Huo mfumo kiboko yake PALESTINA 2. Tukawaombe HAUTHI watuuzie hata makombora 5Sisi huku, huo mfumo hatujauweka?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huo mfumo kiboko yake PALESTINA 2. Tukawaombe HAUTHI watuuzie hata makombora 5Sisi huku, huo mfumo hatujauweka?
... hamna kazi mbovu kama kulinda amani, ... masharti yake yanawanyima kabisa uhuru wa kupigana wanajeshi wetu na muda mwingi wanafanywa 'human shields' na majeshi hasimu!Imekuwaje kuwaje mpaka wakatekwa na kuluna, wakati wao wanapata mafunzo yote, silaa wanazo, na wanalipwa vizuri mishahara na posho?
... jeshi ni team work, nidhamu na kutii amri kutoka juu bila shuruti! ... kazi ya kutunza amani ni sawa na kuwa refa wa ngumi, haupigani lakini ukizubaa unadundwa na mahasimu!Kkkmae,hivi kwanini wasivamie Rwanda kumtia adabu huyo anaekosesha amani watu wa Congo?!kwamba kagamee kashindikana na nchi zote au pia hao m23 wameshindikana kabisa?naona kama wanamchekea huyo gaidi kagame,na kwann hao M23 hawaitwi kundi la kigaidi na kagame kubwa la magaid? Najuta kwann nilikimbia jeshi walah
Hv huwa mnafuatulia hz habari ambazo watu wote tunafuatilia ama mna habari zenu binafsi mnazofuatiliaga. Yaani saa zingine mpaka naona aibu jinsi tulivyo na ujinga mwingiUnaonekana una akili za zamani sana. Wewe ni mzee kiufupi
Unajua kipindi cha vita ya idd Amin, walikufa wanajeshi wangapi wa Tanzania? Kipindi kile ilikuwa bahati tu maana Idd Amin hakuwa kiongozi mwema hata wananchi wake walitaka aondeke (walimchoka). Unafikiri Idd Amin angekuwa kiongozi mzuri unafikiri JWTZ wangeweza kushinda vita?
Hapo Congo unajua wanajeshi wangapi wa Tanzania wamekufa mpaka sasa? Mwaka juzi kama sikosei kuna wanajeshi wa Tanzania waliletwa kwenye majeneza.
Kwahiyo kwa vita ile Nyerere aliwaaminisha kuwa vita ni rahisi? Kule Congo tayari kuna wanajeshi wa Tanzania, wamefanya nn mpaka sasa?
Hapo kwa akili yako ndogo unafikiri hata tukipigana vita na kagame tutashinda kirahisi.
Mtu amekuwa raisi miaka 23 madarakani utafikiri Tanganyika hakuna watu wenye akili zaidi yake Endelea kuamini story za wanasocialist
Weka akilini hili*Nchi ya congo ina mali sana kuliko nchi yoyote Afrika, kwahiyo usije ukaona ni rahisi (ni pazito)* Kamuulize Gadhafi, kwanini waasi walikuwa na nguvu kuliko jeshi lake*
Tumia akili zako za kupasua matofali kwenye kichwa ndiyo utajua
War strategy mkuu, mwenyewe ndio ataweka jina kwamba amewaokoa hao mateka kutoka m23 wakati anayepigana hiyo vita huko ni yeye.Mbona kama hujasomeka. Yan wametekwa na m23, halaf Kagame anatoa tamko!?
Ilikuwa JWTZ ya zamani siku hizi vimemo vingi.Soon tunaenda kwenye full fledged War..
Hawawajui JWTZ hawa...
Ungeona kazi iliyofanyika goma sidhanj kama ungeandika hiki ulichoandikaIlikuwa JWTZ ya zamani siku hizi vimemo vingi.
Hatujui huyuNaona Mnyaruwanda umekuja kwa kas..
Tunawafurumisha wote kuanzia juu then tunaenda hapo Kigali...
Hakuna huo ubavuSoon tunaenda kwenye full fledged War..
Hawawajui JWTZ hawa...
Hawawezi kitu mkuu, labda kufanya usafi tu na kuzuia chadema wasiandamane. BasiKakwambia nani?
Unajua mission ngapi Jwtz inashiriki?
Wabongo mbona mnalodharau sana jeshi lenu?
Au kwa vile mnaona mnazunguka nchini mwenu bila bughudha basi mnaongea vyovyote mnavyojisikia?
Muhasibu kuwa na amani shekhe ,haiko hivyo ni propaganda tu kwa kifupi hali ya kwa mtu mrefu sio nzuri sana kule kibandani kwake moshi ni mwingi sanaaaa.Hizi ni dharau kubwa sana
Kwenye vita, vifo sio kitu cha ajabu ni kawaida sana.Unaonekana una akili za zamani sana. Wewe ni mzee kiufupi
Unajua kipindi cha vita ya idd Amin, walikufa wanajeshi wangapi wa Tanzania?
Kwa nini wasingeweza? Hata hivyo vita sio mashindano kama Simba vs Yanga. Motive behind ndo silaha kubwa.Kipindi kile ilikuwa bahati tu maana Idd Amin hakuwa kiongozi mwema hata wananchi wake walitaka aondeke (walimchoka). Unafikiri Idd Amin angekuwa kiongozi mzuri unafikiri JWTZ wangeweza kushinda vita?
Hapo Congo unajua wanajeshi wangapi wa Tanzania wamekufa mpaka sasa?
Hiyo ni kawaida sana kwenye vita yoyote ile - usishangae.Mwaka juzi kama sikosei kuna wanajeshi wa Tanzania waliletwa kwenye majeneza.
Wanajeshi wa Tz waliopo huko ni kwa ajili ya kulinda Amani na sio kwa ajili ya kupambana.Kwahiyo kwa vita ile Nyerere aliwaaminisha kuwa vita ni rahisi? Kule Congo tayari kuna wanajeshi wa Tanzania, wamefanya nn mpaka sasa?
Vita sio kitu kirahisi kama inavyotamkwa - naelewa hilo. Lakini ikiwepo sababu madhubuti ya kupigana vita e.g. ile ya Kagera, Ushindi unapatikana japokuwa sio kirahisi. Hata ile ya Kagera haikuwa rahisi kivile.Hapo kwa akili yako ndogo unafikiri hata tukipigana vita na kagame tutashinda kirahisi.
Mtu amekuwa raisi miaka 23 madarakani utafikiri Tanganyika hakuna watu wenye akili zaidi yake Endelea kuamini story za wanasocialist
Weka akilini hili*Nchi ya congo ina mali sana kuliko nchi yoyote Afrika, kwahiyo usije ukaona ni rahisi (ni pazito)* Kamuulize Gadhafi, kwanini waasi walikuwa na nguvu kuliko jeshi lake*
Tumia akili zako za kupasua matofali kwenye kichwa ndiyo utajua
Kongole mkuu. Umeonesha ukomaavu wa akili. Ur one among the GTs hapa Jf.Basi imetosha sitaki kuongea tena iishe km ilivyoisha ila nimeeleweeka ingawa sijamaanisha ukivyomaanisha sijafikiri km ulivyofikiri tumetofautiana kimtazamo ulichokiona sicho nilichokiona nilichokisema sicho nilichomaanisha, tafakari