Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Inakuwaje kikundi kidogo kinaogopeka hivyo?...duuuh
Hao M23 ndio wababe wa Kanda ya .maziwa makuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inakuwaje kikundi kidogo kinaogopeka hivyo?...duuuh
Hao M23 ndio wababe wa Kanda ya .maziwa makuu
Kagame anachezesha watu kanyabazenze kuonyesha kwamba nyinyi wote vidagaa wadogo tu hamna mnachoweza mimi ni Baba yenyu niliebakia kwa sasa unaona hivi viwana jeshi vyenu navikamata na kuvirudisha kwenyu hii Goma na Kivu ya Kasikazi ni ya kwangu nyinyi haiwahusuHii itakuwa aibu kubwa sana
Imetilisha huruma sana wanakula mpaka wanashindwa kufanya battalion ya maana huko CongoImekuwaje kuwaje mpaka wakatekwa na kuluna, wakati wao wanapata mafunzo yote, silaa wanazo, na wanalipwa vizuri mishahara na posho?
Rwanda haiwezi kuishinda Tanzania hata kidogo na yenyewe inajua. Rwanda itachakazwa kwa muda mfupi.Jaribuni mgeuzwe mishikaki😁😁
Huruma sana labda wakipigwa risasi haziwaingii mwilini nnachoshangaa juzi juzi hapo Congo imeua watoto 200+ waliofanya vurugu mtaani sasa wanawashindwaje hawa?Inakuwaje kikundi kidogo kinaogopeka hivyo?
Ila watanzania tunajua kujipa promo sasa si hao wamedakwa wamepelekwa Rwanda au unadhani hao waliopelekwa Rwanda hakuna wanajeshi wa Tanzania?Rwanda haiwezi kuishinda Tanzania hata kidogo na yenyewe inajua. Rwanda itachakazwa kwa muda mfupi.
Rwanda kitu ambacho anachoweza kufanya labda kulenga maeneo muhimu nchini na kuleta uharibifu! Kutuletea hasara. Ila vita kama vita haifui dafu.
Kkkmae,hivi kwanini wasivamie Rwanda kumtia adabu huyo anaekosesha amani watu wa Congo?!kwamba kagamee kashindikana na nchi zote au pia hao m23 wameshindikana kabisa?naona kama wanamchekea huyo gaidi kagame,na kwann hao M23 hawaitwi kundi la kigaidi na kagame kubwa la magaid? Najuta kwann nilikimbia jeshi walahSource: VOA Radio.
Mtangazaji wa VOA Kgali anaripoti wanajeshi wengi wa SADC wametekwa na M 23 na kusafirishwa hadi Kigali.
Rais Kagame kaamuru wanajeshi wa SADC Warejeshwe makwao haraka. Inaripotiwa pia wanajeshi 800 wa SADC na Congo wameuliwa na M 23.
Wanajeshi wa SADC wanatoka Tanzania, Malawi na South Africa.
MYTAKE: Wasiwasi wa Kagame nadhani ana wasiwasi kuwashikilia Watanzania gerezani kunaweza kusababisha Tanzania kutuma kikosi kigali kuwakomboa Askari wa JWTZ.
Rwanda imefungulia mashine propaganda nyingi sana kwenye mitandao. Zinatoa habari za uongo mpaka bhasi!Au VoA wanataka kuzichonganisha Tanzania na Rwanda na SA na nchi nyingine ili Mradi wa mafuta kutoka Hoima Uganda hadi Tanga usitekelezwe? Maana sidhani kama Paul ni reckless kiasi hicho!
Wangekuwa wanatumia drone sijui ingekuwaje?Huruma sana labda wakipigwa risasi haziwaingii mwilini nnachoshangaa juzi juzi hapo Congo imeua watoto 200+ waliofanya vurugu mtaani sasa wanawashindwaje hawa?
Acheni hizi promo wazee jeshi lenu limetoka jasho kwenye meno huko Goma mpaka limetaitiwa na kupelekwa Rwanda punguzeni hizo promo vita sio mdomoniNaona Mnyaruwanda umekuja kwa kas..
Tunawafurumisha wote kuanzia juu then tunaenda hapo Kigali...
Hakuna kutoa jeshi mpk roho ya PK ifie mikononi mwa jwNi jambo la kusikitisha sana!
Mimi nadhani serikali yetu itoe majeshi yetu Kongo! Hakuna faida tunayopata huko.
Sisi huku, huo mfumo hatujauweka?Kigali inalindwa na advance technology weapon systems hamkiwezi sogeza pia mbele ya iron dome!😁😁😁
Story tu, Wanajeshi wetu na wale wa SADC wamekubaliana kufanya ceasefire kwa mujibu wa Raisi Ramaphosa.
View: https://youtu.be/w2T3-5IKZ7Y?si=0T9RW5x6hpODy-J6
Jeshi la Tanzania ni moja katika majeshi ya SADC na wote wamesharudishwa Rwanda, promo za kuipigia jeshi mpunguzeRwanda imefungulia mashine propaganda nyingi sana kwenye mitandao. Zinatoa habari za uongo mpaka bhasi!
Hata humu wapo! Wanachokifanya ni kama Ukraine ilichokiwa inakifanya kwa Russia kwa kuzalisha taarifa nyingi za propaganda.
Hao VOA kama kweli wametoa hiyo habari baadaye watakuja kuomba radhi au wana manufaa yao kama uliyoyasema.
Hahaha ulitaka wakiwashe wamegoma sababu Ramaphosa kaona wanaokufa ni wanajeshi wa SA tu wengine wanajificha wapi?sasa walifuata nin huko , adui akija wana cease fire badala ya kupeleka moto mzito
Kwa sababu hawajawahi kuingia field tusiombe itokeeRwanda haiwezi kuishinda Tanzania hata kidogo na yenyewe inajua. Rwanda itachakazwa kwa muda mfupi.
Rwanda kitu ambacho anachoweza kufanya labda kulenga maeneo muhimu nchini na kuleta uharibifu! Kutuletea hasara. Ila vita kama vita haifui dafu.
HujitambuiNi jambo la kusikitisha sana!
Mimi nadhani serikali yetu itoe majeshi yetu Kongo! Hakuna faida tunayopata huko.
Kwa hio Kagame anasema wale M23 sawa wanaongea Kinyarwanda ila sio Wanyarwanda sababu ni wale wanyarwanda ambao wakati wa vita kipindi kile walikimbilia Uganda sasa waliporudi baada ya vita vya wenyewe kwa wenyewe kuisha wakaanza kung'ang'ania maeneo ya upande wa Congo wakisema ni maeneo yao, sasa swali kwanini wanashirikiana na Rwanda?Nimejaribu kufuatilia huu mgogoro na nimegundua kuwa kagame Huwa anasingiziwa tu kuwa anahusika.Sababu kuu ni udhaifu serikali ya congo kutatua huo mgogoro unaosababishwa na ukabila