Inadaiwa marehemu Swalha alikuwa analazimisha talaka ili arudiane na mume wake wa zamani na siku ya tukio alienda nae kwenye tamasha la muziki

Inadaiwa marehemu Swalha alikuwa analazimisha talaka ili arudiane na mume wake wa zamani na siku ya tukio alienda nae kwenye tamasha la muziki

Nadhani alikuwa ana fosi upendo kitendo cha kusomesha kisha bibie akusaliti akaolewe na mwingine then apigike huko tena amrudie kwa hakika huyo marehem alipenda kwa dhati bahati mbaya mahali alipo penda Sipo.

Unaanzaje kupenda Slay Queen ? Jamaa alika ni mshamba sana
 
Mbona majangiri wana AK 47 kabisa? Jibu swali usihamishe magoli, umeulizwa utaratibu wa kurithi silaha ukoje? jibu hili swali usitutowe kwenye mstari.
Kuna sehemu nimesema kuwa mie nahusika na masuala ya ugawaji vibali vya kumiliki silaha? Mie nimempa muongozo juu ya nini cha kufanya.... Bro nikuulize kwanza, je unamiliki silaha yoyote?
 
Missed call 42 si mchezo.....sijui kwa nini huyo manzi hakupokea, wadada punguzeni dharau kwa waume au wapenzi wenu.....na masela punguzeni jazba kwenye mapenzi. Huyo jamaa pamoja na kuwa na mkwanja mrefu alishindwa kabisa kummudu huyo demu kisaikolojia hata kwa kutoka na mbebez mwingine matata......


Alikuwa bize kushughulikiwa Simu tena inapokeleka?!

Bora angeizima ijulikane moja!
 
Kuna sehemu nimesema kuwa mie nahusika na masuala ya ugawaji vibali vya kumiliki silaha? Mie nimempa muongozo juu ya nini cha kufanya.... Bro nikuulize kwanza, je unamiliki silaha yoyote?
Siku nyingine usirudie kuleta uongo na majigambo JF, huwajui Anonymous tuliopo humu, tunakuzoom tu unavyojifaraguwa.
 
Siku nyingine usirudie kuleta uongo na majigambo JF, huwajui Anonymous tuliopo humu, tunakuzoom tu unavyojifaraguwa.
Wewe hunijui sikujui na usidhani kila mtu ni level zako.... kumiliki silaha kwako imekuwa ni kitu cha ajabu sana naona. Nimekwambia endelea kukariri.

Amka nenda kateseke.
 
Wewe hunijui sikujui na usidhani kila mtu ni level zako.... kumiliki silaha kwako imekuwa ni kitu cha ajabu sana naona. Nimekwambia endelea kukariri.

Amka nenda kateseke.
Mi kweli wewe siyo level zangu, mimi si wa level za kuja kuandika uongo JF huku hujui watu waliopo humu ni kina nani.

Kuhusu kuteseka hilo tumeumbiwa wanaume, wanaume tumeumbwa mateso kuangaika, wewe kula kulala kaa hapo sebuleni kwa shemeji chezea tu remote ya tv, ukikuwa utaijuwa dunia.
 
Mi kweli wewe siyo level zangu, mimi si wa level za kuja kuandika uongo JF huku hujui watu waliopo humu ni kina nani.

Kuhusu kuteseka hilo tumeumbiwa wanaume, wanaume tumeumbwa mateso kuangaika, wewe kula kulala kaa hapo sebuleni kwa shemeji chezea tu remote ya tv, ukikuwa utaijuwa dunia.
Njoo nikuajiri jinga wewe.
 
Mnazusha tu ila ukweli ni kwamba Marehemu Saidi hakupendwa na Marehemu Swalha.

Swalha alipenda pesa zake na Saidi alipenda kiki ya kuoa pisi kali. Inshort hakukua na ndoa serious pale
Katika ndoa serious hii ndio serious kuliko ndoa zote!
Jamaa alikuwa serious kupata pisi Kali na kicheche Salha alikuwa serious kupata mshiko kutoka kwa jamaa
 
WaTz mnaweza kupotosha Walau.Ni hivi ulitaka kujua ukweli fatilia story za wakwe wengine wa Said.Jamaa.alikuwa Controller abusive na Ile kwa kizungu wanaitaje mtu anakufatilia anajifanya kuwa mental na wewe (we mzungu sema)kwa hiyo alikuwa na tabia za ubabe uliopitiliza.Yaan kisa mke hataki hata ajitafutie ridhiki yake.abahisi anaibiwa.Sikia story ya Yule 23 years old woman(haa haaa)alikuwa hatakimata aguse getini Kama kasafiri mpaka arudi.Sasa kwa mtu kwa Swallher ilishindwa Kuwork out.Swallher suo mjinga ajue jamaa Ana mtutu halafu atoke kwa mwanaume mwingine then arudi.So.issue haikuwa kwa mdada Wala hakuwa mhuni.Tatizo Ni huyo huyo Chizi wenu fala

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
 
Uyu alikua Malaya WA kibongo wanaenda ZENJI kuuza wacha uboya
Na ungeenda mitaa ya wajanja wakizenji wangekujamata unachungulia ungef**a mpk ukatapika Makande nyau
Nyie machoko kwanini hua hamjifichi unawashwa kisimi cha mkun..du,, unatamani na we nikubandue tako [emoji867] kum..a b.ako dada zako wa Kizenji nimewatoboa sana bikra zote mbili [emoji16]
 
Back
Top Bottom