Jeshi la kupasua mawe kwa vichwa na kukalia misumari πππAibu hii kwa jeshi letu na tz kwa ujumla nchi tuliokuwa tunapigiwa kifua mbele kwa kuwa na jeshi bora leo heshima yote ikwisha
Huko Congo mnatafuta nini?Soon tunaenda kwenye full fledged War..
Hawawajui JWTZ hawa...
Story tu, Wanajeshi wetu na wale wa SADC wamekubaliana kufanya ceasefire na M23 kwa mujibu wa Raisi Ramaphosa.Cc JK mitano tena
π π π πJeshi la kupasua mawe kwa vichwa na kukalia misumari πππ
Kama jwtz hawamo basi hap wengine watekwe tu hakuna namna.Source: VOA Radio.
Mtangazaji wa VOA Kgali anaripoti wanajeshi wengi wa SADC wametekwa na M 23 na kusafirishwa hadi Kigali.
Rais Kagame kaamuru wanajeshi wa SADC Warejeshwe makwao haraka. Inaripotiwa pia wanajeshi 800 wa SADC na Congo wameuliwa na M 23.
Wanajeshi wa SADC wanatoka Tanzania, Malawi na South Africa.
MYTAKE: Wasiwasi wa Kagame nadhani ana wasiwasi kuwashikilia Watanzania gerezani kunaweza kusababisha Tanzania kutuma kikosi kigali kuwakomboa Askari wa JWTZ.
Au VoA wanataka kuzichonganisha Tanzania na Rwanda na SA na nchi nyingine ili Mradi wa mafuta kutoka Hoima Uganda hadi Tanga usitekelezwe? Maana sidhani kama Paul ni reckless kiasi hicho!Habari inasema hivyo na inashangaza.
Kigali inalindwa na advance technology weapon systems hamkiwezi sogeza pia mbele ya iron dome!πππNaona Mnyaruwanda umekuja kwa kas..
Tunawafurumisha wote kuanzia juu then tunaenda hapo Kigali...
Faida ya Tanzania ni Congo kuwa na Amani.Ni jambo la kusikitisha sana!
Mimi nadhani serikali yetu itoe majeshi yetu Kongo! Hakuna faida tunayopata huko.
Tanzania ikitaka inakunywa chai asubuhi kwenye ikulu ya Rwanda.advance technology haiwezi kuizua Tanzania.Kigali inalindwa na advance technology weapon systems hamkiwezi sogeza pia mbele ya iron dome!πππ
Jaribuni mgeuzwe mishikakiππTanxa
Tanzania ikitaka inakunywa chai asubuhi kwenye ikulu ya Rwanda.advance technology haiwezi kuizua Tanzania.
Oh! Tulikuwa kule na Ukraine vs Urusi, baadaye tukaingia pale Gaza ya Wapalestina (HAMAS), tena tukaunganisha juu kwa juu tukaingia Lebanon ya Hezbollah (IDF vs Kobaaz) , then Congo DRC vs M23 lakini kwa mbaali; ila sasa naona tunaelekea Kigali vs Dsm. Ngoja tukusanye habari. Ila huko sio kuzuri tutashindwa kutiririka.Kigali inalindwa na advance technology weapon systems hamkiwezi sogeza pia mbele ya iron dome!πππ
Yani mkapigane na rwanda kwa silaha za kununuliwa na dalali lugumiππππOh! Tulikuwa kule na Ukraine vs Urusi, baadaye tukaingia pale Gaza ya Wapalestina (HAMAS), tena tukaunganisha juu kwa juu tukaingia Lebanon ya Hezbollah (IDF vs Kobaaz) , then Congo DRC vs M23 lakini kwa mbaali; ila sasa naona tunaelekea Kigali vs Dsm. Ngoja tukusanye habari. Ila huko sio kuzuri tutashindwa kutiririka.
Hiyo Iron dome ni kwa angani. Je, kwa ardhini haumuoni PK akiomba poo??
We subiri kama ikitokea JW waanze kukinukisha.