Tetesi: Inadaiwa Makumi ya Askari jeshi wa SADC watekwa Congo na kupelekwa Kigali

Tetesi: Inadaiwa Makumi ya Askari jeshi wa SADC watekwa Congo na kupelekwa Kigali

sasa walifuata nin huko , adui akija wana cease fire badala ya kupeleka moto mzito
Numbers, labda wamezidiwa numbers na firepower.

Ili ngoma iwe sawa tungepeleka JW 5000 na silaha nzito halafu supply line yetu tunailinda na Askari 500.

Na hilo nalo ni logistically nightmare.

Hapo ingekuwa sawa.
 
JWTZ ni wazuri kwa watu ambao hawana silaha.
Kufunga mtaa na kuchapa watu ovyo kisa mwanajeshi kapigwa na raia.
Wanaingia mtaani kusaka watu waliovaa nguo zinazofanana na sare za jeshi😀😀😀😀
Ulivyoona wanajeshi wanapasua matofali kwa kichwa ukajua wapo vizuri? Kule kibiti wanakuta raia hawana hata bunduki wanakamata na kuua😀😀😀😀
Kule muzee mtu anabunduki halafu upo uwanja wa vita, hili eneo wapo M23, wakisikia umekanyaga hata mti, chuma😀😀😀😀
Dah! Mkuu umri wako tafadhali. Hausomagi au hata husikiagi huko kijiweni kwenu yaliyojiri kwa mtawala mmoja wa nchi ya Uganda aliyekuwa akiitwa Iddi Amin Dada? au vita ya Kagera 1978? Ila najua ukiulizwa simba na yanga utataja mpaka ma-reserves.
 
Dah! Kwa hiyo wanaouliwa ndo uthibitisho kwamba wanapambana? Nani alikwambia kwamba wanajeshi huwa hawajifichi? Unadhani vita ni sawa na mieleka? Eti uonekane.
Halafu bro. hebu uwatake radhi wanajeshi wa Tz (JW)kwa kuwakejeli eti wanacheza karata na draft huko machakani ndo mana hawafi. Kweli!!????
(Heshima hainunuliwi)
Basi imetosha sitaki kuongea tena iishe km ilivyoisha ila nimeeleweeka ingawa sijamaanisha ukivyomaanisha sijafikiri km ulivyofikiri tumetofautiana kimtazamo ulichokiona sicho nilichokiona nilichokisema sicho nilichomaanisha, tafakari
 
Mmmmhhh..!!! Hii habari ngoja nifuatilie, yaani M23 wawateke wanajeshi wa SADC? Ikiwemo wa Jeshi letu huko Congo na kuwapeleka Kigali? Mmmmhh ..!
 
Source: VOA Radio.

Mtangazaji wa VOA Kgali anaripoti wanajeshi wengi wa SADC wametekwa na M 23 na kusafirishwa hadi Kigali.
Rais Kagame kaamuru wanajeshi wa SADC Warejeshwe makwao haraka. Inaripotiwa pia wanajeshi 800 wa SADC na Congo wameuliwa na M 23.

Wanajeshi wa SADC wanatoka Tanzania, Malawi na South Africa.

MYTAKE: Wasiwasi wa Kagame nadhani ana wasiwasi kuwashikilia Watanzania gerezani kunaweza kusababisha Tanzania kutuma kikosi kigali kuwakomboa Askari wa JWTZ.
wanatekwa, na wanapelekwa kigali kwa kagame, that means kagame ndio boss wa m23. kwanini wasipelekwe uganda au burundi?
 
Dah! Mkuu umri wako tafadhali. Hausomagi au hata husikiagi huko kijiweni kwenu yaliyojiri kwa mtawala mmoja wa nchi ya Uganda aliyekuwa akiitwa Iddi Amin Dada? au vita ya Kagera 1978? Ila najua ukiulizwa simba na yanga utataja mpaka ma-reserves.
Unaonekana una akili za zamani sana. Wewe ni mzee kiufupi
Unajua kipindi cha vita ya idd Amin, walikufa wanajeshi wangapi wa Tanzania? Kipindi kile ilikuwa bahati tu maana Idd Amin hakuwa kiongozi mwema hata wananchi wake walitaka aondeke (walimchoka). Unafikiri Idd Amin angekuwa kiongozi mzuri unafikiri JWTZ wangeweza kushinda vita?
Hapo Congo unajua wanajeshi wangapi wa Tanzania wamekufa mpaka sasa? Mwaka juzi kama sikosei kuna wanajeshi wa Tanzania waliletwa kwenye majeneza.
Kwahiyo kwa vita ile Nyerere aliwaaminisha kuwa vita ni rahisi? Kule Congo tayari kuna wanajeshi wa Tanzania, wamefanya nn mpaka sasa?
Hapo kwa akili yako ndogo unafikiri hata tukipigana vita na kagame tutashinda kirahisi.
Mtu amekuwa raisi miaka 23 madarakani utafikiri Tanganyika hakuna watu wenye akili zaidi yake Endelea kuamini story za wanasocialist
Weka akilini hili*Nchi ya congo ina mali sana kuliko nchi yoyote Afrika, kwahiyo usije ukaona ni rahisi (ni pazito)* Kamuulize Gadhafi, kwanini waasi walikuwa na nguvu kuliko jeshi lake*
Tumia akili zako za kupasua matofali kwenye kichwa ndiyo utajua
 
Numbers, labda wamezidiwa numbers na firepower.

Ili ngoma iwe sawa tungepeleka JW 5000 na silaha nzito halafu supply line yetu tunailinda na Askari 500.

Na hilo nalo ni logistically nightmare.

Hapo ingekuwa sawa.
Usijiweke tanzania,jwtz haikuhusu
 
Hili jeshi letu lilianza kunipa ukakasi kwa aina ya vijana waliokuwa recruited huko jeshini...wengi mtizamo wao ni ajira kama ajira. Vijana wenye wito hasa wapo tu mtaani,huko wanaenda kwa kujuana...nina jamaa zangu ni wanajeshi, nje ya gwanda na ID zao walaini tu,mmoja alipigwa ngumi hio na bodaboda mpaka alizimia.
 
Hili jeshi letu lilianza kunipa ukakasi kwa aina ya vijana waliokuwa recruited huko jeshini...wengi mtizamo wao ni ajira kama ajira. Vijana wenye wito hasa wapo tu mtaani,huko wanaenda kwa kujuana...nina jamaa zangu ni wanajeshi, nje ya gwanda na ID zao walaini tu,mmoja alipigwa ngumi hio na bodaboda mpaka alizimia.
Hili lifanyiwe kazi, vijana wenye Passion na jeshi ni muhimu sana,
 
Hili lifanyiwe kazi, vijana wenye Passion na jeshi ni muhimu sana,
Wenye passion,baada ya jkt wanakosa ajira jwtz wanapelekwa SUMA jkt huko ,au wanarudi kwenye makampuni ya ulinzi...wenye connection,wabovu wanaenda JWTZ.
Kuna dogo yupo JWTZ alikuja nitembelea, akaniambia bro Yeye zaidi ya medical position aliopo,hataki jua chochote huko mshahara wake uingie tu
 
Back
Top Bottom