Tetesi: Inadaiwa Makumi ya Askari jeshi wa SADC watekwa Congo na kupelekwa Kigali

Tetesi: Inadaiwa Makumi ya Askari jeshi wa SADC watekwa Congo na kupelekwa Kigali

Jeshi la Tanzania ni moja katika majeshi ya SADC na wote wamesharudishwa Rwanda, promo za kuipigia jeshi mpunguze
Narudia tena! Hakuna kitu kama hicho!

Na ukitaka uthibitisho wa hilo kuna maswali muhimu ambayo unabidi ujiulizie!

PK hawezi kucheza reckless game kama hiyo! Ya kukamata wanajeshi wa nchi nyengine na kundi ambalo linalofahamika ni waasi na ambalo mara zote mwenyewe amekuwa akikanusha kuwasaidia.

Mnamuita jasusi mwenye akili hawezi kucheza game ya kitoto kama hiyo!

Na Kingine jiulize kwa nini taarifa hiyo ipo VOA peke yake? Mbona vyombo vingine havitaarifu mfano BBC swahili?

Rwanda inatumia propaganda machine.
 
Ndani ya jeshi la congo kunawanaofanya uasi na kutoroka na vifaa vingi vya kivita baada ya kuona serikali kuwabagua baadhi ya kabila.Na kunawafanyabiashara wakubwa ambao hawakubaliani na maovu ya serikali wanaamua kuwasaidia hao waasi
Unaamini waasi wakipewa madaraka, uovu utaisha?
 
Ungefanya nini huko jeshini wewe wanapigana wanajeshi wa SA tu ndio wanauliwa wa Tanzania wamejificha hawafi wanacheza karata tu na draft machakani huko eti wanalinda amani, wakati wenzao wa SA wanarusha vyuma mpaka wanauliwa
Angalia post # 80 hapo utapata jawabu!
 
Source: VOA Radio.

Mtangazaji wa VOA Kgali anaripoti wanajeshi wengi wa SADC wametekwa na M 23 na kusafirishwa hadi Kigali.
Rais Kagame kaamuru wanajeshi wa SADC Warejeshwe makwao haraka. Inaripotiwa pia wanajeshi 800 wa SADC na Congo wameuliwa na M 23.

Wanajeshi wa SADC wanatoka Tanzania, Malawi na South Africa.

MYTAKE: Wasiwasi wa Kagame nadhani ana wasiwasi kuwashikilia Watanzania gerezani kunaweza kusababisha Tanzania kutuma kikosi kigali kuwakomboa Askari wa JWTZ.
Askari 800 wa SADC kuuwawa ni wengi mno hii habari inatia mashaka
 
Silaha sio hoja mkuu. Hoja ni weledi katika mbinu za kivita.
Mkuu kwani akinunua Lugumu tena hata kwa kuidalalia serikali kunatatizo? Au roho ina kuuma kuona mwanaume mwenzako ana toboa. 🚮 Hao Rwanda wana liwa vizuri tu na kwa silaha hizo. Upende usipende.
 
Narudia tena! Hakuna kitu kama hicho!

Na ukitaka uthibitisho wa hilo kuna maswali muhimu ambayo unabidi ujiulizie!

PK hawezi kucheza reckless game kama hiyo! Ya kukamata wanajeshi wa nchi nyengine na kundi ambalo linalofahamika ni waasi na ambalo mara zote mwenyewe amekuwa akikanusha kuwasaidia.

Mnamuita jasusi mwenye akili hawezi kucheza game ya kitoto kama hiyo!

Na Kingine jiulize kwa nini taarifa hiyo ipo VOA peke yake? Mbona vyombo vingine havitaarifu mfano BBC swahili?

Rwanda inatumia propaganda machine.
Kwa hio wamedakwa wakapelekwa Rwanda? Dharau kubwa sana hio kwa jeshi kubwa km hilo kufanywa hivyo sasa hivi wanajeshi wetu huko Rwanda wanalia km watoto Mama Mama Mama
 
Mkuu kwani akinunua Lugumu tena hata kwa kuidalalia serikali kunatatizo? Au roho ina kuuma kuona mwanaume mwenzako ana toboa. 🚮 Hao Rwanda wana liwa vizuri tu na kwa silaha hizo. Upende usipende.
Kwa hio wamewadaka kweli wakawapeleka Rwanda? Dharau gani hizo lakini?
 
Inaweza ikawa ngumu maana watakaotolewa na wao hawatakubali.suluhisho ni serikali ya congo wamalize huo ubaguzi ambao umezaa uasi.
Jamaa alijisahau, wakati ameingia tu madarakani angewekeza kwenye jeshi kila kona, si ajabu angekaa miaka mingi kama Rwanda
 
Inaweza ikawa ngumu maana watakaotolewa na wao hawatakubali.suluhisho ni serikali ya congo wamalize huo ubaguzi ambao umezaa uasi.
Hapo Congo kwani nani anambagua nani mpaka inapelekea uasi emu toa ufafanuzi mzuri, maana hapo ninachoelewa kuna Banyamulenge hawa ndio shida ilipo na wale wengine waliokimbia kupigwa mapanga kule Rwanda kipindi cha vita, sasa baada ya vita walikimbilia Congo wengine wakaelekea Uganda, walivyofika Congo wamekutana na madini, Kagame akawaacha baadhi pale Congo anarudi Rwanda kumaliza vita na kuchukua Nchi mtiti ukabaki kuchukua madini ya Congo Kagame akawaambia wale wa Congo kule hakuna kurudi wanayataka yale madini kwa mbinu na namna yoyote hata kwa vita ikiwezekana ndio kuona wamebaki na kujiita M23 yaan March 23 mdhamini mkuu akiwa ni Kagame asikatae
 
Source: VOA Radio.

Mtangazaji wa VOA Kgali anaripoti wanajeshi wengi wa SADC wametekwa na M 23 na kusafirishwa hadi Kigali.
Rais Kagame kaamuru wanajeshi wa SADC Warejeshwe makwao haraka. Inaripotiwa pia wanajeshi 800 wa SADC na Congo wameuliwa na M 23.

Wanajeshi wa SADC wanatoka Tanzania, Malawi na South Africa.

MYTAKE: Wasiwasi wa Kagame nadhani ana wasiwasi kuwashikilia Watanzania gerezani kunaweza kusababisha Tanzania kutuma kikosi kigali kuwakomboa Askari wa JWTZ.
Hi ni balaa aisee
 
Sawa nimekubari ndio maana nasema hizi promo hizi ndio sawa tuna jeshi kweli imara na salama sasa km kweli jeshi letu lina nguvu na imara linashindwa nini kwenda kuwasambaratisha wale vibwengo kule?
Kwani mara ngapi M23 wamekuwa neutralised Mkuu? Kuisambaratisha maana yake kituo cha mwisho kiwe Rwanda.

Na ni suala la muda tu litafika!

Ila nikutoe hofu Mkuu, jeshi letu lipo vizuri.

Magu aliliamuru jeshi liingie Kibiti baada ya polisi kishindwa kazi.

Kuna jamaa mmoja ana shabaha sana! Alipambana na wale magaidi baada ya askari kadhaa kujeruhiwa baada ya kufanyiwa ambush.

Hakukimbia alipambana peke yake mpaka mwisho na magaidi walikaa. Mwamba aliwapukutisha lakini alijeruhiwa mkono. CDF (mstaafu) alimtunuku nishani.

Kibiti sasa imetulia! Mtwara imetulia. Hata Kigoma kutulia ni kwa sababu ya Jwtz.

Unakumbuka Warundi walileta michezo yao mapori ya Kagera? Walitajana mpaka kwenye kambi zao huko ukimbizini.

Kwa vile jeshi letu falsafa yakw ni ya siri ndiyo maana mambo mengi hatafahamiki.
 
Ungefanya nini huko jeshini wewe wanapigana wanajeshi wa SA tu ndio wanauliwa wa Tanzania wamejificha hawafi wanacheza karata tu na draft machakani huko eti wanalinda amani, wakati wenzao wa SA wanarusha vyuma mpaka wanauliwa
🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom