Ismoo
JF-Expert Member
- Apr 18, 2018
- 1,101
- 1,573
Upo sahihiNi jambo la kusikitisha sana!
Mimi nadhani serikali yetu itoe majeshi yetu Kongo! Hakuna faida tunayopata huko.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Upo sahihiNi jambo la kusikitisha sana!
Mimi nadhani serikali yetu itoe majeshi yetu Kongo! Hakuna faida tunayopata huko.
Suala siyo kujipa promo suala ndiyo uhalisia.Ila watanzania tunajua kujipa promo sasa si hao wamedakwa wamepelekwa Rwanda au unadhani hao waliopelekwa Rwanda hakuna wanajeshi wa Tanzania?
Inaripotiwa pia wanajeshi 800 wa SADC na Congo wameuliwa na M 23.
Hawa M23 wanapata silaa na pesa wapi?Nimejaribu kufuatilia huu mgogoro na nimegundua kuwa kagame Huwa anasingiziwa tu kuwa anahusika.Sababu kuu ni udhaifu serikali ya congo kutatua huo mgogoro unaosababishwa na ukabila
Wanalinda amaniNi jambo la kusikitisha sana!
Mimi nadhani serikali yetu itoe majeshi yetu Kongo! Hakuna faida tunayopata huko.
Alitakiwa aanze mapema mchakatoCongo wawaombe Hamas msaada au DRC hakuna mahandaki?
Silaha sio hoja mkuu. Hoja ni weledi katika mbinu za kivita.Yani mkapigane na rwanda kwa silaha za kununuliwa na dalali lugumi😁😁😁😁
Sawa nimekubari ndio maana nasema hizi promo hizi ndio sawa tuna jeshi kweli imara na salama sasa km kweli jeshi letu lina nguvu na imara linashindwa nini kwenda kuwasambaratisha wale vibwengo kule?Suala siyo kujipa promo suala ndiyo uhalisia.
Kinachoigharimu Tanzania ni kuwa mambo yake mengi huwa inafanya siri. Mfano kinachoendelea Mtwara watanzania wengi hawajui na wala haikutangazwa. Lakini kilochokuwa kinandelea huko shughuli yake ni nzito.
Kuna kipindi hao magaidi walikuwa wanapiga halafu wanakimbilia Msumbiji kwa kudhani kuwa Tanzania itashindwa kushambulia kwa kuwa mashambulizi hayo yatafahamika ni kama kushambulia mipaka ya nchi nyengine.
Lakini Tanzania ilipiga huko huko mpaka Msumbiji wakalalamika.
Rwanda ni nchi ya kawaida. Isipokuwa ina mashine inayosambaza propaganda kwenye mitandao ili kuwatisha majirani zake kisaikolojia. Ila ni weupe!
Rwanda inapigwa vizuri sana na wao wanalijua hilo! Watakachofanya wao ni kulenga maeneo muhimu ya nchi ili kututia hasara ikiwa kama vita itatokea baina ya mataifa haya mawili.
Kama unaweza pata habari za sauti ya America leo jioni sikiliza hadi mwisho. Utakuja kuniomba msamaha. Tafuta hata mtandaoni maana washamaliza matangazo live.
Kuingia Kigali ni vidaraja visivyozidi kumiKigali inalindwa na advance technology weapon systems hamkiwezi sogeza pia mbele ya iron dome!😁😁😁
Kulinda amani ipi mbwanyie pumbavu watu wanaonewa nyie mnaenda kulinda amani sio kuwapoteza hao wanaowaonea hamuoni mnafanya ufalanyaki?Wanalinda amani
Kwani ulitegemea faida gani?
Mbona tayari yapo haya ya kawaida e.g. L-form, Y-form n.k. ?Alitakiwa aanze mapema mchakato
Ndani ya jeshi la congo kunawanaofanya uasi na kutoroka na vifaa vingi vya kivita baada ya kuona serikali kuwabagua baadhi ya kabila.Na kunawafanyabiashara wakubwa ambao hawakubaliani na maovu ya serikali wanaamua kuwasaidia hao waasiHawa M23 wanapata silaa na pesa wapi?
Hawa M23 wanapata silaa na pesa wapi?
Hujui kituNimejaribu kufuatilia huu mgogoro na nimegundua kuwa kagame Huwa anasingiziwa tu kuwa anahusika.Sababu kuu ni udhaifu serikali ya congo kutatua huo mgogoro unaosababishwa na ukabila
Baaasi umemaliza usiseme tenaRwanda imefungulia mashine propaganda nyingi sana kwenye mitandao. Zinatoa habari za uongo mpaka bhasi!
Hata humu wapo! Wanachokifanya ni kama Ukraine ilichokiwa inakifanya kwa Russia kwa kuzalisha taarifa nyingi za propaganda.
Hao VOA kama kweli wametoa hiyo habari baadaye watakuja kuomba radhi au wana manufaa yao kama uliyoyasema.
Watamkamata kwa mikono kama kuku kwenye tenga.Kuingia Kigali ni vidaraja visivyozidi kumi
Ungefanya nini huko jeshini wewe wanapigana wanajeshi wa SA tu ndio wanauliwa wa Tanzania wamejificha hawafi wanacheza karata tu na draft machakani huko eti wanalinda amani, wakati wenzao wa SA wanarusha vyuma mpaka wanauliwaNajuta kwann nilikimbia jeshi walah