana na liliheshimika sanaSource: VOA Radio.
Mtangazaji wa VOA Kgali anaripoti wanajeshi wengi wa SADC wametekwa na M 23 na kusafirishwa hadi Kigali.
Rais Kagame kaamuru wanajeshi wa SADC Warejeshwe makwao haraka. Inaripotiwa pia wanajeshi 800 wa SADC na Congo wameuliwa na M 23.
Wanajeshi wa SADC wanatoka Tanzania, Malawi na South Africa.
Cc JK mitano tenaSource: VOA Radio.
Mtangazaji wa VOA Kgali anaripoti wanajeshi wengi wa SADC wametekwa na M 23 na kusafirishwa hadi Kigali.
Rais Kagame kaamuru wanajeshi wa SADC Warejeshwe makwao haraka. Inaripotiwa pia wanajeshi 800 wa SADC na Congo wameuliwa na M 23.
Wanajeshi wa SADC wanatoka Tanzania, Malawi na South Africa.
MYTAKE: Wasiwasi wa Kagame nadhani ana wasiwasi kuwashikilia Watanzania gerezani kunaweza kusababisha Tanzania kutuma kikosi kigali kuwakomboa Askari wa JWTZ.
Ni aibu kwa jeshi letu kuchezewa na wanyarwanda, hii ni sababu ya viongozi dhaifu kuliingiza jeshi kwenye siasa na kuwa dhaifu. Enzi za mwalimu jeshi letu lilikuwa imara sana na liliheshimika sana
Nilisema kile Mrusi amemfanya German napata shida kama watakuwa na waziri mwanamke kwa miaka ijayo sijuwiSource: VOA Radio.
Mtangazaji wa VOA Kgali anaripoti wanajeshi wengi wa SADC wametekwa na M 23 na kusafirishwa hadi Kigali.
Rais Kagame kaamuru wanajeshi wa SADC Warejeshwe makwao haraka. Inaripotiwa pia wanajeshi 800 wa SADC na Congo wameuliwa na M 23.
Wanajeshi wa SADC wanatoka Tanzania, Malawi na South Africa.
MYTAKE: Wasiwasi wa Kagame nadhani ana wasiwasi kuwashikilia Watanzania gerezani kunaweza kusababisha Tanzania kutuma kikosi kigali kuwakomboa Askari wa JWTZ.
Hii habari imeandikwa na mvuta bangi au mnywa gongoSource: VOA Radio.
Mtangazaji wa VOA Kgali anaripoti wanajeshi wengi wa SADC wametekwa na M 23 na kusafirishwa hadi Kigali.
Rais Kagame kaamuru wanajeshi wa SADC Warejeshwe makwao haraka. Inaripotiwa pia wanajeshi 800 wa SADC na Congo wameuliwa na M 23.
Wanajeshi wa SADC wanatoka Tanzania, Malawi na South Africa.
MYTAKE: Wasiwasi wa Kagame nadhani ana wasiwasi kuwashikilia Watanzania gerezani kunaweza kusababisha Tanzania kutuma kikosi kigali kuwakomboa Askari wa JWTZ.
N A K A Z I ACc JK mitano tena
Kama unaweza pata habari za sauti ya America leo jioni sikiliza hadi mwisho. Utakuja kuniomba msamaha. Tafuta hata mtandaoni maana washamaliza matangazo live.Hii habari imeandikwa na mvuta bangi au mnywa gongo
Cjaelewa fafanua mkuuMbona kama hujasomeka. Yan wametekwa na m23, halaf Kagame anatoa tamko!?
Jaribuni mgeuzwe ndafu,Soon tunaenda kwenye full fledged War..
Hawawajui JWTZ hawa...
Kama ni kweli na Kgame ni murume kweli awashikilie done kilichomtoa Amin UgandaSource: VOA Radio.
Mtangazaji wa VOA Kgali anaripoti wanajeshi wengi wa SADC wametekwa na M 23 na kusafirishwa hadi Kigali.
Rais Kagame kaamuru wanajeshi wa SADC Warejeshwe makwao haraka. Inaripotiwa pia wanajeshi 800 wa SADC na Congo wameuliwa na M 23.
Wanajeshi wa SADC wanatoka Tanzania, Malawi na South Africa.
MYTAKE: Wasiwasi wa Kagame nadhani ana wasiwasi kuwashikilia Watanzania gerezani kunaweza kusababisha Tanzania kutuma kikosi kigali kuwakomboa Askari wa JWTZ.
Naona Mnyaruwanda umekuja kwa kas..Jaribuni mgeuzwe ndafu,