Inadaiwa marehemu Swalha alikuwa analazimisha talaka ili arudiane na mume wake wa zamani na siku ya tukio alienda nae kwenye tamasha la muziki

Nasikia marehemu alimsomesha pia Swalha bibie akamsaliti akaenda kuolewa na mwingine huko ndoa ikamshinda akaanza kujirudisha kwa jamaa kwa kumuambia ananyanyaswa ndipo jamaa kumwambia achika huko nitakuoa mimi pamoja ulinisaliti kweli wakaoana mwisho bibie akarudi tena kwa ex wake wa mwanzo ambaye ndiye aliyekuwa nae kwenye mpira huku mumewe kamuacha nyumbani, ndipo wambea wakampigia simu kwamba mkeo yuko huku na ex wake.
 
Tunachangiaje speculation? Wote ni marehemu nani tumuulize anayeweza kuwasiliana nao waliko? Kwangu si habari.
 
Aaaahhh kudadadeki kweli hapo njemba iliyumba kukubali kurudiana na huyo shetwaaiin wahed.

Ndio maana basi akamchapa shaba saba asee sio kwa ufara huo. Hata mimi ningefanya maamuzi magumu. Ningemnyang'anya kila kitu mpaka chupi nilionunua.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…